Mkuu umeeleza haswa wasiwasi wangu. juu ya huyu waziri wetu.
Ni wazi qualifications zake juu ya uwaziri hazijafika kiwango.
Na mbaya zaidi anaongoza wizara inayohitaji mtu ambaye toka ujanani anatakiwa awe ametayarishwa na Taifa.
Mbona vijana kama hao wako wengi tu.
Jamaa hajapitia hata JKT, na anawekwa mahali nyeti, hiyo ni dhambi!
Sisi tukia JKT tulitayarishwa kwa majukumu yoyote kitaifa, uwe una Div 1 au uwe mkulima toka kijijini wa kuingia kwa kujitole.
Waswahili husema , mtu anapofungua mdomo, anafungua na mengi yanayomhusu, hatukujua kuwa Simbachawene hapo alipo yuk chini ya viwangoo vile vilivyotarajiwa.