Gerald Hando amuuliza Januari, Dkt. Kalemani aliweza vipi umeme haukukatika?

Gerald Hando amuuliza Januari, Dkt. Kalemani aliweza vipi umeme haukukatika?

Mkuu joseph1989, niwe mkweli vipi wakati this is from the horses mouth Kilichofanya umeme haukukatika katika enzi za Kalemani na sasa unakatika katika ni kitu kinachoitwa peak demand

Hili la kulamba asali sii kweli, mimi ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea, hii interview ya JM, ni nimefanya kwa kujitolea 100%. hakuna yeyote aliyelipa hata senti tano yake!, ni part and parcel ya kipindi changu cha "Kwa Maslahi ya Taifa" the compete program ni hii
p

Uwongo brother.
 
Ila za ndani ni kuwa viwanda vingi viliumizwa kwa wakati huo maana viwanda hutumia umeme mwingi, vikikatiwa sio rahisi kupata kelele kama wananchi wakikatiwa
Mi nafanya kazi kiwandani ebu nitajie kiwanda kipi kilikuw kinakatiwa umeme
 
Gerald Hando...paid journalist...wanarudia zoezi lile lile yeye na Kipanya walivyofanya kazi maalum Kwa Dr Idrisa..haadi akatolewa...wakaingia watu wa Ngeleha zikapigwa bilioni 500.
Shida sio kua paid journalist,

Kaongea uongo?? Tujadili alichoongea ni kweli ama si kweli.?
 
Huku ni kumnanga tuu bure JM, hili la kukatika kwa umeme, kwanza sii kweli kuwa umeme haukukatika kabisa enzi za Kalemani.

Pili JM amelifafanua vizuri sana tuu!.
Kilichofanya umeme haukukatika katika enzi za Kalemani na sasa unakatika katika ni kitu kinachoitwa peak demand
Hii peak demand imeongezeka sasa kuliko enzi za Kalemani!.

P

TUmehamia kwenye peak demand tena?? Si mlikua mnataka kuuza umeme nje ya nchi? Peak demand ya nje ya nchi ipo vp nayo
 
Back
Top Bottom