Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Maybe you are Right..., lakini tunaendelea kukosea kama kawaida yetu; Tunaangalia nini kimsesemwa na sio nani kasema.....Gerald Hando...paid journalist...wanarudia zoezi lile lile yeye na Kipanya walivyofanya kazi maalum Kwa Dr Idrisa..haadi akatolewa...wakaingia watu wa Ngeleha zikapigwa bilioni 500...
Haya mawazo kila muuza juice na mtu anyewasha koroboi yake akiwa nyumbani kwake anajiuliza haya maswali...