Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Sijui!hivi januari anaweza kufanya makusudi ili umeme ukatike?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui!hivi januari anaweza kufanya makusudi ili umeme ukatike?
Sasa nijibuje kwani? Nijibu kiugumu?Unajibu kirahis sana mkuuu [emoji1] [emoji1787] [emoji23]
Gerald Hando...paid journalist...wanarudia zoezi lile lile yeye na Kipanya walivyofanya kazi maalum Kwa Dr Idrisa..haadi akatolewa...wakaingia watu wa Ngeleha zikapigwa bilioni 500
Kama KUNGURU wapo basi watakuwa sababu maana ilishawahi tokeaHivi sasa mvua zinanyesha sijui watakuja na uongo gani? Hii nchi ilipofika basi tu, hebu ngoja tuone tunapoelekea.
Anatawaliwa na mahaba zaidi ya uhalisia, yupo huku kuwalinda awapendao hata kwasababu za kipuuzi, bahati mbaya anadhani kila mtu ni mjinga kama yeye, anachofanya ni kubadilisha vijineno tu kwenye sababu zake lakini kimsingi anatetea ujinga tu.Huyo baba alikua anaheshimika hapa JF, ila sasa sidhani maana ndo anaonesha jinsi alivyo. Khaaah
Sent using Jamii Forums mobile app
January Makamba anatumika na mabeberu wachache kuhujumu uchumi.si ajabu ukaambiwa Tanesco ianze kununua tena umeme IPTL.MTANGAZAJI MAHIRI nchini Tanzania, Gerald Hando amemuuliza Januari Makamba kwanini alipoingia kwenye Wizara hiyo umeme ukaanza kukatika hovyo kwanini asimuulize Kalemani aliwezaje.
"Januari Makamba tumuulize swali moja dogo sana Kalemani amekaa miaka 6 umeme haujakatika yeye ameingia tu umeme umeanza kufanya vurugu nini shida, kwanini asimuulize Kalemani alifanyaje?" amehoji Hando
"Si chama kimoja wale si wabunge wale, si Serikali moja wale kwanini asimuulize Kalemani alifanya nini, Januari Makamba amuulize Dk Kalemani ulifanyaje uliwezaje, tumekaa six years hapa hatujaona situation kama hii make wamesingizia maji sasa maji mafuriko mabomba yanapasuka" amehoji Hando.
View attachment 2462435
Nimeuliza tu kama Gerald Hando alikuwa hajalewa, maana ni Cha pombe balaa, chakari muda wote mpaka maudenda yanamtitirika na wadudu wanazengea kuingia mdomoniJibu hoja!
Dada yake pia ni mlevi ile mbaya. Wana kunywa sana pombe ingawa Baba yao ni mtu wa dini sana.Alikuwa hajalewa pombe? Maana huwa analewa mpaka analala kwenye meza za baa, wakati mwingine anabebwa mzegamzega kupelekwa nyumbani hajitambui
Udini utakuua ndugu yanguGerald Hando...paid journalist...wanarudia zoezi lile lile yeye na Kipanya walivyofanya kazi maalum Kwa Dr Idrisa..haadi akatolewa...wakaingia watu wa Ngeleha zikapigwa bilioni 500...
Nahisi naye ni m1 wa wanufaika na hii dhahama, khaaaah.Anatawaliwa na mahaba zaidi ya uhalisia, yupo huku kuwalinda awapendao hata kwasababu za kipuuzi, bahati mbaya anadhani kila mtu ni mjinga kama yeye, anachofanya ni kubadilisha vijineno tu kwenye sababu zake lakini kimsingi anatetea ujinga tu.
NdiooooooIla za ndani ni kuwa viwanda vingi viliumizwa kwa wakati huo maana viwanda hutumia umeme mwingi, vikikatiwa sio rahisi kupata kelele kama wananchi wakikatiwa
Akili za Kinyani nyani hiziKalemani umeme ulikuwa unakatika kila siku....lakini mmeshaanza kubadili facts ili agenda yenu ifanye kazi
Hando amewakilisha maswali ya watanzania walio wengi,acha UPUMBAVUHando hivi ni Nani haswaaa??!
🤣😂 Mkuu. Habari za masiku, umeadimika sana. Vipi hapo ulipo Box zinabebeka kweli kwa barafu linalodondoka. Mkataa kwao Mtumwa.Ni kweli kabisa kuwa kipindi Kalemani ni waziri huo umeme haukuwa shida? Haukuwahi kukatika?
Hizo ndoto mnazowaza ni za alinacha5[emoji706][emoji706]Gerald Hando ....unatumwa na nani huyo siku atakuja kuwa Mr P ....Usimalize maneno kuna watu wanayaweka hayaaa..
Barafu gani?🤣😂 Mkuu. Habari za masiku, umeadimika sana. Vipi hapo ulipo Box zinabebeka kweli kwa barafu linalodondoka. Mkataa kwao Mtumwa.
Hapana acheni atoe maoni ..lkn tumkumbushe kuwa hata wkt wa kalemani umeme ulikatika pia...awamu iliyopita ilikuwa marufuku kuandika madhaifu ya serikali...ndo maana walisiojua kitu wanaiona kama ilifanikiwa kumbe lahKuna watu wanampa hela aropoke ropoke...anafikiri watu wote wajinga