DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Nijuavyo waandishi Ni tunu ya taifaHuku ni kumnanga tuu bure JM, hili la kukatika kwa umeme, kwanza sii kweli kuwa umeme haukukatika kabisa enzi za Kalemani.
Pili JM amelifafanua vizuri sana tuu!.
Kilichofanya umeme haukukatika katika enzi za Kalemani na sasa unakatika katika ni kitu kinachoitwa peak demand
Hii peak demand imeongezeka sasa kuliko enzi za Kalemani!.
P
Ila kwasasa,
Waandishi Kama wewe ni hasara kwny taifa letu.
Tangu JPM amekushushua vikali pale magogoni ilipomkosoa, ukapelekwa kwa ndugai ukakemewa vikali.
Sijui ndo uoga tena au vipi?
Ila sahv kiukweli umekua wa hovyo Sana brother
uchawa unakuzeesha vibaya paskali.
Hebu Nitajie tarehe ambayo magu/kalemani wakiwa madarakani tulitangaziwa mgao na mgao wa umeme.
Hivi paskali unadhan wataanzani wote waumbavu sio?
.