Gerald Hando amuuliza Januari, Dkt. Kalemani aliweza vipi umeme haukukatika?

Gerald Hando amuuliza Januari, Dkt. Kalemani aliweza vipi umeme haukukatika?

Huku ni kumnanga tuu bure JM, hili la kukatika kwa umeme, kwanza sii kweli kuwa umeme haukukatika kabisa enzi za Kalemani.

Pili JM amelifafanua vizuri sana tuu!.
Kilichofanya umeme haukukatika katika enzi za Kalemani na sasa unakatika katika ni kitu kinachoitwa peak demand
Hii peak demand imeongezeka sasa kuliko enzi za Kalemani!.

P
Nijuavyo waandishi Ni tunu ya taifa

Ila kwasasa,
Waandishi Kama wewe ni hasara kwny taifa letu.

Tangu JPM amekushushua vikali pale magogoni ilipomkosoa, ukapelekwa kwa ndugai ukakemewa vikali.

Sijui ndo uoga tena au vipi?
Ila sahv kiukweli umekua wa hovyo Sana brother

uchawa unakuzeesha vibaya paskali.

Hebu Nitajie tarehe ambayo magu/kalemani wakiwa madarakani tulitangaziwa mgao na mgao wa umeme.

Hivi paskali unadhan wataanzani wote waumbavu sio?
.
 
Gerald Hando...paid journalist...wanarudia zoezi lile lile yeye na Kipanya walivyofanya kazi maalum Kwa Dr Idrisa..haadi akatolewa...wakaingia watu wa Ngeleha zikapigwa bilioni 500...
Hawa jamaa wana wivu tu mama.
Tungeona lini DEGE kuuuubwa kama lile pale KIA, kama DIKTETA angeendelea kuwepo?
 
So mlipokua mna mctriticize JPM who was and still paying you guys to twist the angles? Heb Tuanzie hapo...
maana wakisemwa wengine its a norm, akisemwa mtoto pendwa or mama then its a twist...au ndo mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu?

There you go ...
So kwakuwa tulim citisize JPM chochote tunacho ongea sasa lazima kihusishwe na why tulim criticize Jpm?
Mbona tulim criticize Kikwete humu?au JPM ndo ilikuwa "dhambi kuu"
Mbona tume criticize Samia humu?

So hatuwezi ongea chochote kizuri au kibaya bila kukumbushwa tulim criticize Jpm?
 
Ila za ndani ni kuwa viwanda vingi viliumizwa kwa wakati huo maana viwanda hutumia umeme mwingi, vikikatiwa sio rahisi kupata kelele kama wananchi wakikatiwa

Kiwanda gani maana mimi nilikua nasimamia moja ya kiwanda pale mikocheni hatukuwai kuona umeme ukikatwa, makamba alivoingia tu umeme unakatwa hovyo
 
watanzania wengi ni kama mataahira na mmoja wapo ni wewe,kwamba gerald hando anatumika na watu amchafue huyo waziri mpuuzi.jamaa ameshafuka kitambo tu sema system ya utawala imekaa ovyo jamaa alitakiwa awe jela sasa hivi kwa nchi zinazojitambua.maana kukata umeme makusudi ili kampuni yenu ipate wateja wa majenereta huo ni uhujumu uchumi na china walienda mbali zaidi adhabu ni kunyongwa
We naye Yale Yale tu naonaga watu wapumbavu sana kuamini eti umeme unakatwa Ili wauze majenereta? Kwani hao mafisadi hawamiliki mahoteli, mashamba, na viwanda? unadhani wakikata umeme gharama za uendeshaji Mali hazitopanda?

Kwa siku Moja tu umeme ukikatika ni hasara sio chini ya billion 20 kwa Dar pekee maana hata vinyozi hawana kazi siku hiyo alafu ndio unadai eti hayo mabilion yatafidiwa kwa kuuza genereta?

JPM alijua ni wajinga kawalisha upumbavu mwingi sana ikiwemo hili.
 
Huo ni uongo tungesikia malalamiko ya wafanyakazi waliocha kazi kwa sababu ya viwanda vyao kukosa umeme.. wafanyakazi ni wengi sana huwezi kuficha hiyo siri hata siku moja ingejulikana tu.

Mmoja wapo mm nilikua operation manager hakukuwa na mgao wa umeme kabisa cost za majenereta kwa miezi 3 unakuta mara 2 tu ila now hali ni mbaya sana ndomana bei za bidhaa zime skyrocket
 
Elewa nilichoongea...kila mwaka kuna mgao kipindi cha ukame...wakati wa Magu walikuwa hawatangazi mgao...wanatangaza kuna matengenezo...elewa hiko nilicho ongea ...na mgao haukuwa mkali kama wa mwaka huu...so unaweza sema wakati wa Magu hakukutangazwa mgao...lakini usiseme haukuwepo ulikuwepo...zipo hata threads humu watu wanauliza kuna mgao WA kiimya kimyaa wakati wa Magu...labda Chige akupe link
Unalazimisha hoja yako. Sawa uko sahihi.
 
Gerald Hando...paid journalist...wanarudia zoezi lile lile yeye na Kipanya walivyofanya kazi maalum Kwa Dr Idrisa..haadi akatolewa...wakaingia watu wa Ngeleha zikapigwa bilioni 500...
Mbona unapaniki wakati anayeulizwa ni Waziri wa Nishati?
 
Yaani nchi hii kama,ni mgeni ndio utaamini kwamba umeme haukukatika katika utawala wa kanda ile
 
Kalemani umeme ulikuwa unakatika kila siku....lakini mmeshaanza kubadili facts ili agenda yenu ifanye kazi
Na shida ya watanzania wanasahau Sana umeme ulikuwa unakatika Sana sema mzee baba alipiga biti habari za utoaji taarifa Sasa hivi wako huru kuongea lolote hakuna anaewabughi.
 
Elewa nilichoongea...kila mwaka kuna mgao kipindi cha ukame...wakati wa Magu walikuwa hawatangazi mgao...wanatangaza kuna matengenezo...elewa hiko nilicho ongea ...na mgao haukuwa mkali kama wa mwaka huu...so unaweza sema wakati wa Magu hakukutangazwa mgao...lakini usiseme haukuwepo ulikuwepo...zipo hata threads humu watu wanauliza kuna mgao WA kiimya kimyaa wakati wa Magu...labda Chige akupe link
Makamba huyo huyo alisema hakuwa na matengenezo kipindi Cha A5. Mbona mnajikanganya?
 
Kama ni kweli viwanda vilipunguza uzalishaji kwanini hakukuwa na mfumko mkubwa wa bei za bidhaa kama sasa. maana ukipunguza uzalishaji bidhaa zinapungua sokoni na kusababisha ongezeko la bei
Ni kipindi gani bei ya sukari ilipanda na haikushuka mpaka leo
 
Nijuavyo waandishi Ni tunu ya taifa

Ila kwasasa,
Waandishi Kama wewe ni hasara kwny taifa letu.

Tangu JPM amekushushua vikali pale magogoni ilipomkosoa, ukapelekwa kwa ndugai ukakemewa vikali.

Sijui ndo uoga tena au vipi?
Ila sahv kiukweli umekua wa hovyo Sana brother

uchawa unakuzeesha vibaya paskali.

Hebu Nitajie tarehe ambayo magu/kalemani wakiwa madarakani tulitangaziwa mgao na mgao wa umeme.

Hivi paskali unadhan wataanzani wote waumbavu sio?
.
mkuu deep pond achana na uyu chawa kuna maisha nje na kujipendekeza cha kushangaza ameanza muda mrefu lakini kila teuzi zikitoka jamaa jina lake amna[emoji16][emoji16]
 
Kwenye michezo ya siasa huwa kuna "twisting angle and plot"
Ni kweli kabisa kuna shida ya umeme ...na ni kweli kabisa wakati wa Magufuli shida ya umeme ilikuwepo lakini sio kubwa kama sasa ..

Sasa kinacho fata ni watu wenye agenda maalum kutumia hili tatizo Ku twist angle and plot....Kwa maslahi Yao maalum na hapo ndo Gerald Hando anapolipwa pesa Kwa kazi maalum
Wewee ni muongo, usitake kudanganyaa hapa, alipwe na nani?
Watu wakihoji eti wanatumwaa, au wee ni mfaidika wa hii dhahama? Msidhani wananchi ni wajinga wanaelewa kila kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unakiri wakati wa Magufuli shida ya umeme ilikuwepo lakini sio kubwa kama sasa, hapo tayari unakubaliana na alichosema Hando, mwambie Januari akamuulize Kalemani, wao walifanyaje mpaka tatizo likawa dogo kulinganisha na ilivyo sasa.

Sababu nyingine zote ulizoandika hapa, amenunuliwa nk ni ujinga tu mliozoea wa kuwafunga midomo wale wanaohoji, hamtaki kuguswa! vinginevyo, kama una ushahidi tuwekee hapa, tumjue aliemnunua, na amenunuliwa kwa bei gani, kinyume na hapo, shut up!.
Huyo baba alikua anaheshimika hapa JF, ila sasa sidhani maana ndo anaonesha jinsi alivyo. Khaaah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom