SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Gerald Hando ni Sukuma Gang.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sukuma GangWho is behind Gelard hando?
Duh kumbe huyu ngiri ni chapii hivyo basi watakua wanamtafuna kama analewa hadi anazimaAlikuwa hajalewa pombe? Maana huwa analewa mpaka analala kwenye meza za baa, wakati mwingine anabebwa mzegamzega kupelekwa nyumbani hajitambui
There was a time watu walikua wanakuheshimu kutokana na ukongwe wako na bt I dont think they do anymore...Kuna watu wanampa hela aropoke ropoke...anafikiri watu wote wajinga
Jamaa yuko maboxini muda mrefu huyo!wakati Kalemani akiwa waziri ulikuwa nchi gani?
It would appear to me millions and millions of Tanzanians are behind him..Who is behind Gelard hando?
Jibu hoja!Alikuwa hajalewa pombe? Maana huwa analewa mpaka analala kwenye meza za baa, wakati mwingine anabebwa mzegamzega kupelekwa nyumbani hajitambui
Huwa sijui mnapewaje Platinum member wakati akili kiziboNiliona mengi.
Hando hivi ni Nani haswaaa??!MTANGAZAJI MAHIRI nchini Tanzania, Gerald Hando amemuuliza Januari Makamba kwanini alipoingia kwenye Wizara hiyo umeme ukaanza kukatika hovyo kwanini asimuulize Kalemani aliwezaje.
"Januari Makamba tumuulize swali moja dogo sana Kalemani amekaa miaka 6 umeme haujakatika yeye ameingia tu umeme umeanza kufanya vurugu nini shida, kwanini asimuulize Kalemani alifanyaje?" amehoji Hando
"Si chama kimoja wale si wabunge wale, si Serikali moja wale kwanini asimuulize Kalemani alifanya nini, Januari Makamba amuulize Dk Kalemani ulifanyaje uliwezaje, tumekaa six years hapa hatujaona situation kama hii make wamesingizia maji sasa maji mafuriko mabomba yanapasuka" amehoji Hando.
View attachment 2462435
Mabwawa yamezidiwa na maji, yamebomoa kingo za mabwawa...Hivi sasa mvua zinanyesha sijui watakuja na uongo gani? Hii nchi ilipofika basi tu, hebu ngoja tuone tunapoelekea.
Hakukuwa na mgao kipindi cha Magu kila mtu anajua huu ukweli kasoro wewe tu. Ila umeme kukatika kama nilivyosema awali ulikuwa unakatika.Actually mgao upo kila mwaka.. tofauti ni kuwa walikuwa hawatangazi official na mgao haukuwa mkali kama wa mwaka huu...hata WA mwaka huu ulianza kabla haujatangazwa....
Hakukuwa na mgao kipindi cha Magu kila mtu anajua huu ukweli kasoro wewe tu. Ila umeme kukatika kama nilivyosema awali ulikuwa unakatika.
Jibu hoja,achana na viojaWho is behind Gelard hando?
Unajibu kirahis sana mkuuu [emoji1] [emoji1787] [emoji23]Niliona mengi.
Gerald Hando...paid journalist...wanarudia zoezi lile lile yeye na Kipanya walivyofanya kazi maalum Kwa Dr Idrisa..haadi akatolewa...wakaingia watu wa Ngeleha zikapigwa bilioni 500...
Atakuwa alikuwa Kyiev anazuia Makombora ya Putin kwa kichwa kama mpirawakati Kalemani akiwa waziri ulikuwa nchi gani?
Tutajie wafanyabiashara 5 tu na biashara zao mahali zilipo na TIN no zao ambao wamefilisika ?Hajui huyu hasara zilizosababishwa katika kipindi cha uwaziri wa januari, watu wamefilisika biashara zao zimekufa wauza barafu, wauza bucha za samaki, nyama, watu wa saluni za kike na za kiume, watu wa stationary, wauza juice, maji, watu wa kuchomelea mageti na vyuma mbalimbali na shughuli zote zinazotegemea umeme alafu yeye anakuja na stori nyepesi eti kuna mtu yuko nyuma ya hando?
Tahadhari, wamtafune kwa kondom, au la watauvagaa UKIMWI. Huyo mtangazaji yuko kwenye ARVs kipindiDuh kumbe huyu ngiri ni chapii hivyo basi watakua wanamtafuna kama analewa hadi anazima