Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Moja ya sababu kwanini Umeme unakatika January amewadharau watu weledi katika sekta ya umeme tanesco hivyo wamemsusa kama alivyokata ulaji wao na Kuna hujuma kama zote maana huyo msambaa hana maarifa wala ujuzi wa umeme wameamuac mbwai na iwe mbwai