inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Kipindi Cha kalemani nilikua naonesha mpira kwa jenereta Mara nyingi tu,Zima Waka Zima Waka nikaunguza Samsung GalaxyUlikuwa ukikatika ingawa sio kwa kiwango hiki cha Sasa cha Mgao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipindi Cha kalemani nilikua naonesha mpira kwa jenereta Mara nyingi tu,Zima Waka Zima Waka nikaunguza Samsung GalaxyUlikuwa ukikatika ingawa sio kwa kiwango hiki cha Sasa cha Mgao.
Prof muhongo ndiye aliyeboresha emergency na mawasiliano kwa umma kwa tanesco..toa uwongo wako na kalemani wakoUlipokua unakatika walikua wanatoa taarifa kwani tanesco wameanza kipindi gani kuwa na emergency service 24 hrs si kipindi cha kale tanesco wameanza kuwa na whatsapp groups za info si kipindi cha kale kwenye ukweli tuseme tu ila now makamba ni miyeyusho mitupu umeme unakatika hata kama wanatoa taarifa ila dah haikupaswa iwe hivi
Ila kwa sasa mgao umeshakwisha au huko unapoishi bado mgao unaendelea mkuu?Hakukuwa na mgao. Umeme kukatika ni kawaida awamu zote,ila mgao haukuwepo wakati wa Kalemani.
Hiki ulichoandika kinahusiana nini na comment yangu?Ila kwa sasa mgao umeshakwisha au huko unapoishi bado mgao unaendelea mkuu?
Ah nlitaka kudanganya uma kumbe mko makini ila una uhakika mhongo alifanya hayo mapinduzi na utekeelzaji wake au umedandia ... Kwa ....Prof muhongo ndiye aliyeboresha emergency na mawasiliano kwa umma kwa tanesco..toa uwongo wako na kalemani wako
Hakukuwa na mgao. Kukatika mara moja moja ni kawaida awamu zote.
Hakuna awamu ambayo umeme haukuwahi kukatika ... Hata ulikuwa ukikatika vyombo vya hbr havikuthubutu kuandika kbsaa ... chini ya ccm hakuna uafadhari wwte sema tu mmeamua kujisahaulisha .... kifupi moto ni ule ule na sufulia ni lile lile tu
Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
Who is behind Gelard hando?
Nina uhakika,nilikua mtu mzima na elimu yangu nikiwa mfuatiliaji wa mambo ya serikaliAh nlitaka kudanganya uma kumbe mko makini ila una uhakika mhongo alifanya hayo mapinduzi na utekeelzaji wake au umedandia ... Kwa ....
Porojo tu na wew unaamini hizo porojoIla za ndani ni kuwa viwanda vingi viliumizwa kwa wakati huo maana viwanda hutumia umeme mwingi, vikikatiwa sio rahisi kupata kelele kama wananchi wakikatiwa
Hiyo ndo akili kubwa waliokuwa nayo jpm akaja saa 100 yeye akasema hamana umeme wa 27000Kuhusu swali la 27000 ni sera tu! Maana ile ni huduma na lengo lilikuwa watu wengi waunganishiwe umeme then Tanesco ipate mapato yake kupitia ununuaji wa Luku!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mzee Makamba Ana~M~Zoom Gerald Hando
Yaani binadamu, Acha kabisa!Kalemani umeme ulikuwa unakatika kila siku....lakini mmeshaanza kubadili facts ili agenda yenu ifanye kazi
Au umezidiwa nguvu hivyo umefyuzi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watasema mvua zimezidi kiwango hivyo umeme umesusa kujitengeneza[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii nchi ni bora liende, wengine tulisema mapema kabisa kuwa hizi propaganda za kipara ni marefu yenye ncha ipo siku atajikuta mtupu.
BTW:Kuna Manispaa moja iliondoa mitaani watu wa welding, mafundi seremala,watu wa aluminium na watu wengine ambao shughuli zao zinahitaji umeme na wakatengewa eneo lao maalumu,
Cha ajabu hilo eneo lililotengwa ndo linaongoza kwa kukatiwa umeme kuliko maeneo mengine yote ya mji ule.[emoji16]
Huu ni uongo mkubwaa, watu wasihoji ukweli eti anatumwaa. Sikutegemea kuona comment ya aina hii kutoka kwako wee.Kuna watu wanampa hela aropoke ropoke...anafikiri watu wote wajinga