joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Uwongo brother.Mkuu joseph1989, niwe mkweli vipi wakati this is from the horses mouthKilichofanya umeme haukukatika katika enzi za Kalemani na sasa unakatika katika ni kitu kinachoitwa peak demand
Hili la kulamba asali sii kweli, mimi ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea, hii interview ya JM, ni nimefanya kwa kujitolea 100%. hakuna yeyote aliyelipa hata senti tano yake!, ni part and parcel ya kipindi changu cha "Kwa Maslahi ya Taifa" the compete program ni hiip
Mi nafanya kazi kiwandani ebu nitajie kiwanda kipi kilikuw kinakatiwa umemeIla za ndani ni kuwa viwanda vingi viliumizwa kwa wakati huo maana viwanda hutumia umeme mwingi, vikikatiwa sio rahisi kupata kelele kama wananchi wakikatiwa
And who is behind you,?Who is behind Gelard hando?
And who is behind you,?Who is behind Gelard hando?
Shida sio kua paid journalist,Gerald Hando...paid journalist...wanarudia zoezi lile lile yeye na Kipanya walivyofanya kazi maalum Kwa Dr Idrisa..haadi akatolewa...wakaingia watu wa Ngeleha zikapigwa bilioni 500.
TUmehamia kwenye peak demand tena?? Si mlikua mnataka kuuza umeme nje ya nchi? Peak demand ya nje ya nchi ipo vp nayoHuku ni kumnanga tuu bure JM, hili la kukatika kwa umeme, kwanza sii kweli kuwa umeme haukukatika kabisa enzi za Kalemani.
Pili JM amelifafanua vizuri sana tuu!.
Kilichofanya umeme haukukatika katika enzi za Kalemani na sasa unakatika katika ni kitu kinachoitwa peak demand Hii peak demand imeongezeka sasa kuliko enzi za Kalemani!.
P