Gerald Hando arudishwa EFM baada ya benchi la miezi mitatu, akiri kukosea kusema 'nchi inakopa sana'

Gerald Hando arudishwa EFM baada ya benchi la miezi mitatu, akiri kukosea kusema 'nchi inakopa sana'

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Mtangazaji mkongwe Gerald Hando amerudishwa EFM rasmi ambapo amekiri kukosea

========

Mtangazaji maarufu wa EFM, Gerald Hando leo amerejea kazini baada ya kukaa benchi miezi mitatu kasoro siku moja. Hando amesema kauli yake aliyoitoa ndio imemletea changamoto na ikaonekana amekiuka 'editorial policy' ya taasisi.

Hando amesema kituo kiliona bora akae pembeni kwa muda kuweka hali bayana baada ya kutokea msuguano.

Hando amesema akiitazama ile kauli aliyoitoa(Kuhusu nchi kukopa sana) anaona ilitoka ndani ya moyo zaidi kuliko kuliko kusimamia hoja ya msingi. Amewataka watangazi wenzie kuzingatia wasije kujikuta kwenye hali kama hiyo na amejifunza.

Pia, soma=> EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi




 
Mtangazaji maarufu wa EFM, Gerald Hando leo amerejea kazini baada ya kukaa benchi miezi mitatu kasoro siku moja. Hando amesema kauli yake aliyoitoa ndio imemletea changamoto na ikaonekana amekiuka 'editorial policy' ya taasisi.

Hando amesema kituo kiliona bora akae pembeni kwa muda kuweka hali bayana baada ya kutokea msuguano.

Hando amesema akiitazama ile kauli aliyoitoa(Kuhusu nchi kukopa sana) anaona ilitoka ndani ya moyo zaidi kuliko kuliko kusimamia hoja ya msingi. Amewataka watangazi wenzie kuzingatia wasije kujikuta kwenye hali kama hiyo na amejifunza.

 
Ndio wakome, kipindi JPM anapitisha sheria kali za huduma ya habari na pia takwimu walichekelea wakidhani zitaenda kuwanyoosha kina TWAWEZA na Lissu!! Sasa Leo zimemgeukia yeye na mwenzie Polepole ndio wanaanza kulia Lia.

Jamani tujifunze unapoandaa sheria Leo ujue inaweza tumika kwako pia miaka miwili ijayo.
 
Mtangazaji maarufu wa EFM, Gerald Hando leo amerejea kazini baada ya kukaa benchi miezi mitatu kasoro siku moja. Hando amesema kauli yake aliyoitoa ndio imemletea changamoto na ikaonekana amekiuka 'editorial policy' ya taasisi.

Hando amesema kituo kiliona bora akae pembeni kwa muda kuweka hali bayana baada ya kutokea msuguano.

Hando amesema akiitazama ile kauli aliyoitoa(Kuhusu nchi kukopa sana) anaona ilitoka ndani ya moyo zaidi kuliko kuliko kusimamia hoja ya msingi. Amewataka watangazi wenzie kuzingatia wasije kujikuta kwenye hali kama hiyo na amejifunza.
Sawa ujumbe ulishafika
 
Ndio wakome, kipindi JPM anapitisha sheria kali za huduma ya habari na pia takwimu walichekelea wakidhani zitaenda kuwanyoosha kina TWAWEZA na Lissu!! Sasa Leo zimemgeukia yeye na mwenzie Polepole ndio wanaanza kulia Lia.

Jamani tujifunze unapoandaa sheria Leo ujue inaweza tumika kwako pia miaka miwili ijayo.
Kwani Hando aliwajibishwa na mamlaka au ni boss wake alijistukia akamuwajibisha? Ila pia Hando ni mwanaharakati wa chadema asiejiweka wazi toka kitambo na hakuna popote aliwahi kuwa fan wa Jiwe
 
Ndio wakome, kipindi JPM anapitisha sheria kali za huduma ya habari na pia takwimu walichekelea wakidhani zitaenda kuwanyoosha kina TWAWEZA na Lissu!! Sasa Leo zimemgeukia yeye na mwenzie Polepole ndio wanaanza kulia Lia.

Jamani tujifunze unapoandaa sheria Leo ujue inaweza tumika kwako pia miaka miwili ijayo.
Kwanini mamayo huyu asifutilie mbali hiyo sheria?
.
Ok. Twambie Hando alikiuka sheria gani, kifungu gani?
 
Back
Top Bottom