Natafuta pesa
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 279
- 384
Kuna muda inabidi ulegeze tu, watoto na mama yao watakula nini?Hakutakiwa kuongea chochote angekaa kimya na kuendelea na topic zingine. Haya mambo ya kuomba radhi wakati hauna makosa ni kumsujudia shetani ambaye amewapanda hawa wendawazimu vichwani.