Natafuta pesa
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 279
- 384
Kuna muda inabidi ulegeze tu, watoto na mama yao watakula nini?Hakutakiwa kuongea chochote angekaa kimya na kuendelea na topic zingine. Haya mambo ya kuomba radhi wakati hauna makosa ni kumsujudia shetani ambaye amewapanda hawa wendawazimu vichwani.
Sema kwenye hili la Hando ni boss tu ndiye aliyejishtukiauhuru wa wana habari katika kuhoji mambo ya kitaifa unaminywa kichini chini
Sheria ya huduma za habari inakataza media kutoa conclusions unless ibalance story kwa kuhoji mamlaka husika. Yaani mfano Hando hapaswi kusema Rais kakosea kukopa au kapatia yeye anatoa taarifa kama ilivyo msikilizaji ndio aamue based on the facts za pande mbili.Kwanini mamayo huyu asifutilie mbali hiyo sheria?
.
Ok. Twambie Hando alikiuka sheria gani, kifungu gani?
Ni baada ya onyo kutoka habari maelezo maana angekaa kimya angesababisha kituo kifungiwe.Hando aliwajibishwa na mamlaka au ni boss wake alijistukia akamuwajibisha?
Wangenuna zisingepita?Ndio wakome, kipindi JPM anapitisha sheria kali za huduma ya habari na pia takwimu walichekelea wakidhani zitaenda kuwanyoosha kina TWAWEZA na Lissu!! Sasa Leo zimemgeukia yeye na mwenzie Polepole ndio wanaanza kulia Lia.
Jamani tujifunze unapoandaa sheria Leo ujue inaweza tumika kwako pia miaka miwili ijayo.
Duniani …sio nchiniHakika, uhuru wa habari nchini ni kwa hisani zaidi ya walio katika mamlaka.
Wangepinga ila Wanahabari walikuwa hawapo serious wakijua wapo salama sababu tu "Rais ni mzalendo... Hakosei" Sasa akija wanayemuona "dhaifu" wanadhani wakikosoa ni haki kumbe sheria zishakua tuned.wangenuna zisingepita?
Ondoa ujinga hapa. Nchi ipo hapa kwenye huu ushenzi kwaajili ya hilo shetani liendazake. Mama najitahidi kuweka mambo sawa.Kwanini mamayo huyu asifutilie mbali hiyo sheria?
.
Ok. Twambie Hando alikiuka sheria gani, kifungu gani?
Swali la kijingawangenuna zisingepita?
Hapo JPM kaingiaje? Shobo mbaya sanaNdio wakome, kipindi JPM anapitisha sheria kali za huduma ya habari na pia takwimu walichekelea wakidhani zitaenda kuwanyoosha kina TWAWEZA na Lissu!! Sasa Leo zimemgeukia yeye na mwenzie Polepole ndio wanaanza kulia Lia.
Jamani tujifunze unapoandaa sheria Leo ujue inaweza tumika kwako pia miaka miwili ijayo.
Kama maji ya mtungini!Kwa sasa akae kwa kutulia tu
Hakuna sheria zilizobadilishwa katika kuweka kwake mambo sawa.Ondoa ujinga hapa. Nchi ipo hapa kwenye huu ushenzi kwaajili ya hilo shetani liendazake. Mama najitahidi kuweka mambo sawa.
Yani jamaa lawama kazipeleka kwa JPM tu.Hapo JPM kaingiaje? Shobo mbaya sana
-inavyokopa-kopa-ovyo.2051625/']Kuhusu nchi kukopa sana[/URL]) anaona ilitoka ndani ya moyo zaidi kuliko kuliko kusimamia hoja ya msingi.
Atakuwa wale wa upinde sio bure....Yani jamaa lawama kazipeleka kwa JPM tu.