As son of a bitch at his very best.SHAMEUWT jifunzeni kuandika
UWT jifunzeni kuandika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
As son of a bitch at his very best.SHAMEUWT jifunzeni kuandika
UWT jifunzeni kuandika
Sio sahihi kabisaBro kwa mwanasiasa kumgomea vyombo vya habari anapata wapi political publicity? Hivi unajua John Mnyika anaweza kupita Kariakoo na watu wasimjue? Je, politically I sahihi?
Mnyika aseme nani yupo vizuri upstairs akamfanyie mahajiano.Nijuavyo kama hauko vizuri upstairs.
Huwezi mhoji Myika yule bwana ana akili sana point 7 form four. point 3 advance
Dr.Nchimbi ameunga unga pale mzumbe . Huyu anaweza hojiwa hata na zembwela
"Kumpata na kumhoji Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Emanuel Nchimbi ni rahisi kuliko Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika," Gerald Hando - Mwandishi wa Habari.
Muulize mama yako kama aliwahi kushudia ujinga wangu vinginevyo wewe ni mtoto si riziki!Hata kwa kuandika hivi umeshajionyesha kuwa wewe ni mjinga 😀
Mnyiko vizuri na namkubali lakini hapo kwenye advance 1.3 umetupiga kamba.......Nijuavyo kama hauko vizuri upstairs.
Huwezi mhoji Myika yule bwana ana akili sana point 7 form four. point 3 advance
Dr.Nchimbi ameunga unga pale mzumbe . Huyu anaweza hojiwa hata na zembwela
Hasa hawa chadema wa humu JF wanadharau wananchi wenzao na kujiona wao ndio wenye akili sana, ila cha ajabu wanaenda kujazana kwenye mikutano ya chadema ni hao hao wananchi wanao wadharau na wao hubaki kusifia nyomi.Tatizo la Chadema wanaaamini wanaakili kushinda watanzania wote.
Wanawadharau mpaka wapiga kura wao.
Wasafi ni chawa wa Ccm ndio maana Chadema hawapendi kwenda huko.Bro kwa mwanasiasa kumgomea vyombo vya habari anapata wapi political publicity? Hivi unajua John Mnyika anaweza kupita Kariakoo na watu wasimjue? Je, politically I sahihi?
Hawezi kuacha, tena siku hizi hakuna anayemcontrol.Hivi Gerald Hando bado anaendekeza ule ulevi mbwa wake hadi anazima bar?
Sawa. Nitajie chombo Cha habari kisicho chawa kwa CCM.Wasafi ni chawa wa Ccm ndio maana Chadema hawapendi kwenda huko.
Ukiwaambia ukweli wanakuwa wakali na matusi, na hapo ndio hawajachukua madaraka,wakichukua nchi itakuwaje?Hasa hawa chadema wa humu JF wanadharau wananchi wenzao na kujiona wao ndio wenye akili sana, ila cha ajabu wanaenda kujazana kwenye mikutano ya chadema ni hao hao wananchi wanao wadharau na wao hubaki kusifia nyomi.
Sawa. Nitajie chombo Cha habari kisicho chawa kwa CCM.
Ahahahahaha! Jenerali Ulimwengu ana TV au Redio? Huyo mwingine hata sijui! Ahahahahaha!!Kuna jamaa anaitwa John Marwa na online TV yake sio chawa. Waandishi kama Jenerali Ulimwengu sio chawa. Lakini Wasafi ni chawa na Lissu aliwahi kukubali kuhojiwa nao wakaishia kufuta kipindi.
Mtafute John Marwa jamaa anajitahidi kuwa huru. Nashukuru umekubali kwamba Jenerali Ulimwengu sio chawa.Ahahahahaha! Jenerali Ulimwengu ana TV au Redio? Huyo mwingine hata sijui! Ahahahahaha!!
Kama wewe ni mhenga humu JF ungelijua msimamo wangu kuhusu Jenerali Ulimwengu. SIMKUBALI KABISA!!Mtafute John Marwa jamaa anajitahidi kuwa huru. Nashukuru umekubali kwamba Jenerali Ulimwengu sio chawa.
Kwanini humkubali? Jenerali ana mapungufu yake kama binaadamu yeyote lakini kwa kiwango kikubwa anasema kweli kuhusu kinachoendelea ktk Tanganyika yetu. Pia kwa sasa hivi ukiacha tatizo la uchawa, tasnia ya habari imeharibika kabisa na kukosa weledi wa kutekeleza majukumu yao. Yaani hata kama wana habari wetu wangekuwa sio machawa, bado viwango vyao vya kitaaluma ni vya chini mno.Kama wewe ni mhenga humu JF ungelijua msimamo wangu kuhusu Jenerali Ulimwengu. SIMKUBALI KABISA!!
Mtu anaamini kwa kuwa chadema haipo madarakani basi makosa na mapungufu ya hiko chama ni halali tu kuwepo haina shida wala hakuna uhitaji wa kukosoa kisa tu chadema haipo madarakani. Kwanza huwezi kukuta wanakubali mapungufu ya viongozi wao, wao kutwa ni kuwasifia tu kuwa wana akili sana yani kwa sababu wapo chadema basi hiyo inawafanya wawe na akili sana ila wakihama tu chadema wanageuka wajinga hapo hapo.Ukiwaambia ukweli wanakuwa wakali na matusi, na hapo ndio hawajachukua madaraka,wakichukua nchi itakuwaje?