Pre GE2025 Gerald Hando: Uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ulikuwa na mizengwe mingi sana ndani ya CCM kwenyewe

Pre GE2025 Gerald Hando: Uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ulikuwa na mizengwe mingi sana ndani ya CCM kwenyewe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Akiongea asubuhi kwenye uchambuzi wa gazeti la Raia Mwema bwana Hando amesema ndani ya CCM uchaguzi mkuu 2020 kulikuwa na mizengwe mingi sana katika kuwapitisha madiwani na wabunge jambo linalowafanya wabunge na madiwani wengi sana wa CCM kuangukia pua kwenye uchaguzi wa mwakani.
 
Akiongea asubuhi kwenye uchambuzi wa gazeti la raia mwema bwana hando amesema ndani ya ccm uchaguzi mkuu 2020 kulikuwa na mizengwe mingi sana ndani ya ccm katika kuwapitisha madiwani na wabunge jambo linalowafanya wabunge na madiwani
wengi sana wa ccm kuangukia pua kwenye uchaguzi wa mwakani.
Kwa uroho wa madaraka ataendelea pale alipoishia Jiwe.
Zengwe litaendelea na pengine likawa kubwa zaidi ya 2020.
 
Akiongea asubuhi kwenye uchambuzi wa gazeti la Raia Mwema bwana Hando amesema ndani ya CCM uchaguzi mkuu 2020 kulikuwa na mizengwe mingi sana katika kuwapitisha madiwani na wabunge jambo linalowafanya wabunge na madiwani wengi sana wa CCM kuangukia pua kwenye uchaguzi wa mwakani.
anapotosha wananchi na kuwahadaa wapinzani 🐒
 
Mkuu Cannabis , msema kweli mpenzi wa Mungu, ile kura moja mimi niliyopata, haikusababishwa na kupigwa zengwe, bali nilivuna nilichokipanda. Na nilikubali matokeo kwa roho safi Uchaguzi 2020 - Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!
P

Na walikuonea huruma ungeweza kuta hata ungepata kura negative 100. Ile moja ina maana hata mkeo hakukupigia?watoto na rafiki zako?na waliokushawishi ugombee? Binadamu siyo wema
 
Akiongea asubuhi kwenye uchambuzi wa gazeti la Raia Mwema bwana Hando amesema ndani ya CCM uchaguzi mkuu 2020 kulikuwa na mizengwe mingi sana katika kuwapitisha madiwani na wabunge jambo linalowafanya wabunge na madiwani wengi sana wa CCM kuangukia pua kwenye uchaguzi wa mwakani.
Mwashambwa atakubishia na hoja u chwara!
 
Na walikuonea huruma ungeweza kuta hata ungepata kura negative 100. Ile moja ina maana hata mkeo hakukupigia?watoto na rafiki zako?na waliokushawishi ugombee? Binadamu siyo wema
Wanaopiga kura za maoni za maoni ni wajumbe, tulikuwa wagombea 176, walipata kura ni 55, kuna wagombea 125 wameambulia kura sifuri, hivyo kura yangu moja ina thamani sana!.
P
 
ni muhimu kuhamasisha na kujiandaa vyema na uchaguzi wa Nov 27,2024, watashindwa na atawaambia tena vivyo hivyo 2029 huyo muungwana?🐒
Yeye hakutaka kusema hivyo kwa ajili ya wapinzani lakini alikuwa akieelezea uhalisia uliokuwepo siku hizo maana hata hiyo kuangukia pua haimaanishi kwamba lazima wapinzani washinde ila ni tahadhari kwa hao waliopita kwa mbeleko kwamba uwezikano wao kurudi ni mdogo.
 
Back
Top Bottom