The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Akiongea asubuhi kwenye uchambuzi wa gazeti la Raia Mwema bwana Hando amesema ndani ya CCM uchaguzi mkuu 2020 kulikuwa na mizengwe mingi sana katika kuwapitisha madiwani na wabunge jambo linalowafanya wabunge na madiwani wengi sana wa CCM kuangukia pua kwenye uchaguzi wa mwakani.