Kingekuwa chuma kisingeoza.Wanafiki tu. Mbona hamkuthubutu kusema kipindi kile chuma kikiwepo.
Kidume kimoja tu lakini Kila mtu aliongelea tumboni. Tena hao waandishi wa habari kazi ilikuwa kujichekesha chekesha tu na kusifia.Kingekuwa chuma kisingeoza.
kwasababu za kiutimamu, wewe hutakua na sifa ya kupiga kura gentleman 🐒Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Wala sihitaji kushiriki huo upuuzi.kwasababu za kiutimamu, wewe hutakua na sifa ya kupiga kura gentleman 🐒
huwezi kuruhusiwa kwasabb huna sifa za kikatiba gentleman🐒Wala sihitaji kushiriki huo upuuzi.
Ni kweli, maana sifa hizo za kikatiba na kuwa Zombie.huwezi kuruhusu kwasabb huna sifa za kikatiba gentleman🐒
Anazungumza kana kwamba hakumbuki historia. Labda angetuambia katika chaguzi za kabla ay 2020 ni ipi ambayo ndani ya CCM hakukuwa na mizengwe... ili tulinganishe.Akiongea asubuhi kwenye uchambuzi wa gazeti la Raia Mwema bwana Hando amesema ndani ya CCM uchaguzi mkuu 2020 kulikuwa na mizengwe mingi sana katika kuwapitisha madiwani na wabunge jambo linalowafanya wabunge na madiwani wengi sana wa CCM kuangukia pua kwenye uchaguzi wa mwakani.
YesNi kweli, maana sifa hizo za kikatiba na kuwa Zombie.
Nimecheka kwa nguvu vibaya. Uchaguzi huo ni wa mazombie, hivyo endeleeni na waliobaki kuamini hayo maigizo yaitwayo uchaguzi.Yes
we ni zombie ndio maana hurusiwi 🐒
Hana tuu Bahati, mbona kina Lukasi Mwashambwa na tlatlaah wapo humu kupamba teuzi zinawapita kila uchwao!