Pre GE2025 Gerald Hando: Uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ulikuwa na mizengwe mingi sana ndani ya CCM kwenyewe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
 
Anazungumza kana kwamba hakumbuki historia. Labda angetuambia katika chaguzi za kabla ay 2020 ni ipi ambayo ndani ya CCM hakukuwa na mizengwe... ili tulinganishe.
 
Yes
we ni zombie ndio maana hurusiwi 🐒
Nimecheka kwa nguvu vibaya. Uchaguzi huo ni wa mazombie, hivyo endeleeni na waliobaki kuamini hayo maigizo yaitwayo uchaguzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…