Gerald Hando: Watanzania wanataka sukari, usituambie tusitumie. Asema majibu ya Janabi na Chalamila ni dharau kwa watanzania

Janabi yupo sahihi ila kauli ya mkuu wa mkoa sio kabisa ameongea kisiasa,na kauli ya Hando yupo sahihi kabisa kama kiongozi atupatie sababu za msingi kwanin hamna sukari,sukari ina matumizi mengi
 
Nikuulize kwanza,umesikiliza kauli ya mkuu wa mkoa vizuri?na je umesikiliza kauli ya Janabi vizur na mwisho wa siku umekielewa alichokisema Jerald Hando?
 
Kumshambulia Prof. Janabi ni kukosa utimamu mzuri, yule ni mtaalam wa masuala ya Afya ni lazima atoe tahadhari lakini neno lake sio sheria kikubwa likitokea yeye atakua pale Muhimbili kukutibia huku ukilalamika gharama ni kubwa.
 
Wewe unaongea utafikiri huishi Tanzania..!! Wewe unafahamu kwamba watanzania wengi walivyopigika ili wale matunda lazima waandikiwe na daktari.
Kama matunda ni ghali basi jaribu ugonjwa!
 
Kumshambulia Prof. Janabi ni kukosa utimamu mzuri, yule ni mtaalam wa masuala ya Afya ni lazima atoe tahadhari lakini neno lake sio sheria kikubwa likitokea yeye atakua pale Muhimbili kukutibia huku ukilalamika gharama ni kubwa.
Usifikiri kila mtu ni punguani.
Kwa taarifa yako yeye ndio kakosa utimamu.....wacha apewe makavu...
 
Kwahiyo utaniambia janabi hatumii sukari ?
 
CCM WAWEWESEKA MBEYA

Wameita Bajaji Wapuuuzwa
Wameita Bodaboda wamepuuzwa
Wameita Wamachinga wamepuuzwa
Wameita wafanyabiashara wamepuuzwa
Wameitaa Mama kishe wamepuuzwa
Wameita waandishi wa habari wamepuuzwa

Maandamano ndiyo HABARI YA MBEYA.

Mwisho Wakamtuma Naibu waziri Mkuu Dotto awe anakatisha ktka maandamano ya CHADEMA [emoji23][emoji23]

Mara aende ,Mara arudi

Wamekutana na midfielder mkata umeme Tundu Lissu,Kawazuia Kupita Kudadekiiiiiiii.

Mkinuna tunapost tena,Shauri zenu
 
Muhimbili National Hospital, MNH (Muhimbili)

Muhimbili Orthopaedic Institute, MOI (MOI)
Zote ni Muhimbili.
Hata Mloganzila inajulikana kama Muhimbili.

MUHAS
MOI
MNH
Muhimbili - Mloganzila.

Ukienda kupata huduma ya CT Scan Muhimbili NH, kama kuna foleni utapelekwa MOI, na MOI ni hivyo hivyo.
 
Janabi anamatatizo ya akili. Afya ya akili. Ila anaendekezwa sababi ya wadhifa wake. Uwa anaongea vitu vingi ambavyo practically havimake sense.
 
Mimi siwezi kula chakula ambacho hakina chumvi, lazima nitatapika!!
Mimi mtu haniambii chochote kuhusu chumvi.

Siwaamini hawa wanaosema tusile chumvi eti ina madhara,ni uongo mtupu,chumvi muhimu sana katika mwili.
 
Zote ni Muhimbili.
Hata Mloganzila inajulikana kama Muhimbili.

MUHAS
MOI
MNH
Muhimbili - Mloganzila.

Ukienda kupata huduma ya CT Scan Muhimbili NH, kama kuna foleni utapelekwa MOI, na MOI ni hivyo hivyo.

Japo unajaribu kulazimisha lakini bado umezidi kuzitofautisha.

1. Umeitaja Muhimbili(MNH)

2. Umeitaja Mloganzila(Tawi la MNH)

3. Umeitaja MOI (Muhimbili Orthopaedic Institute).

Kawaida mtu akikuambia kalazwa Muhimbili amemanisha MNH.

Ukiambiwa yupo MOI (Mifupa)

Aa ukiambiwa yupo Mloganzila unajua kabisa alipo.

MUHAS ni Chuo Kikuu
 
Reactions: Cyb
Mkuu wa Mkoa anakuja na hoja pia kuwa Umeme ni mwingi kasoro ni miundombinu tu...

Mteule wa Rais anayewakikisha mamlaka ya uteuzi ndo anakuja na akiki hizi.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…