Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bin laden alifariki 2001 kwa typhus,hawakusema ili waendelee kumtumia kama mtaji,sasa ilipofika hawahitaj jina osama tena wakaamua kuuwa jinamiz lao,ikabid waje na story hii ambayo ina vyanzo vingi,kimojawapo ni jasusi wa pakistan kuuza siriDu! wamarekani shida sana. Mimi ndio hua simuamini mtu yeyote
Ulinzi huo haukua dhaifu, kwa kugha ya sasa ulinzi wa Ladeni ulikuwa wa kidigital zaidi ndo maana hata wamarekani uliwagharimu hadi kumuuwa.Ni kweli kabisa hata mm nashindwa kuelewa ni vipi mtu kama osama akawa na ulinzi dhaifu kiasi hicho maana wanajeshi wa marekani wamekutana na watu wawili tu wenye silaha za kivita tena AK-47.
Hana uwezo huo wa kuisarambatisha NKSwali ninalojiuliza uyo mke wa Abra aliuawa vipi na ilikuaje?
Dah kifo kweli ni hatari yaani Osama kamsukuma mkewe ili apate kujinusuru yeye mwenyew,yeye si anawahamasisha watu wajitoe muhanga mbona yeye aliogopa kujitoa muhanga na badala yake anamsukuma mkewe.
Kwa maelezo hayo tafsiri yake ni kwamva Marekani wakiamua kukuondoa duniani wanaweza hata uwe na ulinzi kiasi gani,naona Bush alimaliza ubabe wa Saddam,Obama kamaliza Osama Trump anaenda kuisambaratisha ile Korea ya Kaskazini maana jamaa ana kiburi sana.
stori imetulia inakufanya mtu uchangamke.. lakini kama kweli osama alikuwa na hiyo sera basi bila shaka yoyote ile huyo waliyemuua hakuwa osama,, --"If you live like you are in the 'past', the 'future' will never find you"! (Ukiishi kama upo kwenye nyakati za zamani, usasa hautakukamata kamwe)
hapa pia kuna cha kusema.. ina maana kuzipita kuta zote hizo.. wa kwanza futi 12,, wa pili futi 18 wa tatu 7 kwenye ghorofa ya tatu,, na ukutane na watu watano yu pekee,, si mchezo.. huu ni uongo mkubwa sana,, mbali na jizo camera za ulinzi,, chopa ambayo iligonga ukuta,,Jumba hili lilizungukwa na ukuta wenye urefu wa futi 12 lakini ndani yake ukiingia unakutana na eneo la wazi tupu alafu anakuta ukuta mwingine wenye urefu wa futi 18. Kuta zoto hizi juu yake zilikuwa na waya za miba miba na umeme.
Pia jumba hili lilikuwa na ghorofa tatu na katika balkoni ya gorofa ya tatu ilikuwa na ukuta wake wa kuikinga wenye urefu wa futi 7. Pia kulikuwa na kamera za ulinzi katika kila kona ya jumba hili.
Ona hata aibu basii una quote habari yote hiyokwanin mpka sasa imekuwa classified issue
Heeh?! Tanzania tena?Uhii nimejiona kama nimeingia ktk story na kushuhudia kila kitu.
Kumbe hawakumzika walimdumbukiza ktk maji loo
Na familia yake baada ya kufungwa pingu waliishia wap waliachiwa huru?
Halafu yule kijana aliyejiita muwindaji akija kutoka itakua ni hatari nyingine
Mungu ilinde Tanzania yangu