Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
kweli mana hajatuelezea waliondoka vipi hasa baada ya kulipua ile helcopter moja, mana zile hazina ukubwa kivile kitu kinachosaidia kutotoa sauti. Pia hapo lazima kuwe na walinzi wa nje ya jengo, Mapambano ya hao hakuna! hata mbwa wa kuwakaribishaNimeipenda!! Ila haina source! Isijekuwa source ni Mr X wa Hollywood.