Huwa huna hoja, zaidi ya kuwa obsessed na neno LDC!msaada? I think you are not aware how msaada works....it comes from the more developed country to the least developed one..in this case, it should be from Kenya to LDC Tz
Mmejenga kilomita ngapi za SGR?Povu litakuua, au basi nahisi una njaa hujanywa hata chai[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Badala ya mimi kukujibu maswali yako ya kipuuzi inabidi wewe ndo uchukue mda wako kujua yafuatayo, ambayo ukiyafahamu basi na majibu ya maswali yako hayatakusumbua!
SGR Inajengwa kwa phase ngapi?
Kila phase inaanzia wapi hadi wapi na umbali wake.
Pesa ya ndani itatumika kiasi gani, phase ipi?
Pesa ya mkopo inategemewa kuwa kiasi gani,
Ukijua haya ni dhahili hata maswali yako ya ovyo hapo juu utajijibu kirahisi kabisa!
Ila nasisitiza tena, badala ya kuwa jeuri, kuwa mpole uombe msaada tukusaidie!
So nyinyi ni LDC. Lol..kwa nini jina hilo linakukera hivyo na ni kweli?Huwa huna hoja, zaidi ya kuwa obsessed na neno LDC!
Nilikwambia badala ya kukazana kuuliza hivi vijiswali uombe msaada tukufafanulie! Kuhoji usichojua haitakusaidia!Mmejenga kilomita ngapi za SGR?
pole kama ime kuuma...πππbut sorry to burst ur bubble, Tz is a member of the LDC club...πππyaani pamoja na somalia, south sidan, na nchi zingine maskini kwel kwel...LDCππππHuwa huna hoja, zaidi ya kuwa obsessed na neno LDC!
LDC no discussion...inawauma sanaππππSo nyinyi ni LDC. Lol..kwa nini jina hilo linakukera hivyo na ni kweli?
Kijana. Enda ulale kwanza. Ongea nami mkijenga kilomita Moja tu! ya imaginary SGR [emoji24] [emoji24] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nilikwambia badala ya kukazana kuuliza hivi vijiswali uombe msaada tukufafanulie! Kuhoji usichojua haitakusaidia!
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]One road, one belt forum haikuwaalika Kenya na Ethiopia pekee acha ushamba Tanzania tumepata viwanda na soko la mihogo kwenye hiyo forum na waziri wetu alikua huko.
Yet you ar enjoying yourself in what you call LDC platform! [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]pole kama ime kuuma...πππbut sorry to burst ur bubble, Tz is a member of the LDC club...πππyaani pamoja na somalia, south sidan, na nchi zingine maskini kwel kwel...LDCππππ
Umri wangu nalingana na baba yako bwana mdogo, uwe na adabu!Kijana. Enda ulale kwanza. Ongea nami mkijenga kilomita Moja tu! ya imaginary SGR [emoji24] [emoji24] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Shhhh...Nimekwambia uongee nami mkijenga kilomita Moja tu ya SGRUmri wangu nalingana na baba yako bwana mdogo, uwe na adabu!
Ndo maana unakomaa kwa mambo usojua hata yakoje!
Lazima tuwatoe majirani zetu ujingaYet you ar enjoying yourself in what you call LDC platform! [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Shhhh...Nimekwambia uongee nami mkijenga kilomita Moja tu ya SGR
Lazima tuwatoe majirani zetu ujinga
Nimekuuliza mmejenga mita ngapi za SGR ama mmepata pesa ngapi za kufadhili mradi huu na umeshindwa kujibu kwa sababu hujui kazi no kupiga kelele hapa JF kwa miradi isiyoexistHoja zimeisha, huu upupu wako peleka Kenya talk sio hapa
Juu tuna Mandege Kwa ma ElfuWameona Kenya ni Shamba la bibi. Wakenya kwa kupenda kupanda ndege hutowaweza. Hapo wanaona ujiko mkubwa sana.
Wewe nimekwambia uombe kufafanuliwa hutaki kuelewa kwa jinsi ulivyo kichwa ngumu, sasa ntajibu mtu asiyejua atajuaje kama nimejibu kweli au uongo!Nimekuuliza mmejenga mita ngapi za SGR ama mmepata pesa ngapi za kufadhili mradi huu na umeshindwa kujibu kwa sababu hujui kazi no kupiga kelele hapa JF kwa miradi isiyoexist
Nyie in manyang'aoJuu tuna Mandege Kwa ma Elfu
Sio KQ
sio Jumbo jet
Sio Fly 540
Sio KAF
SIO KP
Sio Private Jets
Sio private Helicopters
Sio Drones
Nyinyi hata Airline iliwashinda