German cops search Tanzanian over murder of Kenyan nurse

German cops search Tanzanian over murder of Kenyan nurse

Hehehe wakenya ni terrorists. 😀 Kijana punguza bange. Ubishi wa kidini hapo niondoe. 80%+ ya wakenya ni wakristo. Naachia hapo.
Nimekuambia ni terrorists, sijataja dini, kwani terrorits wana dini maalumu?, terrorist ni mtu yeyote anayeamua kuwa gaidi, kama vile jambazi au mwenye kuua albino, anaweza kuwa dini au kabila lolote, acha ubaguzi wako wa kikenya huo.
 
Africans taking their shithole ways to other countries.

The young Kenyan lady was magnanimous enough to offer some job to a stranded Tanzanian brother in a foreign land but see the pay back!! Very disgusting!
 
Dunia nzima Tanzania inajulikana kwa kuwa na watu polite, friendly na wenye kupendana wenyewe kwa wenyewe, wakati Kenya inajulikana kama Taifa la manyang'au, hata ninyi wakenya mnalijua hilo, hata google inatambua hilo kwamba ninyi ni watu katili sana na wenye roho mbaya, kiteto cha kutoa roho ya mtu kwenu ni kama kuvuta sigara, hapo Nairobi kila siku watu watano wanauliwa, crime rate mnawazidi hadi South Africa.

Any way, katika hili tunawaomba msamaha kama wakenya wote, hatuwezi kuifikia familia ya huyu marehumu, ila itoshe tu kuonyesha kwamba tupo pamoja na familia ya huyu mwendazake, na tunalaani kwa nguvu zote kitendo cha kinyang'au alichokifanya huyu chizi.

Wrong..... You people yafaa mjioji sana
 
Back
Top Bottom