Nina rafiki yangu alikuwa South Africa, ananunua GB 1 kwa mwezi, tunaongea kwa whatsup mwanzo mwisho na hata video call. Hapa Bongo ukinunua hiyo GB1 pamoja na mtandao kusua sua, kwa hayo matumizi haimalizi wiki sijui tofauti ya GB ya South Africa na GB ya Tanzania ni ipi? LAKINI muhimu zaidi ni kuwa, uchumu wa South Africa huwezi kabisa kulinganisha na Tanzania.
Nikisikia mtu analinganisha bei ya bidhaa kwa Nchi tofauti tofauti bila kuongelea Nguvu ya Uchumi (purchasing power) ya Nchi husika naona kama kuna kitu anahitaji kuelekezwa