Gerson Msigwa amelewa madaraka, anadhani kila mwananchi ana kipato kama chake

Gerson Msigwa amelewa madaraka, anadhani kila mwananchi ana kipato kama chake

Ikulu kuna ombwe kubwa sana wala si utani. Huyu naye si kosa lake, mkiona anangea hivyo jua ndo reflection yenu ilivyo kutoka kwa hawamu ya 6 ..simply wanaupiga hatari!
 
Kimsingi, hata ukienda baadhi ya mataifa raia wake wanalipwa pesa za kijikimu na hawapo katika ajira. Je, hawaoni mifano kama hiyo ili tujicompare na hao ?!

Hapo utagundua hawa wezi wanatafuta tu vimaneno maneno vya kufilisika sera ambavyo wanatumia kutafuta uhalali wa kisiasa kuendelea kuwapo katika uongozi ile hali wameshindwa tayari kuongoza raia na kusimamia serikali.

Huyo kijana hayupo hapo kuwakilisha serikali ya watanzania, yupo hapo kuwasilisha kikundi cha Majizi menzake ambayo siku zao zinahesabika kutoka sasa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes Msigwa kwa hili nitamtetea.... Ripoti ya worldbank juu ya FinTech inaonyesha kweli Tz ina unafuu wa bando kuliko mataifa mengi ya afrika mashariki na kati. Mfano tu pale UG nakumbuka MB 50 tuliuziwa kwa 500, GB moja iliuzwa elfu 5 na hii unatumia ndani ya saa moja tu!!

Na hili pia linapimwa kwa kutumia bando bila kujiunga pia.... Yaani ukiwasha daya bila kuwa na kifurushi utatumia MB nyingi kwa bei ndogo kuliko nchi nyingine zilizotuzunguka.
Akili yako ipo sawa unapoona sawa kwa Msigwa kusema Bei ya Internet Tanzania ni nafuu kulinganisha na Nchi za Ulaya!?

Unahisi Uchumi wa Tanzania ni sawa European countries?
 
Msigwa anasema dola 15 gb 1 ulaya
Hapa bongo sh 15 unaweza kupata nn
 
"Kumekuwa na malalamiko ya vifurushi vimepanda, lakini niwaambie sisi ni kati ya nchi 5 Afrika zenye gharama za chini za bando, ziko baadhi ya nchi za Ulaya ambazo gharama zake ni kubwa, ninafahamu iko nchi ambayo unanunua GB 1 kwa Dola 15"- @MsigwaGerson

#MsemajiWaSerikaliPress https://t.co/v8HsgP6tlm
View attachment 1912341
Pumbavu zako wee! Tangu dikteta Magufuli akuibue kutoka Mfaranyaki unajiona siyo mngoni tena!
 
Mpaka mwaka jana 1GB Afrika Kusini ilikua USD 10 Vodacom
Mwongo mkubwa. Afrika Kusini ya wapi 1GB ni dola 10? Nimetoka Cape Town wiki hii. 1GB ni rand 149. Hii ni sawa na dola 149×0.0068 = 1.01.
 
Rudi shule... Saizi yake umelambwa na madalali wa airtime. 1GB ni R85 sasa hivi

Screenshot_20210828-170544_Chrome.jpg
 
Mkuu,PPP inafanya kazi yake hapo.Msilete za kuleta.10USD ukiwa nayo hapa ni mshahara wa mtu kwa siku ila huko SA ni mshahara wa saa moja
Nieleze kwa nini ya EU ni ya rahisi kama ya Tanzania?
 
Kweli amelewa wake ndugu zake huko iringa na makete sijui kama wanamuelwa acha tu muda utaongea alipokuwa TBC huyu alikuwa choka mbaya Songea huko.....leo dhsrau na kibri
Naomba kumtetea Msigwa, alichosema ni ukweli mtupu!.

Kuna baadhi ya vitu na huduma hapa Tanzania ni cheap kuliko sehemu nyingine, ila Watanzania wasio na exposure hali ikoje huko kwingimeko duniani, ni walalamishi sana, mpaka basi. Tanzania tuko kwenye mtangamano wa nchi za Africa Mashariki, mtangamano huo unakwenda stage kwa stage, utakapofikia stage ya free labour migration, mtaona jinsi Kenyans wanakuja kulamba most decent jobs. Tukifika stage ya monetary union and single currency, ndipo Watanzania mtagundua tulikuwa tumedekezwa sana by spoon fed.
Life will really be expensive
P
 
Naomba kumtetea Msigwa, alichosema ni ukweli mtupu!.

Kuna baadhi ya vitu na huduma hapa Tanzania ni cheap kuliko sehemu nyingine, ila Watanzania wasio na exposure hali ikoje huko kwingimeko duniani, ni walalamishi sana, mpaka basi. Tanzania tuko kwenye mtangamano wa nchi za Africa Mashariki, mtangamano huo unakwenda stage kwa stage, utakapofikia stage ya free labour migration, mtaona jinsi Kenyans wanakuja kulamba most decent jobs. Tukifika stage ya monetary union and single currency, ndipo Watanzania mtagundua tulikuwa tumedekezwa sana by spoon fed.
Life will really be expensive
P

Acha uongo wewe ni bidhaa gani tanzania ni cheap kuliko nchi nyengine, hata ivyo garama za bidhaa kupanda inategemea zaidi mkao wa uchumi wa nchi husika,
 
Akili yako ipo sawa unapoona sawa kwa Msigwa kusema Bei ya Internet Tanzania ni nafuu kulinganisha na Nchi za Ulaya!?

Unahisi Uchumi wa Tanzania ni sawa European countries?
Mkuu wapi nmelinganisha na Ulaya?? Nmelinganisha na UG and other african countries.

Alafu anaposema GB hamaanishi bando la kujiunga ila kutumia internet bila kujiunga na kifurushi ndio inapokua cheap!!

Kasome ripoti ya Fintech kuhusu technology adoption in Tanzania. Watafiti ndio wame conclude Tz ina Tsh per MB ndogo kuliko majority of African nations!!

Kuhusu Ulaya hapo naungana na ww kuwa anapotosha, sababu dollar 10 kwao ni chenji ya juisi tu.... Sio sawa na kuipata hyo dollar 10 hapa Afrika.
 
Msigwa ni mmoja wa watu wanaomhujumu mh. Rais waziwazi! Na hii inakuja baada ya mama kukataa kufanya kazi naye! Badala ya kushukuru Kwa nafasi aliyowekwa ili asife njaa, anamgombanisha mama na walipakodi!
Mh. Rais ikikupendeza mtoe hapo ulipomuweka arudi tbc alikotoka! Hana shukrani huyo na ana kundi analolitumikia kukuhujumu!
 
"Kumekuwa na malalamiko ya vifurushi vimepanda, lakini niwaambie sisi ni kati ya nchi 5 Afrika zenye gharama za chini za bando, ziko baadhi ya nchi za Ulaya ambazo gharama zake ni kubwa, ninafahamu iko nchi ambayo unanunua GB 1 kwa Dola 15"- @MsigwaGerson

#MsemajiWaSerikaliPress https://t.co/v8HsgP6tlm
View attachment 1912341
Ndugu Msigwa! wewe siyo yule ambaye jamii kubwa ilikuona na kukujua. Nini kimekupata? You are so smart with the best IQ. Inashangaza kukuona unaanza kuji-toxify. Unasahau ulikotoka....mwenda tezi na omo marejeo ngamani.
 
Back
Top Bottom