Amesema Ulaya. Tupatie nchi ya Ulaya ambayo raia wake wananunua internet kwa USD 10 kwa GB 1. Tuanzie hapo.Yes Msigwa kwa hili nitamtetea.... Ripoti ya worldbank juu ya FinTech inaonyesha kweli Tz ina unafuu wa bando kuliko mataifa mengi ya afrika mashariki na kati. Mfano tu pale UG nakumbuka MB 50 tuliuziwa kwa 500, GB moja iliuzwa elfu 5 na hii unatumia ndani ya saa moja tu!!
Na hili pia linapimwa kwa kutumia bando bila kujiunga pia.... Yaani ukiwasha daya bila kuwa na kifurushi utatumia MB nyingi kwa bei ndogo kuliko nchi nyingine zilizotuzunguka.
Mkuu,PPP inafanya kazi yake hapo.Msilete za kuleta.10USD ukiwa nayo hapa ni mshahara wa mtu kwa siku ila huko SA ni mshahara wa saa mojaMpaka mwaka jana 1GB Afrika Kusini ilikua USD 10 Vodacom
Ok, kwa sababu wananchi wa Uganda wanakandamizwa kupata mabando kwa bei kubwa na Tanzania ndio iwe hivyo?Yes Msigwa kwa hili nitamtetea.... Ripoti ya worldbank juu ya FinTech inaonyesha kweli Tz ina unafuu wa bando kuliko mataifa mengi ya afrika mashariki na kati. Mfano tu pale UG nakumbuka MB 50 tuliuziwa kwa 500, GB moja iliuzwa elfu 5 na hii unatumia ndani ya saa moja tu!!
Na hili pia linapimwa kwa kutumia bando bila kujiunga pia.... Yaani ukiwasha daya bila kuwa na kifurushi utatumia MB nyingi kwa bei ndogo kuliko nchi nyingine zilizotuzunguka.
Pato la mwananchi wa dubai ni sawa na la mtanzania?Hapa Dubai GB 1 tunanunua dirham 36 sawa na usd 10 mtandao wa Advacomm
ISP wa bongo na hao wa Dubai wao hawanunui bundle? Na muuzaji wao anabei tofauti kwa sababu wao wanauza TZ????Pato la mwananchi wa dubai ni sawa na la mtanzania?
Mh!ISP wa bongo na hao wa Dubai wao hawanunui bundle? Na muuzaji wao anabei tofauti kwa sababu wewe unauza TZ????
nenda ulaya kawasha data ako urudi mwezako wa Malawi aliwezaNaridhika na halotel buku mega
Ila Sasa network Ina down kila mara
Kama ni Ulaya basi anapotosha maana kwao hyo Dollar 10 ni kma chenji tu ya juisi. Lakini pia kasi ya internet ya kule plus upatikanaji ni mara elfu ya huku so accessibility ni kubwa kuliko huku hasa wireless network imetapakaa sana na kuna baadhi ya maeneo ni bure kabisa.Amesema Ulaya. Tupatie nchi ya Ulaya ambayo raia wake wananunua internet kwa USD 10 kwa GB 1. Tuanzie hapo.
Huyu ni mpuuzi mwingine Kati ya wapuuzi walioko serikalini,sasa hv anajiona na akili nyingi kwa kazi ya kuteuliwa,ajiulize hiyo nafasi ikitangazwa,watu waombe,hata nafasi ya 20 hatafika."Kumekuwa na malalamiko ya vifurushi vimepanda, lakini niwaambie sisi ni kati ya nchi 5 Afrika zenye gharama za chini za bando, ziko baadhi ya nchi za Ulaya ambazo gharama zake ni kubwa, ninafahamu iko nchi ambayo unanunua GB 1 kwa Dola 15"- @MsigwaGerson
#MsemajiWaSerikaliPress https://t.co/v8HsgP6tlm
View attachment 1912341
Mimi siungi mkono tozo lakini nachosema ni kwamba watu wanakosea wanapomkejeli kuwa Tz haina Bundle nafuu kuliko nchi zingine hasa jirani!! Ndio nimegusia ripoti ya FinTech na pia experience yangu ya majirani zetu.Ok, kwa sababu wananchi wa Uganda wanakandamizwa kupata mabando kwa bei kubwa na Tanzania ndio iwe hivyo?
Ndio justification ya kuwa na tozo za miamala?
Mkuu unazungumzia GB moja kumaliza wiki wakati hata siku 2 haziishi GB linakata.....Nina rafiki yangu alikuwa South Africa, ananunua GB 1 kwa mwezi, tunaongea kwa whatsup mwanzo mwisho na hata video call. Hapa Bongo ukinunua hiyo GB1 pamoja na mtandao kusua sua, kwa hayo matumizi haimalizi wiki sijui tofauti ya GB ya South Africa na GB ya Tanzania ni ipi? LAKINI muhimu zaidi ni kuwa, uchumu wa South Africa huwezi kabisa kulinganisha na Tanzania.
Nikisikia mtu analinganisha bei ya bidhaa kwa Nchi tofauti tofauti bila kuongelea Nguvu ya Uchumi (purchasing power) ya Nchi husika naona kama kuna kitu anahitaji kuelekezwa
unataka kufananisha uchumi wa south africa na tz
Nina uhakika Ulaya hakuna nchi wanayouziwa GB 1 kwa USD 10. Huu ni uongo. Ulaya wanakaribia kuiingiza huduma ya internet kama mojawapo ya haki za binadamu, kama yalivyo maji na afya. Kuna nchi zimepitisha sheria kuwa serikali itoe angalau GB 1 FREE kwa siku, za ziada ndiyo unalipia.
Nchi nyingi za Ulaya anayoisema Msigwa zina internet ya bure kabisa - free Internet. Kwa cheo chake, Gerson Msigwa hakupaswa kuongea mambo ya jumla jumla bila mifano au utafiti unaoweza kurejewa na kila mtu.
Mpaka mwaka jana 1GB Afrika Kusini ilikua USD 10 Vodacom
Unataka kufananisha uchumi wa south africa na tz
The average price of 1GB of mobile data in SA is $2.67 (R39)Nina rafiki yangu alikuwa South Africa, ananunua GB 1 kwa mwezi, tunaongea kwa whatsup mwanzo mwisho na hata video call. Hapa Bongo ukinunua hiyo GB1 pamoja na mtandao kusua sua, kwa hayo matumizi haimalizi wiki sijui tofauti ya GB ya South Africa na GB ya Tanzania ni ipi? LAKINI muhimu zaidi ni kuwa, uchumu wa South Africa huwezi kabisa kulinganisha na Tanzania.
Nikisikia mtu analinganisha bei ya bidhaa kwa Nchi tofauti tofauti bila kuongelea Nguvu ya Uchumi (purchasing power) ya Nchi husika naona kama kuna kitu anahitaji kuelekezwa
Huyu kijana ni wa kusikitikia tu maana alikotolewa lakini leo anajiona yuko juu ya mnazi."Kumekuwa na malalamiko ya vifurushi vimepanda, lakini niwaambie sisi ni kati ya nchi 5 Afrika zenye gharama za chini za bando, ziko baadhi ya nchi za Ulaya ambazo gharama zake ni kubwa, ninafahamu iko nchi ambayo unanunua GB 1 kwa Dola 15"- @MsigwaGerson
#MsemajiWaSerikaliPress https://t.co/v8HsgP6tlm
View attachment 1912341
Hawajui kitu inaitwa compare and contrast.Anapoongelea Ulaya anazingatia Kipato cha mtu?
Je anajua kuwa wengi wa raia wa Tz hawana kipato zaidibya US 1 kwa siku?
Je anajua Per capita income ya Tz ni kiasi gani?
Je anajua kuwa wengi wa Tz wanaishi kwa mlo mmoja?
Kama ni hizi elimu za kuunga unga ana haki hiyo