Gerson Msigwa aniombe radhi hadharani kupitia chombo cha habari alichonichafulia jina na Utu wangu

Duh! Inasikitisha sana kwa kiongozi Kama Msigwa ambaye ni msemaji mkuu wa serikali anaweza nena maneno hayo magumu.

Hata Kama unajua mtu huyo anatenda hivyo ,angepaswa kutumia lugha na njia zingine rafiki kushauri na si kumdhalilisha kiasi hicho!!
Kwahiyo na ww unasapoti ushoger?,nonsense
 
Hili tangazo ulipie sasa
 
Kumbe sayansi inasema wanaopinga ushoga nao ni mashoga?


 
Umechelewa sana kuchukua hatua,ata hivyo njia uliyoitumia sio njia sahihi vinginevyo uwe na sababu maalamu ingawa itakua ngumu kueleweka maana njia stahiki iko wazi ambayo ni vyombo vyakisheria.Pole sana.
 
Utakuwa na chembechembe za ushoger mbona unamtetea sana na msemaji wa serikali amethibisha hilo
Duuuh😳😳😳

Sitetei tabia hizo mbaya...bali ninashutumu tabia ya hovyo ya kutoheshimiana kwa kuongea HADHARANI kashfa za AIBU NA FEDHEHA.......kwa yeyote afanyaye......

Haya umeshanidhalilisha basi furahisha nafsi yako mkuu....

Peace
 
Kwa kauli ile ya Msemaji wa Serikali ilitosha kuaminisha umma kwamba Zitto, wewe na Marehemu ni mashoga. Nasubiri kanusho kwa Zitto, pia kufungua kesi mahakamani ili kudai fidia kwa udhalilishaji, ikiwa Msemaji atashindwa kuithibitishia mahakama juu ya madai ya ushoga.
Kumtuhumu au kumsingizia mtu ushoga ni jambo kubwa sana. Laweza kumuathiri mtu na utenda kazi wa majukumu yake.
Muda muafaka wa kuwatapisha watu tozo.
 
I thought you were going straight to Court and press legal charges (Defamation)in-case you're 100% sure that what was said is contrary to...... !!!
 
Wanaopinga ushoga wengi ni mashoga wasiokubali uhalisia wa ushoga wao,
Na wale watu wenye akili na uwezo mdogo wa ufahamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…