Gerson Msigwa aniombe radhi hadharani kupitia chombo cha habari alichonichafulia jina na Utu wangu

Mfanyenji hata Mtendaji wa Kata atatulia kama mbwa mbwekaji aliyerushiwa mfupa

Nadhani uanze kufanywa kwanza wewe ili utulie maana ubwekaji wako kama mbwa kichaa😏😏
 
Mimi nasimama na msemaji wa Serikali. Unanyukwa
 
Picha yako tu inaonyesha hata hausingiziwi ni either mpunga au mchele
 
Ila umekaa kishongaaa poleee....maana hujakana tuhuma Ila umetaka uombwee radhii
 
Tabia za hovyo anaweza kuwa nazo yeyote kwani ubaya hauna kwao....

Nilitegemea utamshambulia mtoa hoja huku ukiwa na UTHIBITISHO WA HUO USHOGA WAKE....
Wewe na Msemaji wa Serikali nani ana vyanzo vya uhakika vya taarifa sahihi? Msigwa kasema dogo ananyukwa na tunamuamini.
 
Imeniuma kwelikweli....

Kwani hakuna mwenye HATIMILIKI ya kumchafua mwenzake hadharani.....

Msigwa ni msomi sikutegemea aongee vile....

Kwani kila swali wanaloulizwa wanahabari huwa wanajibu?!!!
Ana uhakika na alichosema Suphian hana marinda
 
Aisee inauma sana, kumbe wewe ni mwanachama hai wa CCM alafu unachafuliwa hivi - aisee wakuombe msahama kwa kweli.. tuko upande wako.
 
Mimi naona kama Sophia anatafuta soko jipya baada ya kudoda, au Mimi ndio nimeleewa vibaya...????
 
Shoga hastahili heshima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…