Gerson Msigwa aniombe radhi hadharani kupitia chombo cha habari alichonichafulia jina na Utu wangu

Kalegea mnooo aisee
 
Maana naona kavalia njuga badala ya kulaani lkn yeye amekuwa mtetezi
Unalaani kitu usicho na USHAHIDI nacho?!!!

Wewe umeshuhudia hayo matendo ya kishoga?!!!

Tunapoteza weledi wa mambo kana kwamba si member wa JF......
 
Unalaani kitu usicho na USHAHIDI nacho?!!!

Wewe umeshuhudia hayo matendo ya kishoga?!!!

Tunapoteza weledi wa mambo kana kwamba si member wa JF......
Hapa tunachangia mada iliyoletwa na muhusika.

Wewe unataka tufanye nini sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…