Gerson Msigwa aniombe radhi hadharani kupitia chombo cha habari alichonichafulia jina na Utu wangu

Nasoma nyundo za watanzania wakikupiga vitu vizito kichwani,ungekaa kimya walianza kusahau wabongo sio wa kuwaambia matatizo yako .
Any way kama ni ya kweli yachukulie sheria sio msamaha tena ,huo ni udhalilishaji mkubwa
 
Ili msamaha uombwe si lazima kuwe na uthibitisho wa kukanusha?

Haya mambo Sufiani ameyaleta humu kwanini?? Alitaka fedheha? Au alitaka promo?
Duuuh😳😳

Haya dada yangu mama D....

Ndg.Suphian analalamika kutuhumiwa hadharani na ametaka kuombwa msamaha hadharani.....

All and all ninaamini hili litakwisha KIUNGWANA NA KIHEKIMA ila lituachie FUNZO kuwa si VYEMA NA HAKUNA AFYA kutuhumiana hadharani mambo ya aibu na machafu....wakati mwingine hata ikiwa ni kweli....kwani YANAYOTUUNGANISHA NI MENGI...MENGI MNO...kuliko yanayotutenganisha......

Binafsi ninaendelea kuheshimu WAHENGA walioturai kuwa si vyema KUNENA KILA TUSIKIALO/TUJUALO NA TUONALO.....

1)Binadamu wote ni sawa

2)Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake
 
Hivi kweli wewe na shati lako zuri namna hiyo kutoka chama dume upakuliwe na viongozi wa chama jike!!!
Baadhi ya watanzania tunapenda sana kunyanyasana KIHISIA....

Hivi Kama hizo tuhuma si kweli basi ni kiasi gani unamtesa MTANZANIA mwenzako na kumuachia athari kubwa za PTSD(Post traumatic stress disorder)?!!!

Duuh kweli "MACHONI KAMA WATU....."

Khaaa 😳😳😳

It's terrible
 


Kama jama mmoja alivyosema hapo juu, ulikuwa wapi muda wote tokea Musiba achapishe hizo habari? Kimantiki, ukimya wako ni tafsiri tosha kuwa kuna ukweli kwenye hizo tuhuma. Hukuchukua hatua yoyote wakati ule unakuja kuibuka leo? Pumbaaf!
 
Mkuu si ulisema hutajihusisha na mambo ya siasa tena?
 
Ila kwa huyo aliye tuhumu haguswi maana ni sawa na kuichokoza ikulu
Kwa kuwa anayeshambuliwa ni UVCCM....naona leo umechagua upande.....🀣

Endelea kuiunga mkono serikali ya CCM katika kila jambo.....

Kidumu Chama Cha MapinduziπŸ’ͺ
 

Jumbe hili neno lilishakwisha na kupotea maskioni mwa watanzania walio wengi.

Angetumia utaratibu mwingine ila kwa hili ni kwamba amejivisha bango

Tena ukweli ni kwamba waliolisikiaga hili neno ni wachache sanaaaa ila kwa hii promo ya Sufiani yaani atakua anaongoza kwenye chat sasa. Yaani promo imefika kunakotakiwa...

Sasa mhenga mimi najiuliza nia yake haswa kuja kulifufua hili jambo kwa style alitumia ni ili aombwe msamaha? Au ni kutafuta attention ya wadau?
Kwanini hakulalamikaga palepale alipotuhumiwa

Tukiwa wadogo tulifundishwa kwamba mtu akikutukana unatakiwa kwenda kumshtaki kwamba amekutuka, ila kulirudia lile tusi alilokutukana hadharani ni kuwatukana wakubwa zako

Sufiani ameamua kutoa matusi hadharani
 
Duuh 😳😳🀣

Haya dadangu nisalimie wapwa zangu hapo Kigamboni πŸ‘
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…