Pre GE2025 Gerson Msigwa aweka bango la “Uchochezi” kwenye taarifa ya Mwananchi ya njia 4 kufungwa Dar sababu ya mgogoro DRC

Pre GE2025 Gerson Msigwa aweka bango la “Uchochezi” kwenye taarifa ya Mwananchi ya njia 4 kufungwa Dar sababu ya mgogoro DRC

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Msigwa kaamua kuchagua vayolensi na kusema Mwananchi imefanya uchochezi kwa kusema barabara 4 Dar zimefungwa kwa muda sababu ya mgogoro wa DRC na M23.

Pia soma: Pre GE2025 - Hali ya Vyombo vya Habari kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025: Kuna uhuru wa kutosha katika utekelezaji wa majukumu yao?

Sasa hapo uchochezi uko wapi Mkuu Gerson Msigwa :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh:? Kwani mkutano huu umetoka sababu ya nini? Nna lengo la mkutano huu ni nini? Au wanakutana kwaajili ya kunywa kahawa na kupiga umbea?

Mpaka uchaguzi upite tutaona mengi aisee! Mwananchi imeufyata shwaaaa maana wanajua mna sehemu ya kuwaminyia, wasije wakapigwa kabali nyingine na kuambiwa watafunguliwa mwezi wa 11, 2025.

Mnaenda kuua ubunifu kwenye sekta hii kwa kuwa tu mtu fulani anafikiri kilakitu kikiandikwa anasemwa yeye na utawala wake. Haya ni matokeo ya utawala na viongozi duni kwenye nafasi muhimu na nyeti. Kungekuwa na utawala bora na uwajibikaji msingekuwa mnafanya mambo kwa hisia na kujipendekeza utafikiri hamna chembe ya dignity mliyobaki nayo.

Nimebubujikwa machozi ya huzuni:PeepoRunCry::PeepoRunCry::PeepoRunCry:

IMG_20250208_101804_159.jpg

Pia soma: Barabara nne Dar kufungwa kuimarisha Usalama mkutano wa SADC na EAC kujadili mzozo wa DRC
 
Mfumo wa Elimu Tanzania, unawafanya wengi kua na Vyeti ila hawana Maarifa.

Msigwa afaham ( japo sio taaluma yangu) Mwandishi huzingatia sana uchaguzi wa Kichwa Cha habari yake ili kuvutia wasomaji wake.


"machafuko DRC kufunga Barbara nne Dar "... hii humfanya msomaji atamani kujua Kwa namna gan MMachafuko ya DRC yanafunga Barbara za Dar ?.

Ndan yake Sasa ndo utakua maelezo ya Msigwa !!.


Msigwa yeye anataka Mwandishi aandike ' Ujio wa Viongozi wa EAC na SADC kujadili mgogoro DRC kupelekwa Barabara nne kufungwa" ....... Hii imeshaondoa Hamasa ya msomaji kufatilia maana tayari kilichoandikwa Kwa undani, kipo hapo juu.


MSIGWA HANA WELEDI WOWOTE .
 
Mfumo wa Elimu Tanzania, unawafanya wengi kua na Vyeti ila hawana Maarifa.

Msigwa afaham ( japo sio taaluma yangu) Mwandishi huzingatia sana uchaguzi wa Kichwa Cha habari yake ili kuvutia wasomaji wake.


"machafuko DRC kufunga Barbara nne Dar "... hii humfanya msomaji atamani kujua Kwa namna gan MMachafuko ya DRC yanafunga Barbara za Dar ?.

Ndan yake Sasa ndo utakua maelezo ya Msigwa !!.


Msigwa yeye anataka Mwandishi aandike ' Ujio wa Viongozi wa EAC na SADC kujadili mgogoro DRC kupelekwa Barabara nne kufungwa" ....... Hii imeshaondoa Hamasa ya msomaji kufatilia maana tayari kilichoandikwa Kwa undani, kipo hapo juu.


MSIGWA HANA WELEDI WOWOTE .
Umemaliza yote Mkuu, ngoja nimtag hapa asafishe poda na unga wa ndele Gerson Msigwa
 
Wakuu,

Msigwa kaamua kuchagua vayolensi na kusema Mwananchi imefanya uchochezi kwa kusema barabara 4 Dar zimefungwa kwa muda sababu ya mgogoro wa DRC na M23.

Pia soma: Pre GE2025 - Hali ya Vyombo vya Habari kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025: Kuna uhuru wa kutosha katika utekelezaji wa majukumu yao?

Sasa hapo uchochezi uko wapi Mkuu Gerson Msigwa :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh:? Kwani mkutano huu umetoka sababu ya nini? Nna lengo la mkutano huu ni nini? Au wanakutana kwaajili ya kunywa kahawa na kupiga umbea?

Mpaka uchaguzi upite tutaona mengi aisee! Mwananchi imeufyata shwaaaa maana wanajua mna sehemu ya kuwaminyia, wasije wakapigwa kabali nyingine na kuambiwa watafunguliwa mwezi wa 11, 2025.

Mnaenda kuua ubunifu kwenye sekta hii kwa kuwa tu mtu fulani anafikiri kilakitu kikiandikwa anasemwa yeye na utawala wake. Haya ni matokeo ya utawala na viongozi duni kwenye nafasi muhimu na nyeti. Kungekuwa na utawala bora na uwajibikaji msingekuwa mnafanya mambo kwa hisia na kujipendekeza utafikiri hamna chembe ya dignity mliyobaki nayo.

Nimebubujikwa machozi ya huzuni:PeepoRunCry::PeepoRunCry::PeepoRunCry:


Pia soma: Barabara nne Dar kufungwa kuimarisha Usalama mkutano wa SADC na EAC kujadili mzozo wa DRC
Tukubali Mwananchi wameandika KIHUNI. HILI LIPO WAZI KABISA. KICHWA CHA HABARI NI CHA KIHUNI
 
Hizi ni lugha za kuvutia usomaji kwa mtu ambaye yuko informed na bila shaka mtu atakayesoma gazeti atakuwa anafuatilia habari na anajua kuwa wanamaanisha machafuko ya drc yameleta viongozi dar na barabara zitafungwa.
kweli mkuu kwa hili sikupingi..shida ni kwa watawala wetu wengi ni vilaza wenye akili mgando hawajui hilo badala yake wataishia kufungia chombo husika na kukukomoa tu..kwa hivi mwananchi walivyoandika si ajabu kusikia hao mwananchi wamefungiwa..
 
Wakuu,

Msigwa kaamua kuchagua vayolensi na kusema Mwananchi imefanya uchochezi kwa kusema barabara 4 Dar zimefungwa kwa muda sababu ya mgogoro wa DRC na M23.

Pia soma: Pre GE2025 - Hali ya Vyombo vya Habari kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025: Kuna uhuru wa kutosha katika utekelezaji wa majukumu yao?

Sasa hapo uchochezi uko wapi Mkuu Gerson Msigwa :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh:? Kwani mkutano huu umetoka sababu ya nini? Nna lengo la mkutano huu ni nini? Au wanakutana kwaajili ya kunywa kahawa na kupiga umbea?

Mpaka uchaguzi upite tutaona mengi aisee! Mwananchi imeufyata shwaaaa maana wanajua mna sehemu ya kuwaminyia, wasije wakapigwa kabali nyingine na kuambiwa watafunguliwa mwezi wa 11, 2025.

Mnaenda kuua ubunifu kwenye sekta hii kwa kuwa tu mtu fulani anafikiri kilakitu kikiandikwa anasemwa yeye na utawala wake. Haya ni matokeo ya utawala na viongozi duni kwenye nafasi muhimu na nyeti. Kungekuwa na utawala bora na uwajibikaji msingekuwa mnafanya mambo kwa hisia na kujipendekeza utafikiri hamna chembe ya dignity mliyobaki nayo.

Nimebubujikwa machozi ya huzuni:PeepoRunCry::PeepoRunCry::PeepoRunCry:


Pia soma: Barabara nne Dar kufungwa kuimarisha Usalama mkutano wa SADC na EAC kujadili mzozo wa DRC
Basi wamwachie yeye awe anaripoti 😕
 
Mfumo wa Elimu Tanzania, unawafanya wengi kua na Vyeti ila hawana Maarifa.

Msigwa afaham ( japo sio taaluma yangu) Mwandishi huzingatia sana uchaguzi wa Kichwa Cha habari yake ili kuvutia wasomaji wake.


"machafuko DRC kufunga Barbara nne Dar "... hii humfanya msomaji atamani kujua Kwa namna gan MMachafuko ya DRC yanafunga Barbara za Dar ?.

Ndan yake Sasa ndo utakua maelezo ya Msigwa !!.


Msigwa yeye anataka Mwandishi aandike ' Ujio wa Viongozi wa EAC na SADC kujadili mgogoro DRC kupelekwa Barabara nne kufungwa" ....... Hii imeshaondoa Hamasa ya msomaji kufatilia maana tayari kilichoandikwa Kwa undani, kipo hapo juu.


MSIGWA HANA WELEDI WOWOTE .
Huwezi kuweka heading ya kijinga km hiyo..! Kwa hiyo ni sawa kuvutia wasomaji kwa kuweka heading zenye hisia km hiyo ili uuze gazeti..?
 
Back
Top Bottom