Pre GE2025 Gerson Msigwa aweka bango la “Uchochezi” kwenye taarifa ya Mwananchi ya njia 4 kufungwa Dar sababu ya mgogoro DRC

Pre GE2025 Gerson Msigwa aweka bango la “Uchochezi” kwenye taarifa ya Mwananchi ya njia 4 kufungwa Dar sababu ya mgogoro DRC

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu,

Msigwa kaamua kuchagua vayolensi na kusema Mwananchi imefanya uchochezi kwa kusema barabara 4 Dar zimefungwa kwa muda sababu ya mgogoro wa DRC na M23.

Pia soma: Pre GE2025 - Hali ya Vyombo vya Habari kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025: Kuna uhuru wa kutosha katika utekelezaji wa majukumu yao?

Sasa hapo uchochezi uko wapi Mkuu Gerson Msigwa :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh:? Kwani mkutano huu umetoka sababu ya nini? Nna lengo la mkutano huu ni nini? Au wanakutana kwaajili ya kunywa kahawa na kupiga umbea?

Mpaka uchaguzi upite tutaona mengi aisee! Mwananchi imeufyata shwaaaa maana wanajua mna sehemu ya kuwaminyia, wasije wakapigwa kabali nyingine na kuambiwa watafunguliwa mwezi wa 11, 2025.

Mnaenda kuua ubunifu kwenye sekta hii kwa kuwa tu mtu fulani anafikiri kilakitu kikiandikwa anasemwa yeye na utawala wake. Haya ni matokeo ya utawala na viongozi duni kwenye nafasi muhimu na nyeti. Kungekuwa na utawala bora na uwajibikaji msingekuwa mnafanya mambo kwa hisia na kujipendekeza utafikiri hamna chembe ya dignity mliyobaki nayo.

Nimebubujikwa machozi ya huzuni:PeepoRunCry::PeepoRunCry::PeepoRunCry:


Pia soma: Barabara nne Dar kufungwa kuimarisha Usalama mkutano wa SADC na EAC kujadili mzozo wa DRC
Tumerudi enzi za JPM
 
Ni kweli lakini jamaa hiyo heading haijakaa sawa.

Mwananchi wanazengua sana, hivi bado shareholders ni wakenya??
Sasa ile habari ya " MBOO NDANI YA KUMAMOTO" ilikuwa kichwa cha habari kwenye gazeti moja hivi mwaka 1994 kuelekea kwenye mashindano ya world cup.
Kuwa mkongomani aliyekuwa anaichezea Ubelgiji aliitwa MBOO MTOMBO walipiga kambi mji wa KUMAMOTO Japan wakijiandaa na mashindano.
Msigwa anataka kujiona kuwa na yeye amefanya kazi yake ila hakuna shida hapo.
 
Wanakuza tu maneno
Unaandishi ni kipaji
Kuna siku waliandika jamaa ana jina kama la kiongozi wetu wa kwanza kuwa kaiba mbuzi
Watu wakanunua haraka magazeti 😄
Waziri mbaroni kwa utapeli!! 🤣🤣 kumbe mkazi wa mabwe pande ndugu waziri miatano ametapeli kwa kuuzia watu kiwanja kimoja mara mbili.
 
Wakuu,

Msigwa kaamua kuchagua vayolensi na kusema Mwananchi imefanya uchochezi kwa kusema barabara 4 Dar zimefungwa kwa muda sababu ya mgogoro wa DRC na M23.

Pia soma: Pre GE2025 - Hali ya Vyombo vya Habari kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025: Kuna uhuru wa kutosha katika utekelezaji wa majukumu yao?

Sasa hapo uchochezi uko wapi Mkuu Gerson Msigwa :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh:? Kwani mkutano huu umetoka sababu ya nini? Nna lengo la mkutano huu ni nini? Au wanakutana kwaajili ya kunywa kahawa na kupiga umbea?

Mpaka uchaguzi upite tutaona mengi aisee! Mwananchi imeufyata shwaaaa maana wanajua mna sehemu ya kuwaminyia, wasije wakapigwa kabali nyingine na kuambiwa watafunguliwa mwezi wa 11, 2025.

Mnaenda kuua ubunifu kwenye sekta hii kwa kuwa tu mtu fulani anafikiri kilakitu kikiandikwa anasemwa yeye na utawala wake. Haya ni matokeo ya utawala na viongozi duni kwenye nafasi muhimu na nyeti. Kungekuwa na utawala bora na uwajibikaji msingekuwa mnafanya mambo kwa hisia na kujipendekeza utafikiri hamna chembe ya dignity mliyobaki nayo.

Nimebubujikwa machozi ya huzuni:PeepoRunCry::PeepoRunCry::PeepoRunCry:


Pia soma: Barabara nne Dar kufungwa kuimarisha Usalama mkutano wa SADC na EAC kujadili mzozo wa DRC
Hivi anaweza kwenda kuthibitisha mahakamani huo uchocheza? Matumizi mabaya ya madaraka nchi hii mtu akipata nafasi yakuteuliwa tayari anajikuta yuko na akili nyingi kuliko wengine wote
 
Waziri mbaroni kwa utapeli!! 🤣🤣 kumbe mkazi wa mabwe pande ndugu waziri miatano ametapeli kwa kuuzia watu kiwanja kimoja mara mbili.
Hapo ukiherehere na udaku lazima ununue tu 😄 🤣 😂 😆
 
Mwananchi wamekosea!
Hapo wameleta taharuki-Msigwa is right.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom