-ArkadHill
JF-Expert Member
- Nov 1, 2023
- 845
- 1,501
Hopeless kabisa ww tumia akili kuelewa mambohapo kweli Mwananchi wamezingua sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hopeless kabisa ww tumia akili kuelewa mambohapo kweli Mwananchi wamezingua sana.
Unaweza kuwa na uchaguzi wa headline lakini iwe inamvutia msomaji bilaKama wewe ni mwandishi unakosoa kichwa Cha habari Cha mwananchi una shida mahali.
Pengine chuo Chako au uwezo wa uelewa au vyote Kwa pamoja Kuna shida.
Uandishi ni Sanaa na ubunifu.
Mwandishi wa mwananchi analenga zaidi ya Vitu viwili Kwa pamoja.
Kwanza ni kuvutia hadhira kubwa isishie kusoma tu headline Bali itamani kufuatilia habari nzima . Hapo itakuwa imesaidia kutangaza huo mkutano kwa wananchi kufuatilia.
Pili lazima avutie wananchi wengi wanunue gazeti ili kesho kampuni iweze kujiendesha na kuendelea kutuhabarisha .
Hapo ni tofauti na mwandishi wa gazeti la mzalendo na uhuru .
Kwa akili ya kichawa huwezi kuelewa ugumu wa uandishi wa mwananchi.
Kwa uandishi wako tu wa sentensi hii moja (inaonyesha❌) imeonesha huna akili na hujui lolote kuhusu uandishi wa habari.ila sikulaumu ninyi huwa mnakuwa mmefail form four.ndo mnakimbilia kwenye uandishi. Sishangai kabisa.Kwa uandishi wako tu wa sentensi mbili inaonyesha hujui lolote kuhusu uandishi.
Umejaribu kuficha ujinga wako Ila uko wazi sana , rudia tena kusoma ulichoondika.Kwa uandishi wako tu wa sentensi hii moja (inaonyesha❌) imeonesha hunae akili na hujui lolote kuhusu uandishi wa habari.ila sikulaumu ninyi huwa mnakuwa mmefail form four.ndo mnakimbilia kwenye uandishi. Sishangai kabisa.
Kwa hiyo Msigwa na mwananchi nani mwanasiasa , wewe ndo unaingiza siasa kwa kumtetea mwanasiasa mwenye masilahi yake .Unaweza kuwa na uchaguzi wa headline lakini iwe inamvutia msomaji bila
kuondoa au kupotosha maana iliyokusudiwa.
Wewe upo kwenye mlengo wa kisiasa kujaribu kutetea kosa alilofanya Editor wa Mwananchi ambaye ndio mhusika.Mimi sipo huko kwenye siasa zako uchwara.
Kama Editor atadai hana kosa basi akaze fuvu.Uandishi wa habari ni fani yenye miiko yake na utaratibu wake wa kufuata.Ethics of journalism na Law of journalism.
Kupita Barabara yenye makorongo haimanishi usikososea kwa faida ya wengineHalafu wote wanaokandia Elimu ya Nchi yetu wamesoma kwa kupitia mfumo huu huu wa Elimu.
Leo wanajifanya kuponda mfumo uliowaelimisha.
Kuna tofauti ya Uzalendo na uchawa.Uwe mzalendo kwa nchi yako huna nchi nyingine. Usisahau Trump anawarudisha ndg zako maana kule siyo kwao. Hao wakenya hauwajawahi kuwa na jema na nchi yetu. Amkeni kwao huwezi fanya hivyo
Umejaribu kuficha ujinga wako Ila uko wazi sana , rudia tena kusoma ulichoondika. Mwandishi wa habari Kilaza.Umejaribu kuficha ujinga wako Ila uko wazi sana , rudia tena kusoma ulichoondika.
Siku nyengine wakafanyie huko Congo hiyo Mikutano yao!!Wakuu,
Msigwa kaamua kuchagua vayolensi na kusema Mwananchi imefanya uchochezi kwa kusema barabara 4 Dar zimefungwa kwa muda sababu ya mgogoro wa DRC na M23.
Pia soma: Pre GE2025 - Hali ya Vyombo vya Habari kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025: Kuna uhuru wa kutosha katika utekelezaji wa majukumu yao?
Sasa hapo uchochezi uko wapi Mkuu Gerson Msigwa![]()
![]()
? Kwani mkutano huu umetoka sababu ya nini? Nna lengo la mkutano huu ni nini? Au wanakutana kwaajili ya kunywa kahawa na kupiga umbea?
Mpaka uchaguzi upite tutaona mengi aisee! Mwananchi imeufyata shwaaaa maana wanajua mna sehemu ya kuwaminyia, wasije wakapigwa kabali nyingine na kuambiwa watafunguliwa mwezi wa 11, 2025.
Mnaenda kuua ubunifu kwenye sekta hii kwa kuwa tu mtu fulani anafikiri kilakitu kikiandikwa anasemwa yeye na utawala wake. Haya ni matokeo ya utawala na viongozi duni kwenye nafasi muhimu na nyeti. Kungekuwa na utawala bora na uwajibikaji msingekuwa mnafanya mambo kwa hisia na kujipendekeza utafikiri hamna chembe ya dignity mliyobaki nayo.
Nimebubujikwa machozi ya huzuni
Pia soma: Barabara nne Dar kufungwa kuimarisha Usalama mkutano wa SADC na EAC kujadili mzozo wa DRC
Inaitwa tafsida katika lugha yetu adhimu ya kiswahili.Hizi ni lugha za kuvutia usomaji kwa mtu ambaye yuko informed na bila shaka mtu atakayesoma gazeti atakuwa anafuatilia habari na anajua kuwa wanamaanisha machafuko ya drc yameleta viongozi dar na barabara zitafungwa.
Mzee Msigwa ni mtu wa hovyo snGerson Msigwa ana mihemko ya uongozi. Mwandishi wa Mwananchi hajavunja Sheria yoyote, na wala hamna uchochezi alioufanya. Uchawa ni tatizo jipya la afya ya akili
Inaweza ikawa ni field yako lakini ukawa huna uelewa wa kutosha vile vile mkuuMimi ni field yangu.Kuna ethics za journalism na sheria za uandishi wa habari.
Kama Editor unaweza kuweka a catching headline lakini ni lazima iwe inabeba unachokusudia wasomaji wapate bila kuwa na conclusion zinazoweza kuleta maana nyingine.
Sensational headlines kwenye chombo makini cha habari kinaweza kupoteza umakini wa chombo cha habari kwani msomaji anaposoma headline na conclude bila kupata ushahidi wa alichosoma kwenye habari yenyewe.
Huu mtindo unatumika sana kwenye clip za You Tube ili kupata followers na idadi ya wasomaji na wasikilizaji.
Mwananchi wamevunja sheria na kanuni inabidi waombe radhi.
Kama mwananchi halina wasomaji basi TZ hakuna gazeti lenye wasomaji, hivi unajua kuwa mauzo ya magazeti yote tz ukikusanya hayafikii mauzo ya mwananchi? Yaani NIPASHE, uhuru, mzalendo, majira, habari leo nk hawafikii mauzo ya mwananchi.Rubbish, Hilo li takataka sahivi halina wasomaji wanalazimisha kuandika uzushi huo ni utapeli
🤔 🤔 🤔 💭Ni kweli lakini jamaa hiyo heading haijakaa sawa.
Mwananchi wanazengua sana, hivi bado shareholders ni wakenya??
🤣 🤣 🤣Basi wamwachie yeye awe anaripoti 😕
😲😲😲Gazeti la Mwananchi ni adui wa serikali siku nyingi. Ingekuwa Magu hao mbwa wangeshafungiwa na kufukuzwa nchini.
🤣 🤣 🤣Msingwa ana tatizo la afya ya akili siyo bure