Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Mkuu Joni Mtembezi wa alama nyeusi, Black Label, unataka nikutajie mahali kwenye sensitive military installations humu?, mimi zaidi ya kuwa ni mwandishi wa habari, pia ni mjeda, hivyo the national security act hairuhusu na media act pia hairuhusu!.Zipo wapi?
Na kwa nini zisibebe maji kuzima kilimanjaro?!
Hapa umeniacha mkuu, hio shughuli kusudiwa ndio shughuli gani km sio uokozi?ziko standby kwa shughuli kusudiwa, na sio kwa ajili ya uokozi!.
No, huyu ni msemaji rasmi wa serikali, kauli yake ndio kauli ya serikali, na huo ndio ukweli kuwa tuna chopa za abiria na sio za rescue operations!, na hata hizo chopa 4 mimi ninazosema tunazo, ziku ile zinaonyeshwa na kutangaziwa zinauwezo wa kubeba hata kifaru, alikuwepo, kwa vile hizi chopa 4 ni za kazi maalum na sio rescue operation, then he is right!, ila amini nakuambia, angekuwepo yule Ngosha!, huo mdude ungechopolewa ndani ya dakika sifuri!.Kwa maana hiyo ukweli unao wewe. Msigwa kama msemaji wa serikali katulisha matango pori?
Zililetwa kwa madhumuni fulani na sio uokozi!. Hoja ya msingi hapa, kwa vile hizo chopa 4 zenye uwezo wa kuicholopoa ile ndege ndani ya dakika sifuri, tunazo, siku zote ziko standby kwa shughuli kusudiwa!, na tangu zimenunuliwa hiyo shughuli kusudiwa haikuwahi kutokea!, kwanini zisitumike kuokoa roho na maisha ya watu?, that is not for me to aswer, na kumlaumu Msingwa, ni kumuonea bure!.Hapa umeniacha mkuu, hio shughuli kusudiwa ndio shughuli gani km sio uokozi?
This is no for me to answer!, hizo kitu 4 zimeletwa kwa kazi maalum, zimepaki eneo maalum zikiwa standby kusubiria hiyo shughuli maalum, shughuli maalum ikitokea, zinafika aneo la tukio ndani ya dakika sifuri, kwa vile shughuli yake sio uokozi, then acheni ziendelee kukaa standby kusubiria shughuli yake!.Kwanini hizo 4 moja isiwe kanda ya ziwa.
huyu grayson ndiye aliyekuwa anakiongoza kikundi kilichokuwa kinajulikana kama kikosi cha vijana wazalendo wa TANZANIAUnapiga porojo kuwa tuna helikopta za usaifiri tu. Kwani nini msiwe na kunyanyulia mizigo?
Pesa zipo lakini mnaelekeza kwenye mashangingi na ufisadi tu.
Kama tungekuwa na aerial cranes hata nne. Moja kanda ya ziwa, nyingine kusini, kaskazini na pwani ndungu zetu tungewaokoa.
View attachment 2411897
Sidhani kama tunatarajia kuwa na vita hivi karibuni.No, huyu ni msemaji rasmi wa serikali, kauli yake ndio kauli ya serikali, na huo ndio ukweli kuwa tuna chopa za abiria na sio za rescue operations!, na hata hizo chopa 4 mimi ninazosema tunazo, ziku ile zinaonyeshwa na kutangaziwa zinauwezo wa kubeba hata kifaru, alikuwepo, kwa vile hizi chopa 4 ni za kazi maalum na sio rescue operation, then he is right!, ila amini nakuambia, angekuwepo yule Ngosha!, huo mdude ungechopolewa ndani ya dakika sifuri!.
P
Mkuu HIMARS, watu humu mtaniponza nianze kutoa siri za nchi!, huo mdude wetu ni wa kubebea hadi vifaru, itakuwa ka ATR!.Nimegoogle search hiyo picha yako, nikasoma aina ya helicopter na payload yale ukijumlisha mafuta iliyobeba ni 20T max
Nimeitika kaka....Mkuu Joni Mtembezi wa alama nyeusi,
Kiukweli mambo mengine ni viongozi wetu kujiongeza!, enzi za yule CDF Ngosha, kwa vile hatuko vitani, vijana wake walikuwa deployed kwenye issues kibao!, kununua na kusafirisha korosho, ajali ya kivuko Ukerewe, etc.Sidhani kama tunatarajia kuwa na vita hivi karibuni.
Sasa kama kuna "kazi maalum" zaidi ya kuokoa watu kwenye mazingira yenye uhitaji kama yale au kuzima moto mlima kilimanjaro unaoingiza mapato na kuleta ajira then kuna maana iliyofichika sana ya neno "kazi maalum"
Huenda una point ila kama zipo kwanini hazikuja kuokoa hata baada ya lisaa?Mkuu Kamanda Asiyechoka , tufike mahali tuache kulalamika, what was done in Mwanza, its the best we could do!. Kwa taarifa yako, hizo chopa za kufanya hivyo tunazo 4, zilinunuliwa kipindi cha Mkapa kutoka Urusi na zimepaki mahali kusubiria tukio kusudiwa kwa matumizi kusudiwa.
Kwa vile ile ni ajali, time taken toka zilipo hadi aneo la tukio ni more than 30 min flytime, hivyo zingefika na kuipoa ndege with all dead inside, kwasababu ndege ilipoanguka within minutes ilianza kujaa maji na hata kama isingekuwa imetoboka, then they would have died by suffocation kwa kukosa hewa ya oksigen.
Maadam tukio limetokea, kwa ajali na dharura, hilo sasa ndio shamba darasa letu kuwa more well disaster preparedness tutajiandaa kikamilìfu for next time.
Tupunguze kulalamika, tuwe more appreciative kwa kilichofanyika!.
P
Msigwa ameeleza vizuri kabisa hili jambo kuwa hatuna chopa za uokozi!, ninachosema mimi, kwa vile mimi pia ni mjeda, najua kupitia ujeda, tunazo chopa 4 ambazo sio za uokozi, bali ni kazi maalum, lakini zina uwezo wa kuicholopoa hiyo ndege ndani ya dakika sifuri!. Swali ni kam,a zipo, kwa nini hazikutumika?, this no not for me to answer, na kumlaumu msemaji ni kumuonea bure maana sii kila mtu anajua tunazo!.Huenda una point ila kama zipo kwanini hazikuja kuokoa hata baada ya lisaa?
Hata kama ngege ilijaa maji ndani ya dakika kumi bado tunapaswa kuona juhudi za kuokoa Maisha yao hata kama watakutwa wamefariki.
Hapo bado saana kunishawishi yaani tunazo helkopter za uokozi halafu watu wavute ndege kwa kamba masaa yote hayo? Basi ule ni uhujumu bila chenga.
Kama hazipo kwa lengo la uokozi basi tunahitaji za uokozi.Zipo zilinunuliwa kwa kazi maalum na sio kuzimia moto au uokozi!.
Maadam zipo na kile kilichofanya ziwepo sasa hakipo tena, its high time tubadili matumizi ya hayo makitu, badala ya kuiweka tuu midude inakaabure na kuanza kuoza, bora ibadilishiwe matumizi.
P
Dah na hapo ndipo nashangaa Tanzania yangu kwamba Kuna nini cha maana kwenye vita kama si kuokoa Maisha ya raia? Je kwa nini zisitumike kwenye majanga ambayo pia yanagharimu Maisha? Angekuwa anazama mkuu wa nchi zisingetumika? Sielewi kabisa mkuu.Msigwa ameeleza vizuri kabisa hili jambo kuwa hatuna chopa za uokozi!, ninachosema mimi, kwa vile mimi pia ni mjeda, najua kupitia ujeda, tunazo chopa 4 ambazo sio za uokozi, bali ni kazi maalum, lakini zina uwezo wa kuicholopoa hiyo ndege ndani ya dakika sifuri!. Swali ni kam,a zipo, kwa nini hazikutumika?, this no not for me to answer, na kumlaumu msemaji ni kumuonea bure maana sii kila mtu anajua tunazo!.
P
Weee...! At ingekua USA, wangekufa! No.Ule uokozi umefanywa with an hour!. Hizo makitu Tanzania tunazo 4!, tatizo ni mahali zilipopaki ziko standby kwa shughuli kusudiwa, na sio kwa ajili ya uokozi!.
Naendelea kusisitiza hii ni ajali, hata ingetokea US wenye everthing, wao wasinge vunja vioo, na kuokoa kwa mitumbwi, wao wangeicholopoa ndege nzima nzima fasta but will all dead bodies!, kwasababu it takes just 4 minutes kumpoteza binadamu kwa kukosa hewa!.
Kilichofanyika is the best we could do!, lets be appreciative!.
P