Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimegoogle search hiyo picha yako, nikasoma aina ya helicopter na payload yale ukijumlisha mafuta iliyobeba ni 20T maxHuo mdege uliobebwa unaweza kulinganisha na ki ATR?.
P
Na magari ya washawasha kuwadhibiti wapinzani baada ya kuwaibia kura -shame CCM.Unapiga porojo kuwa tuna helikopta za usaifiri tu. Kwani nini msiwe na kunyanyulia mizigo?
Pesa zipo lakini mnaelekeza kwenye mashangingi na ufisadi tu.
Kama tungekuwa na aerial cranes hata nne. Moja kanda ya ziwa, nyingine kusini, kaskazini na pwani ndungu zetu tungewaokoa.
View attachment 2411897
Wewe mpuuzi usifikiri kila mtu humu ni mshabiki wa mambo ya kisiasa,acha kuwashwa washwa hovyo.Nini wewe pimbi wa CCM
Kwanini hizo 4 moja isiwe kanda ya ziwa.Ule uokozi umefanywa with an hour!. Hizo makitu Tanzania tunazo 4!, tatizo ni mahali zilipopaki ziko standby kwa shughuli kusudiwa, na sio kwa ajili ya uokozi!.
Naendelea kusisitiza hii ni ajali, hata ingetokea US wenye everthing, wao wasinge vunja vioo, na kuokoa kwa mitumbwi, wao wangeicholopoa ndege nzima nzima fasta but will all dead bodies!, kwasababu it takes just 4 minutes kumpoteza binadamu kwa kukosa hewa!.
Kilichofanyika is the best we could do!, lets be appreciative!.
P
Kwhy mkuu yupi ana afadhali kwenye ubongo Kati ya hao wawili😂😂Midume inahangaika kutoa ghofu ndani ya maji badala ya kuokoa uhai wa watu Kwanza...
Zipo wapi?Kwa vile ile ni ajali, time taken toka zilipo hadi aneo la tukio ni more than 30 min flytime
Pascal Mayalla mkuu ila hatuonekani kujifunza, Angalia ajali zote kubwa kuanzia mv bukoba, mv spice icelander ile iliyozama zanzibar, na hata hii ya ndege. Acha watu walalamike uzembe mkubwa umeonekana kwenye zzoezi la uokoaji acha kabisa kutetea.Mkuu Kamanda Asiyechoka , tufike mahali tuache kulalamika, what was done in Mwanza, its the best we could do!. Kwa taarifa yako, hizo chopa za kufanya hivyo tunazo 4, zilinunuliwa kipindi cha Mkapa kutoka Urusi na zimepaki mahali kusubiria tukio kusudiwa kwa matumizi kusudiwa.
Kwa vile ile ni ajali, time taken toka zilipo hadi aneo la tukio ni more than 30 min flytime, hivyo zingefika na kuipoa ndege with all dead inside, kwasababu ndege ilipoanguka within minutes ilianza kujaa maji na hata kama isingekuwa imetoboka, then they would have died by suffocation kwa kukosa hewa ya oksigen.
Maadam tukio limetokea, kwa ajali na dharura, hilo sasa ndio shamba darasa letu kuwa more well disaster preparedness tutajiandaa kikamilìfu for next time.
Tupunguze kulalamika, tuwe more appreciative kwa kilichofanyika!.
P
Wewe choko acha kujilengesha,mimi sio mzibuaji.We pimbi siasa ndio kila kitu
Sawa. NimeachaWewe choko acha kujilengesha,mimi sio mzibuaji.
Wewe na Msigwa Nani Yuko serikalini? Msigwa anasema hatuna hata moja, wewe unasema tunazo 4. Kama ni kweli zipo 4 nini Nia ya Msigwa kusema hatuna hata moja? Wavuvi wametumia zaidi ya SAA 2 wala siyo nusu SAA wala SAA 1 kama unavyosema. Kama helcopta iko Mwanza inatumia Muda gani kwenda Bukoba?Ule uokozi umefanywa with an hour!. Hizo makitu Tanzania tunazo 4!, tatizo ni mahali zilipopaki ziko standby kwa shughuli kusudiwa, na sio kwa ajili ya uokozi!.
Naendelea kusisitiza hii ni ajali, hata ingetokea US wenye everthing, wao wasinge vunja vioo, na kuokoa kwa mitumbwi, wao wangeicholopoa ndege nzima nzima fasta but will all dead bodies!, kwasababu it takes just 4 minutes kumpoteza binadamu kwa kukosa hewa!.
Kilichofanyika is the best we could do!, lets be appreciative!.
P
mkuu tumia njia ingine ueleweke mnatakiwa kuwaonea huruma walimuDuh
P
Hivi huwa Ni kila mwaka ama kila baada ya 5yrsVx moja inagharim mil 300. Unanunua magari zaidi ya 400 kila mwaka unaacha kununua hata helkopta ya kunyanyua mizigo?
Mkuu Bila bila, mimi kwa sasa siko serikalini ila zamani niliingia serikalini kabla yake, iWewe na Msigwa Nani Yuko serikalini?
Serikali ni mdude mkubwa sana, hakuna mtu yoyote anayeijua kila kitu kuhusu serikali, mtu unavijua tuu vile vinavyokuhusu, hivyo mimi nilikoingilia serikali siko alikoingilia yeye, hivyo usikute hata yeye hajui kuwa tunazo, ila kama anaingia jf, akiingia na kutusoma humu kaka zake, sasa ndio na yeye atajua tunazo!. Kinachofanywa zisitajwe kwasababu hazikuletwa kwa madhumuni ya rescue oparations na uokoaji!, hizo kitu tunazo zipo tunazo ziko 4, zimeletwa kwa kazi maalum na zipo tuu zimepaki pale mahali zikisubiria kilichofanywa ziletwe kitokee!.Msigwa anasema hatuna hata moja, wewe unasema tunazo 4. Kama ni kweli zipo 4 nini Nia ya Msigwa kusema hatuna hata moja?
Kwa maana hiyo ukweli unao wewe. Msigwa kama msemaji wa serikali katulisha matango pori?Mimi siko serikalini ili niliingia serikalini kabla yake, na huko nilikoingilia siko alikoingilia, serikali ni kubwa sana, hakuna yeyote anayejua kila kitu, hivyo usikute hata yeye hajui kuwa tunazo, kwasababu hazikuletwa kwa madhumini ya uokoaji!, zipo tunazo 4, zimepaki tuu mahali zikisubiria kilichofanywa ziletwe kitokee!.
Amini usiamini, kule mahali, angekuwepo yule Msukuma!, zingetolewa and within 1 hour ndege ingecholopolewa!, hivi ile paredi ya miaka 60 ya uhuru, hamkuiangalia?, mbona zilikuwepo!.
P
Ule uokozi umefanywa with an hour!. Hizo makitu Tanzania tunazo 4!, tatizo ni mahali zilipopaki ziko standby kwa shughuli kusudiwa, na sio kwa ajili ya uokozi!.
Naendelea kusisitiza hii ni ajali, hata ingetokea US wenye everthing, wao wasinge vunja vioo, na kuokoa kwa mitumbwi, wao wangeicholopoa ndege nzima nzima fasta but will all dead bodies!, kwasababu it takes just 4 minutes kumpoteza binadamu kwa kukosa hewa!.
Kilichofanyika is the best we could do!, lets be appreciative!.
P