Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Ni uzembe wa Serikali ya ccm tu. Na Watanzania tusipozinduka na kuwafurusha hawa mumiani wanyonya damu tutakwisha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana wadogo zako humu huwa tunakuambia Mzee Njaa una kaunafiki Fulani ka technical...Maadam tukio limetokea, kwa ajali na dharura, hilo sasa ndio shamba darasa letu kuwa more well disaster preparedness tutajiandaa kikamilìfu for next time.
Tupunguze kulalamika, tuwe more appreciative kwa kilichofanyika!.
P
zinabeba.Mkuu zile chopa tulizonunua zinaweza kubeba tani 18 na ushee?
Hao wenzetu walibadili sheria zao, sisi bado!.Dunia ya leo sio kama miaka ya vita vya Kagera. Leo hii air base za mataifa kibao zipo mitandaoni hadi coordinates za eneo husika unawekewa.
Najua zipo helicopter zinaweza kubeba zaidi ya tani 20 lakini sio hizo za serikali yetu.
GE Wins $143 Million Deal To Power The King Stallion, America’s Next Largest And Most Powerful Helicopter
CH-53K will be able to carry as much as 27,000 pounds of external load, nearly triple what its predecessor could manage. Image credit: GE Aviation
Zipo zilinunuliwa kwa kazi maalum na sio kuzimia moto au uokozi!.Hizo ndege nne unazosema mbona hazijawahi kwenda kuzima Moto mlima Kilimanjaro ..Mnazima Moto juu ya kilele kwa kutumia majani shame on you...
Mbona tunazo!. Ulibahatika kuangalia paredi ya miaka 60 ya uhuru, hukuziona?.Najua zipo helicopter zinaweza kubeba zaidi ya tani 20 lakini sio hizo za serikali yetu.
Okay hata kama tunazo risk assessment yenyewe ingechukua si chini ya one hour. Ungekuwa unakwenda kubeba maiti na sio kuokoa watu!Mbona tunazo!. Ulibahatika kuangalia paredi ya miaka 60 ya uhuru, hukuziona?.
P
Watanzania katika ubora wa ujuaji wetu. Nani angeweza kujua kuwa asubuhi ile pale Bukoba kungekuwa na ajali mbaya ya ndege?.Unapiga porojo kuwa tuna helikopta za usaifiri tu. Kwani nini msiwe na kunyanyulia mizigo?
Pesa zipo lakini mnaelekeza kwenye mashangingi na ufisadi tu.
Kama tungekuwa na aerial cranes hata nne .Moja kanda ya ziwa, nyingine kusini , kaskazini na pwani ndungu zetu tungewaokoa.View attachment 2411897
Divers huko BK watoke wapi?. Divers wako Yatch Club na Zanzibar na sio BK, tukubali tukatae what we did is the best we could!.Namna bora ya haraka ya kuokoa abiria waliopata shida ilikuwa ni kwa divers kuzamia majini haraka, kwa sababu ile ndege ilishaanza kuingia maji...
Hizi mambo za sijui tungekuwa na helicopter au cranes za kunyanyua ile ndege zingechelewa kwa sababu lazima kungea zwa kwanza kufanya impact assessment ya ajali na mlolongo mrefuuuu...
Acha upuuzi .Ingenyanyuliwa ndani ya saa moja maji yangetoka kungekuwa na vifo vichacheNamna bora ya haraka ya kuokoa abiria waliopata shida ilikuwa ni kwa divers kuzamia majini haraka, kwa sababu ile ndege ilishaanza kuingia maji...
Hizi mambo za sijui tungekuwa na helicopter au cranes za kunyanyua ile ndege zingechelewa kwa sababu lazima kungea zwa kwanza kufanya impact assessment ya ajali na mlolongo mrefuuuu...
Dah. Tusivunjane heshima nyie maboya ya CCMMkuu Phillipo Bukililo , mwache dada kamanda.
P
Wewe mwenye akili zingekutosha kufikiria kwamba huo ni mfano tu. Cha kufikiria haraka ni ukweli kuwa pale airport jeshi la maji lingekuwepo tu, wawe ni vifaa vyao vya kawaida tu.We huna akili? Mimi CcM? Mada hapa ni kuwa na helkopta za kunyanyua vitu vizito.
Wewe una post habari za ndege ya malaysia. Kuna uhusiano na namna ndege ya malaysia ma hii yetu zilivyoanguka? Ziko relevant?