fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Umeiona business plan ya ATCL wewe au unasema tu?Namsikiliza Gerson Msigwa ktk kipindi cha the Big Agenda anasema serikali imetoa order ya kutengenezewa ndege nyingine tano ambapo zote zitakuwa zimewasili kabla ya mwaka 2023. Ameongeza kwa kusema zimelipiwa kabisa.
View attachment 1983658
My take.
Hii nchi aliyeturoga kafa. Tuna midege tuliinunua haijawahi kuzalisha hata shilingi moja halafu bado tunaagiza midege mingine.
Za uhakika hazizidi 3 😀😁😁 tuna destinations ngapi so far!
Kuna wajomba wanafaidikaNamsikiliza Gerson Msigwa ktk kipindi cha the Big Agenda anasema serikali imetoa order ya kutengenezewa ndege nyingine tano ambapo zote zitakuwa zimewasili kabla ya mwaka 2023. Ameongeza kwa kusema zimelipiwa kabisa.
View attachment 1983658
My take.
Hii nchi aliyeturoga kafa. Tuna midege tuliinunua haijawahi kuzalisha hata shilingi moja halafu bado tunaagiza midege mingine.
Ni vizuri ukatuelimisha jinsi hii biashara inavyokwenda
Kweli sasa nimeamua kufunga mdomo wangu.Hahahah! umenichekesha sana ndugu.
Zililetwa zikitetea hivi sasa zinalalia, inabidi tusubiri zitotoe faida tutaiona.Namsikiliza Gerson Msigwa ktk kipindi cha the Big Agenda anasema serikali imetoa order ya kutengenezewa ndege nyingine tano ambapo zote zitakuwa zimewasili kabla ya mwaka 2023. Ameongeza kwa kusema zimelipiwa kabisa.
View attachment 1983658
My take.
Hii nchi aliyeturoga kafa. Tuna midege tuliinunua haijawahi kuzalisha hata shilingi moja halafu bado tunaagiza midege mingine.
Mtu mzima na akili zake timamu anaporudia jambo linalopigiwa kelele kila siku ni kukomoana tu, nothing else.Sasa unamwachia nani aongee kama siyo wewe mwananchi?
Ushauri wangu waongeze zingine kumi za kununuliwa cash. Ili tukianza kuvuna tusidaiane na ntu🏃.Hivi nani aliwaambia hawa kununua ndege nyingi ni sifa? au wanatukomoa mpaka tunyamaze ndio waache? ok, mimi siongei tena.
Sababu ya kutoka nje ya ule uandishi tulioufahamu ni pamoja na mawindo ya teuzi, tulikofika ni katika kupotea🚣.Huyo Mtangazaji wa hicho Kipindi popote alipo aanze Kujiandaa kwani Cheo cha ama DC au DED na hata DAS Kwake hakipo mbali kuanzia sasa. Mfikishieni huu Ujumbe wangu Muhimu Kwake tafadhali kwani GENTAMYCINE sijawahi 'Kutabiri' Jambo ( Kitu ) na kisije kutokea iwe sasa, Kesho au hata baadae.
Tatizo mtoa mada huna akili, huna uelewa juu ya biashara ya ndege, nenda kafatilie mashirika Kama Emirates au Ethiopian airways yanavyoendeshwa, serikali inaona mbali, usifikirie hawana akili wanapozidi kununua ndege tu licha ya kwamba kwa saiz zinaingiza profit kidogo...Namsikiliza Gerson Msigwa ktk kipindi cha the Big Agenda anasema serikali imetoa order ya kutengenezewa ndege nyingine tano ambapo zote zitakuwa zimewasili kabla ya mwaka 2023. Ameongeza kwa kusema zimelipiwa kabisa.
View attachment 1983658
My take.
Hii nchi aliyeturoga kafa. Tuna midege tuliinunua haijawahi kuzalisha hata shilingi moja halafu bado tunaagiza midege mingine.
Zilizopo zinaenda wapi? GAG amesema kwenye taarifa yake kuwa kuna hatari kubwa kwa ndege za AIR Tanzania kukamatwa ikiwa zitaruka kwenda nje kutokana na madeni makubwa, sasa tunaongeza nyingine zitaenda wapi? Kwa nini tusingeanza mazungumzo na hao wanaotudai tupunguze madeni taratibu badala ya kununua ndege mpya cash? Ni sawa na kuwa unamdai mtu shs 100,000, kila mara anakuambia hana hela, lakini unamkuta hoteli kubwa na rafiki zake wanakula na kunywa kila sikuNamsikiliza Gerson Msigwa ktk kipindi cha the Big Agenda anasema serikali imetoa order ya kutengenezewa ndege nyingine tano ambapo zote zitakuwa zimewasili kabla ya mwaka 2023. Ameongeza kwa kusema zimelipiwa kabisa.
View attachment 1983658
My take.
Hii nchi aliyeturoga kafa. Tuna midege tuliinunua haijawahi kuzalisha hata shilingi moja halafu bado tunaagiza midege mingine.
Zililetwa bila majoogoo, Sasa yanatafutwa majogoo, tujiandae kulea vifaranga .Zililetwa zikitetea hivi sasa zinalalia, inabidi tusubiri zitotoe faida tutaiona.
Shujaa alikuwa mtu wa fiksi sana.Tuliambiwaga kuwa tayari atcl imeanza kutengeneza faida 30 billion
Sasa ndiyo tunavuna matunda yake maana kila mtu anafanya awezavyo kupika matokeoShujaa alikuwa mtu wa fiksi sana.