[emoji23]itakuaa ajabu nisipopanda pipaNamsikiliza Gerson Msigwa ktk kipindi cha the Big Agenda anasema serikali imetoa order ya kutengenezewa ndege nyingine tano ambapo zote zitakuwa zimewasili kabla ya mwaka 2023. Ameongeza kwa kusema zimelipiwa kabisa.
View attachment 1983658
My take.
Hii nchi aliyeturoga kafa. Tuna midege tuliinunua haijawahi kuzalisha hata shilingi moja halafu bado tunaagiza midege mingine.
Majumba ya popo haya.sidhani kuna bisashara yoyoteNamsikiliza Gerson Msigwa katika kipindi cha the Big Agenda anasema serikali imetoa order ya kutengenezewa ndege nyingine tano ambapo zote zitakuwa zimewasili kabla ya mwaka 2023. Ameongeza kwa kusema zimelipiwa kabisa.
View attachment 1983658
My take.
Hii nchi aliyeturoga kafa. Tuna midege tuliinunua haijawahi kuzalisha hata shilingi moja halafu bado tunaagiza midege mingine.
Yaani wewe unaanza tu biashara unataka mafanikio hapo hapo, na kama ukisipo ona mafanikio unaacha biashara.Hii nchi aliyeturoga kafa. Tuna midege tuliinunua haijawahi kuzalisha hata shilingi moja halafu bado tunaagiza midege mingine.
Nyanda amejitahidi saana kumuuliza maswali magumu japo kwakuyapoza....Nyanda badala ya kumuuliza maswali ya maana ..anapiga sound tu
Namsikiliza Gerson Msigwa katika kipindi cha the Big Agenda anasema serikali imetoa order ya kutengenezewa ndege nyingine tano ambapo zote zitakuwa zimewasili kabla ya mwaka 2023. Ameongeza kwa kusema zimelipiwa kabisa.
View attachment 1983658
My take.
Hii nchi aliyeturoga kafa. Tuna midege tuliinunua haijawahi kuzalisha hata shilingi moja halafu bado tunaagiza midege mingine.
Ndege gani hiyo haijawahi kuzalisha hata shilingi moja?Namsikiliza Gerson Msigwa katika kipindi cha the Big Agenda anasema serikali imetoa order ya kutengenezewa ndege nyingine tano ambapo zote zitakuwa zimewasili kabla ya mwaka 2023. Ameongeza kwa kusema zimelipiwa kabisa.
View attachment 1983658
My take.
Hii nchi aliyeturoga kafa. Tuna midege tuliinunua haijawahi kuzalisha hata shilingi moja halafu bado tunaagiza midege mingine.
Business plan ya TAZARA na ile ya GESI MTWARA ulizisoma wewe ama unaongea tu?Umeiona business plan ya ATCL wewe au unasema tu?
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Nyanda badala ya kumuuliza maswali ya maana ..anapiga sound tu
WHAT??? USHAMBA NA UJINGA NI MZIGO....NDEGE KWA AJILI YA NINI????Namsikiliza Gerson Msigwa katika kipindi cha the Big Agenda anasema serikali imetoa order ya kutengenezewa ndege nyingine tano ambapo zote zitakuwa zimewasili kabla ya mwaka 2023. Ameongeza kwa kusema zimelipiwa kabisa.
View attachment 1983658
My take.
Hii nchi aliyeturoga kafa. Tuna midege tuliinunua haijawahi kuzalisha hata shilingi moja halafu bado tunaagiza midege mingine.
😂😂😂Hivi nani aliwaambia hawa kununua ndege nyingi ni sifa? au wanatukomoa mpaka tunyamaze ndio waache? ok, mimi siongei tena.
Tutakuwa na jumla ya ngapi yakija hayo matanoNamsikiliza Gerson Msigwa katika kipindi cha the Big Agenda anasema serikali imetoa order ya kutengenezewa ndege nyingine tano ambapo zote zitakuwa zimewasili kabla ya mwaka 2023. Ameongeza kwa kusema zimelipiwa kabisa.
View attachment 1983658
My take.
Hii nchi aliyeturoga kafa. Tuna midege tuliinunua haijawahi kuzalisha hata shilingi moja halafu bado tunaagiza midege mingine.
Mpk Sasa zipo 11. Yakija hayo 5 tutakuwa na 16Tutakuwa na jumla ya ngapi yakija hayo matano
Zitatua mpaka vijijini🤣🤣😂Mpk Sasa zipo 11. Yakija hayo 5 tutakuwa na 16
Zinakamua watanzania tu. Haziinhizi chochote zaidi ya kutufilisiZitatua mpaka vijijini🤣🤣😂