Gerson Msigwa: Serikali haiwezi kuajiri kila mhitimu wa Chuo

Gerson Msigwa: Serikali haiwezi kuajiri kila mhitimu wa Chuo

deNavigator

Member
Joined
Sep 22, 2018
Posts
49
Reaction score
63
Leo gerson msigwa akiongea na waandishi wa habari anasema serikali haiwezi kuajiri walimu wote kama ambavyo haiwezi kuajiri waandishi wa habari na fani zingine. Na akaongeza kwakusema kua serikali hua inaajiri walim kwa awamu kila mwaka.

Hapa ni siasa katika elimu kwakweli .

Ivi kweli :
1. Shule zinavojengwa kila siku na madarasa kuongezwa kila siku inaakisi namna wana ajiri walim hawa jamaa ??
Hayo madarasa na shule zinazoongezwa ni nani anafundisha ?

2. Kila siku idadi ya watoto tu ajisifu kua imepanda (enrolment) ni nani anawahudumia hao watoto huko shuleni ??

3. Mapato kila siku yanapanda. Kwanini wanagoma kuongeza fungu katika sekta ya elimu ili watoto wa walipa kodi wafundishwe vilivyo ???
Ivi wanawaona walipa kodi mazuzu kiasi gani kwamba pesa zao zisitumike kuelimisha watoto wao ???

4. Ratio ya walim kwa wanafunzi mbona hawajawah iongelea hawa jamaa ??
Ivi wanataka kusema pale TBC pana upungufu wa waandishi sawa na upungufu wa walim shuleni ?? Au TRA pana upungufu pale?? au NMB au CRDB.
Yani sehem za kuchumia matumbo yao na kujionyesha pana wafanyakazi wa kutosha, why not in schools ??

5. Improvement za mitaala kila siku, ni lini wata improve number of teachers in schools ili mitaala husika itekelezeke ??

6. Comrades ujinga, njaa na umasikini ni maadui wakuu wa mwanadamu. Kwanini TANZANIA tunamdharau sana adui ujinga kiasi cha kuhusudu mfumo legevu wa elimu ...
Mfumo usio na watekelezaji sera na miongozo wa kutosha ????

7. 2016 tuliambiwa after kuwatoa walimu wa vyeti feki wataajiri vijana ku replace zile nafasi .. ndugu zangu, ni lini nafasi za walimu wa vyeti feki zitazibwa ??? Elimu ni mbovu sana huko mashuleni walimu wapo overloaded sana.

Mwalim hawez hata kusaisha daftari za wanafunzi kwa weredi, sabab wanafunzi ni wengi sana.
Nimeenda mwanza pale nimekuta mwalimu kampa tiki mtoto akiwa ameandika kisukuma kwenye zoezi la somo la kingereza.


TANZANIA MNADHARAU SANA ELIMU NAWAAMBIA.

Wanasisa wanadhani waalim wanapambania tu kuajiriwa . Hapana mimi nasimamia ubora wa elim inayotolewa.

Nashauri wafanyishe interview na kila jambo hitajika. Ila mwisho wa siku wahakikishe mtoto wa kitanzania anapata watu wa kutosha kumhudumia akiwa shule. Ili apate ufahamu sawa na watoto wao Wanaosoma kwenye mashule makubwa yenye walim wa masomo yooooote.

KODI ZETU , NA WANAOSOMA HUKO MASHULENI NI WATOTO, WADOGO NA NDUGU ZETU. KODI ZITUMIKE KUAJIRI WAALIMU.
 
Leo gerson msigwa akiongea na waandishi wa habari anasema serikali haiwezi kuajiri walimu wote kama ambavyo haiwezi kuajiri waandishi wa habari na fani zingine. Na akaongeza kwakusema kua serikali hua inaajiri walim kwa awamu kila mwaka.

Hapa ni siasa katika elimu kwakweli .

Ivi kweli :
1. Shule zinavojengwa kila siku na madarasa kuongezwa kila siku inaakisi namna wana ajiri walim hawa jamaa ??
Hayo madarasa na shule zinazoongezwa ni nani anafundisha ?

2. Kila siku idadi ya watoto tu ajisifu kua imepanda (enrolment) ni nani anawahudumia hao watoto huko shuleni ??

3. Mapato kila siku yanapanda. Kwanini wanagoma kuongeza fungu katika sekta ya elimu ili watoto wa walipa kodi wafundishwe vilivyo ???
Ivi wanawaona walipa kodi mazuzu kiasi gani kwamba pesa zao zisitumike kuelimisha watoto wao ???

4. Ratio ya walim kwa wanafunzi mbona hawajawah iongelea hawa jamaa ??
Ivi wanataka kusema pale TBC pana upungufu wa waandishi sawa na upungufu wa walim shuleni ?? Au TRA pana upungufu pale?? au NMB au CRDB.
Yani sehem za kuchumia matumbo yao na kujionyesha pana wafanyakazi wa kutosha, why not in schools ??

5. Improvement za mitaala kila siku, ni lini wata improve number of teachers in schools ili mitaala husika itekelezeke ??

6. Comrades ujinga, njaa na umasikini ni maadui wakuu wa mwanadamu. Kwanini TANZANIA tunamdharau sana adui ujinga kiasi cha kuhusudu mfumo legevu wa elimu ...
Mfumo usio na watekelezaji sera na miongozo wa kutosha ????

7. 2016 tuliambiwa after kuwatoa walimu wa vyeti feki wataajiri vijana ku replace zile nafasi .. ndugu zangu, ni lini nafasi za walimu wa vyeti feki zitazibwa ??? Elimu ni mbovu sana huko mashuleni walimu wapo overloaded sana.

Mwalim hawez hata kusaisha daftari za wanafunzi kwa weredi, sabab wanafunzi ni wengi sana.
Nimeenda mwanza pale nimekuta mwalimu kampa tiki mtoto akiwa ameandika kisukuma kwenye zoezi la somo la kingereza.


TANZANIA MNADHARAU SANA ELIMU NAWAAMBIA.

Wanasisa wanadhani waalim wanapambania tu kuajiriwa . Hapana mimi nasimamia ubora wa elim inayotolewa.

Nashauri wafanyishe interview na kila jambo hitajika. Ila mwisho wa siku wahakikishe mtoto wa kitanzania anapata watu wa kutosha kumhudumia akiwa shule. Ili apate ufahamu sawa na watoto wao Wanaosoma kwenye mashule makubwa yenye walim wa masomo yooooote.

KODI ZETU , NA WANAOSOMA HUKO MASHULENI NI WATOTO, WADOGO NA NDUGU ZETU. KODI ZITUMIKE KUAJIRI WAALIMU.
Walimu ni wachache , KAZI zimeumiza vichwa, ila hawana namna, juzi juzi nilitembelea shule Moja,kwa uchovu wa kuzidiwa KAZI nikaona ameweka tick ya vema kwenye makosa mengi tu. Tuwahurumie walimu KAZI zitawaumiza zimewazidi !
 
Awamu ya sita ijifunze kwa kikwete.pamoja na ufisadi bali aliajili walimu wote tena bila kutuma maombi.ni mifuko unakufuata.hakuna aliyelialia mtaani kuhusu ajira.awamu hizi mbili shida Nini!?
 
Leo gerson msigwa akiongea na waandishi wa habari anasema serikali haiwezi kuajiri walimu wote kama ambavyo haiwezi kuajiri waandishi wa habari na fani zingine. Na akaongeza kwakusema kua serikali hua inaajiri walim kwa awamu kila mwaka.

Hapa ni siasa katika elimu kwakweli .

Ivi kweli :
1. Shule zinavojengwa kila siku na madarasa kuongezwa kila siku inaakisi namna wana ajiri walim hawa jamaa ??
Hayo madarasa na shule zinazoongezwa ni nani anafundisha ?

2. Kila siku idadi ya watoto tu ajisifu kua imepanda (enrolment) ni nani anawahudumia hao watoto huko shuleni ??

3. Mapato kila siku yanapanda. Kwanini wanagoma kuongeza fungu katika sekta ya elimu ili watoto wa walipa kodi wafundishwe vilivyo ???
Ivi wanawaona walipa kodi mazuzu kiasi gani kwamba pesa zao zisitumike kuelimisha watoto wao ???

4. Ratio ya walim kwa wanafunzi mbona hawajawah iongelea hawa jamaa ??
Ivi wanataka kusema pale TBC pana upungufu wa waandishi sawa na upungufu wa walim shuleni ?? Au TRA pana upungufu pale?? au NMB au CRDB.
Yani sehem za kuchumia matumbo yao na kujionyesha pana wafanyakazi wa kutosha, why not in schools ??

5. Improvement za mitaala kila siku, ni lini wata improve number of teachers in schools ili mitaala husika itekelezeke ??

6. Comrades ujinga, njaa na umasikini ni maadui wakuu wa mwanadamu. Kwanini TANZANIA tunamdharau sana adui ujinga kiasi cha kuhusudu mfumo legevu wa elimu ...
Mfumo usio na watekelezaji sera na miongozo wa kutosha ????

7. 2016 tuliambiwa after kuwatoa walimu wa vyeti feki wataajiri vijana ku replace zile nafasi .. ndugu zangu, ni lini nafasi za walimu wa vyeti feki zitazibwa ??? Elimu ni mbovu sana huko mashuleni walimu wapo overloaded sana.

Mwalim hawez hata kusaisha daftari za wanafunzi kwa weredi, sabab wanafunzi ni wengi sana.
Nimeenda mwanza pale nimekuta mwalimu kampa tiki mtoto akiwa ameandika kisukuma kwenye zoezi la somo la kingereza.


TANZANIA MNADHARAU SANA ELIMU NAWAAMBIA.

Wanasisa wanadhani waalim wanapambania tu kuajiriwa . Hapana mimi nasimamia ubora wa elim inayotolewa.

Nashauri wafanyishe interview na kila jambo hitajika. Ila mwisho wa siku wahakikishe mtoto wa kitanzania anapata watu wa kutosha kumhudumia akiwa shule. Ili apate ufahamu sawa na watoto wao Wanaosoma kwenye mashule makubwa yenye walim wa masomo yooooote.

KODI ZETU , NA WANAOSOMA HUKO MASHULENI NI WATOTO, WADOGO NA NDUGU ZETU. KODI ZITUMIKE KUAJIRI WAALIMU.
Pigeni kazi walimu. Ualimu ni wito.
 
Leo gerson msigwa akiongea na waandishi wa habari anasema serikali haiwezi kuajiri walimu wote kama ambavyo haiwezi kuajiri waandishi wa habari na fani zingine. Na akaongeza kwakusema kua serikali hua inaajiri walim kwa awamu kila mwaka.

Hapa ni siasa katika elimu kwakweli .

Ivi kweli :
1. Shule zinavojengwa kila siku na madarasa kuongezwa kila siku inaakisi namna wana ajiri walim hawa jamaa ??
Hayo madarasa na shule zinazoongezwa ni nani anafundisha ?

2. Kila siku idadi ya watoto tu ajisifu kua imepanda (enrolment) ni nani anawahudumia hao watoto huko shuleni ??

3. Mapato kila siku yanapanda. Kwanini wanagoma kuongeza fungu katika sekta ya elimu ili watoto wa walipa kodi wafundishwe vilivyo ???
Ivi wanawaona walipa kodi mazuzu kiasi gani kwamba pesa zao zisitumike kuelimisha watoto wao ???

4. Ratio ya walim kwa wanafunzi mbona hawajawah iongelea hawa jamaa ??
Ivi wanataka kusema pale TBC pana upungufu wa waandishi sawa na upungufu wa walim shuleni ?? Au TRA pana upungufu pale?? au NMB au CRDB.
Yani sehem za kuchumia matumbo yao na kujionyesha pana wafanyakazi wa kutosha, why not in schools ??

5. Improvement za mitaala kila siku, ni lini wata improve number of teachers in schools ili mitaala husika itekelezeke ??

6. Comrades ujinga, njaa na umasikini ni maadui wakuu wa mwanadamu. Kwanini TANZANIA tunamdharau sana adui ujinga kiasi cha kuhusudu mfumo legevu wa elimu ...
Mfumo usio na watekelezaji sera na miongozo wa kutosha ????

7. 2016 tuliambiwa after kuwatoa walimu wa vyeti feki wataajiri vijana ku replace zile nafasi .. ndugu zangu, ni lini nafasi za walimu wa vyeti feki zitazibwa ??? Elimu ni mbovu sana huko mashuleni walimu wapo overloaded sana.

Mwalim hawez hata kusaisha daftari za wanafunzi kwa weredi, sabab wanafunzi ni wengi sana.
Nimeenda mwanza pale nimekuta mwalimu kampa tiki mtoto akiwa ameandika kisukuma kwenye zoezi la somo la kingereza.


TANZANIA MNADHARAU SANA ELIMU NAWAAMBIA.

Wanasisa wanadhani waalim wanapambania tu kuajiriwa . Hapana mimi nasimamia ubora wa elim inayotolewa.

Nashauri wafanyishe interview na kila jambo hitajika. Ila mwisho wa siku wahakikishe mtoto wa kitanzania anapata watu wa kutosha kumhudumia akiwa shule. Ili apate ufahamu sawa na watoto wao Wanaosoma kwenye mashule makubwa yenye walim wa masomo yooooote.

KODI ZETU , NA WANAOSOMA HUKO MASHULENI NI WATOTO, WADOGO NA NDUGU ZETU. KODI ZITUMIKE KUAJIRI WAALIMU.
 
..Waalimu, Madaktari, Wauguzi, wanapaswa kuajiriwa na serikali moja kwa moja toka vyuoni. Hawapaswi kuwa mitaani wakizurura, au kujishughulisha na umachinga.
 
Serikali haina hela ya kuajiri na kulipa walimu wote waliopo hapa nchini...huo ndio ukweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu🐼

Hela ya kuajiri walimu na madaktari haipo, lakini kuna pesa bwelele ya mambo mengi ya kijinga: kununulia magoli, kuhonga wasanii kwa safari za nje na kuwalipa dola 1,000 kwa siku, na ya kununulia pikipiki za kuhonga wanavijiji nchi nzima ili wampe kura wasiyemtaka.
 
Leo gerson msigwa akiongea na waandishi wa habari anasema serikali haiwezi kuajiri walimu wote kama ambavyo haiwezi kuajiri waandishi wa habari na fani zingine. Na akaongeza kwakusema kua serikali hua inaajiri walim kwa awamu kila mwaka.

Hapa ni siasa katika elimu kwakweli .

Ivi kweli :
1. Shule zinavojengwa kila siku na madarasa kuongezwa kila siku inaakisi namna wana ajiri walim hawa jamaa ??
Hayo madarasa na shule zinazoongezwa ni nani anafundisha ?

2. Kila siku idadi ya watoto tu ajisifu kua imepanda (enrolment) ni nani anawahudumia hao watoto huko shuleni ??

3. Mapato kila siku yanapanda. Kwanini wanagoma kuongeza fungu katika sekta ya elimu ili watoto wa walipa kodi wafundishwe vilivyo ???
Ivi wanawaona walipa kodi mazuzu kiasi gani kwamba pesa zao zisitumike kuelimisha watoto wao ???

4. Ratio ya walim kwa wanafunzi mbona hawajawah iongelea hawa jamaa ??
Ivi wanataka kusema pale TBC pana upungufu wa waandishi sawa na upungufu wa walim shuleni ?? Au TRA pana upungufu pale?? au NMB au CRDB.
Yani sehem za kuchumia matumbo yao na kujionyesha pana wafanyakazi wa kutosha, why not in schools ??

5. Improvement za mitaala kila siku, ni lini wata improve number of teachers in schools ili mitaala husika itekelezeke ??

6. Comrades ujinga, njaa na umasikini ni maadui wakuu wa mwanadamu. Kwanini TANZANIA tunamdharau sana adui ujinga kiasi cha kuhusudu mfumo legevu wa elimu ...
Mfumo usio na watekelezaji sera na miongozo wa kutosha ????

7. 2016 tuliambiwa after kuwatoa walimu wa vyeti feki wataajiri vijana ku replace zile nafasi .. ndugu zangu, ni lini nafasi za walimu wa vyeti feki zitazibwa ??? Elimu ni mbovu sana huko mashuleni walimu wapo overloaded sana.

Mwalim hawez hata kusaisha daftari za wanafunzi kwa weredi, sabab wanafunzi ni wengi sana.
Nimeenda mwanza pale nimekuta mwalimu kampa tiki mtoto akiwa ameandika kisukuma kwenye zoezi la somo la kingereza.


TANZANIA MNADHARAU SANA ELIMU NAWAAMBIA.

Wanasisa wanadhani waalim wanapambania tu kuajiriwa . Hapana mimi nasimamia ubora wa elim inayotolewa.

Nashauri wafanyishe interview na kila jambo hitajika. Ila mwisho wa siku wahakikishe mtoto wa kitanzania anapata watu wa kutosha kumhudumia akiwa shule. Ili apate ufahamu sawa na watoto wao Wanaosoma kwenye mashule makubwa yenye walim wa masomo yooooote.

KODI ZETU , NA WANAOSOMA HUKO MASHULENI NI WATOTO, WADOGO NA NDUGU ZETU. KODI ZITUMIKE KUAJIRI WAALIMU.
Maneno meeeeeeengi hamna kitu.
 
..Waalimu, Madaktari, Wauguzi, wanapaswa kuajiriwa na serikali moja kwa moja toka vyuoni. Hawapaswi kuwa mitaani wakizurura, au kujishughulisha na umachinga.
Hizo ni sekta nyeti
 
Leo gerson msigwa akiongea na waandishi wa habari anasema serikali haiwezi kuajiri walimu wote kama ambavyo haiwezi kuajiri waandishi wa habari na fani zingine. Na akaongeza kwakusema kua serikali hua inaajiri walim kwa awamu kila mwaka.

Hapa ni siasa katika elimu kwakweli .

Ivi kweli :
1. Shule zinavojengwa kila siku na madarasa kuongezwa kila siku inaakisi namna wana ajiri walim hawa jamaa ??
Hayo madarasa na shule zinazoongezwa ni nani anafundisha ?

2. Kila siku idadi ya watoto tu ajisifu kua imepanda (enrolment) ni nani anawahudumia hao watoto huko shuleni ??

3. Mapato kila siku yanapanda. Kwanini wanagoma kuongeza fungu katika sekta ya elimu ili watoto wa walipa kodi wafundishwe vilivyo ???
Ivi wanawaona walipa kodi mazuzu kiasi gani kwamba pesa zao zisitumike kuelimisha watoto wao ???

4. Ratio ya walim kwa wanafunzi mbona hawajawah iongelea hawa jamaa ??
Ivi wanataka kusema pale TBC pana upungufu wa waandishi sawa na upungufu wa walim shuleni ?? Au TRA pana upungufu pale?? au NMB au CRDB.
Yani sehem za kuchumia matumbo yao na kujionyesha pana wafanyakazi wa kutosha, why not in schools ??

5. Improvement za mitaala kila siku, ni lini wata improve number of teachers in schools ili mitaala husika itekelezeke ??

6. Comrades ujinga, njaa na umasikini ni maadui wakuu wa mwanadamu. Kwanini TANZANIA tunamdharau sana adui ujinga kiasi cha kuhusudu mfumo legevu wa elimu ...
Mfumo usio na watekelezaji sera na miongozo wa kutosha ????

7. 2016 tuliambiwa after kuwatoa walimu wa vyeti feki wataajiri vijana ku replace zile nafasi .. ndugu zangu, ni lini nafasi za walimu wa vyeti feki zitazibwa ??? Elimu ni mbovu sana huko mashuleni walimu wapo overloaded sana.

Mwalim hawez hata kusaisha daftari za wanafunzi kwa weredi, sabab wanafunzi ni wengi sana.
Nimeenda mwanza pale nimekuta mwalimu kampa tiki mtoto akiwa ameandika kisukuma kwenye zoezi la somo la kingereza.


TANZANIA MNADHARAU SANA ELIMU NAWAAMBIA.

Wanasisa wanadhani waalim wanapambania tu kuajiriwa . Hapana mimi nasimamia ubora wa elim inayotolewa.

Nashauri wafanyishe interview na kila jambo hitajika. Ila mwisho wa siku wahakikishe mtoto wa kitanzania anapata watu wa kutosha kumhudumia akiwa shule. Ili apate ufahamu sawa na watoto wao Wanaosoma kwenye mashule makubwa yenye walim wa masomo yooooote.

KODI ZETU , NA WANAOSOMA HUKO MASHULENI NI WATOTO, WADOGO NA NDUGU ZETU. KODI ZITUMIKE KUAJIRI WAALIMU.
Atlast ameongea ukweli ambao wengi hawapendi kuusikia
 
Leo gerson msigwa akiongea na waandishi wa habari anasema serikali haiwezi kuajiri walimu wote kama ambavyo haiwezi kuajiri waandishi wa habari na fani zingine. Na akaongeza kwakusema kua serikali hua inaajiri walim kwa awamu kila mwaka.

Hapa ni siasa katika elimu kwakweli .

Ivi kweli :
1. Shule zinavojengwa kila siku na madarasa kuongezwa kila siku inaakisi namna wana ajiri walim hawa jamaa ??
Hayo madarasa na shule zinazoongezwa ni nani anafundisha ?

2. Kila siku idadi ya watoto tu ajisifu kua imepanda (enrolment) ni nani anawahudumia hao watoto huko shuleni ??

3. Mapato kila siku yanapanda. Kwanini wanagoma kuongeza fungu katika sekta ya elimu ili watoto wa walipa kodi wafundishwe vilivyo ???
Ivi wanawaona walipa kodi mazuzu kiasi gani kwamba pesa zao zisitumike kuelimisha watoto wao ???

4. Ratio ya walim kwa wanafunzi mbona hawajawah iongelea hawa jamaa ??
Ivi wanataka kusema pale TBC pana upungufu wa waandishi sawa na upungufu wa walim shuleni ?? Au TRA pana upungufu pale?? au NMB au CRDB.
Yani sehem za kuchumia matumbo yao na kujionyesha pana wafanyakazi wa kutosha, why not in schools ??

5. Improvement za mitaala kila siku, ni lini wata improve number of teachers in schools ili mitaala husika itekelezeke ??

6. Comrades ujinga, njaa na umasikini ni maadui wakuu wa mwanadamu. Kwanini TANZANIA tunamdharau sana adui ujinga kiasi cha kuhusudu mfumo legevu wa elimu ...
Mfumo usio na watekelezaji sera na miongozo wa kutosha ????

7. 2016 tuliambiwa after kuwatoa walimu wa vyeti feki wataajiri vijana ku replace zile nafasi .. ndugu zangu, ni lini nafasi za walimu wa vyeti feki zitazibwa ??? Elimu ni mbovu sana huko mashuleni walimu wapo overloaded sana.

Mwalim hawez hata kusaisha daftari za wanafunzi kwa weredi, sabab wanafunzi ni wengi sana.
Nimeenda mwanza pale nimekuta mwalimu kampa tiki mtoto akiwa ameandika kisukuma kwenye zoezi la somo la kingereza.


TANZANIA MNADHARAU SANA ELIMU NAWAAMBIA.

Wanasisa wanadhani waalim wanapambania tu kuajiriwa . Hapana mimi nasimamia ubora wa elim inayotolewa.

Nashauri wafanyishe interview na kila jambo hitajika. Ila mwisho wa siku wahakikishe mtoto wa kitanzania anapata watu wa kutosha kumhudumia akiwa shule. Ili apate ufahamu sawa na watoto wao Wanaosoma kwenye mashule makubwa yenye walim wa masomo yooooote.

KODI ZETU , NA WANAOSOMA HUKO MASHULENI NI WATOTO, WADOGO NA NDUGU ZETU. KODI ZITUMIKE KUAJIRI WAALIMU.
Kuna Vitu Tanzania huwa tunajitakia Wenyewe..

Lets say Tukipunguza Mishahara Ya Wabunge Kutoka milion 18 na Tukaishusha mpaka Milion 8 Je kwa Pesa inayobaki Inaweza Kuajiri walimu wangapi na wanaweza Kutumika Wapi walimu hao...

Ngoja tufanye hesabu, tunaweza kuona ni walimu wangapi wangeajiriwa ikiwa mishahara ya wabunge ingepunguzwa kutoka milioni 18 hadi milioni 8 kwa mwezi.

1. Mshahara wa sasa wa wabunge:

Kila mbunge analipwa milioni 18 kwa mwezi.

Kwa wabunge 393, jumla ya mshahara kwa mwezi ni:

18,000,000 X 393 = 7,074,000,000 { (Tsh 7.074 bilioni)}


2. Lets say tumeshusha Mshahara wabunge (milioni 8):

Ikiwa kila mbunge atalipwa milioni 8, basi jumla ya mshahara kwa wabunge wote itakuwa:

8,000,000 X 393 = 3,144,000,000 { (Tsh 3.144 bilioni)}


3. Kiasi kinachookolewa kwa mwezi:

Pesa inayookolewa ni:

7,074,000,000 - 3,144,000,000 = 3,930,000,000 { (Tsh 3.93 bilioni)}


4. Idadi ya walimu wanaoweza kuajiriwa:

Ikiwa mshahara wa mwalimu mmoja ni Tsh 700,000 kwa mwezi, basi idadi ya walimu wanaoweza kulipwa kwa pesa iliyookolewa ni:

3,930,000,000 ÷ 700,000= 5,614

Kama Tutapunguza Mishahara ya Wabunge tunaweza kuajiri walimu 5,614 kwa mshahara wa Tsh 700,000 kila mmoja kwa mwezi
 
Back
Top Bottom