Gerson Msigwa: Serikali inawasiliana na watoa huduma wa mitandao ya WhatsApp, Facebook na Instagram kuhusu kukosekana kwa huduma

Gerson Msigwa: Serikali inawasiliana na watoa huduma wa mitandao ya WhatsApp, Facebook na Instagram kuhusu kukosekana kwa huduma

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚nchi hii bana. Yaan wanashindwa kupunguza bando wanaongelea yasiyowahusu
 
Tunaishukuru awamu ya sita serikali ya ccm kwa kuturejea mtandao
 
Unaacha kushughulikia tozo unakuja kuangaika na mtu ambaye kukosekana huduma kwa platform zake ndani ya masaa kadhaa amepoteza mabillion ambayo ni bajet ya serikali yetu... haya hata akiziondoa nikuulize we msigwa utamfanya nini yule bwana mdogo 37 yrs old [emoji3][emoji3]
 
Msigwa akimpiga biti Mark Zuckerberg wa facebook ili arudishe huduma haraka sana😁😁😁
AAPYvO.jpg
 
Msigwa hana kazi kufanya....namuonea huruma sasa....hajui nini afanye pole sana .....
 
Msemaji mkuu wa Serikali Bw. Gerson Msigwa ametoa wito kwa wananchi wote kuwa watulivu wakati serikali inawasiliana na makampuni ya WhatsApp, Facebook na Instagram kuhusu changamoto ya kukosekana kwa huduma ya mawasiliano ya mitandao hiyo.

Huduma za mitandao hiyo zilikwama kwa saa kadhaa tarehe 04 Oktoba 2021.

Taarifa hiyo ya wito wa serikali iliyotolewa usiku wa tarehe 4 Oktoba 2021 haikuwezekana kusambaa haraka kama ilivyo kawaida kwa kuwa mitandao hiyo ya kijamii haikuwa hewani.

Hata hivyo, baada ya juhudi mbalimbali za wataalamu huduma hizo zilirejea baadae usiku wa kuamkia tarehe 05 Oktoba 2021.

Kwa hatua hiyo serikali imeonesha kujali wananchi wake na kuthamini umuhimu wa mawasiliano. Pongezi kwa serikali.
View attachment 1964256
Msigwa nae aache kutaka sifa hili ni tatizo la dunia nzima sasa yeye ni nani hadi awasiliane na wahusika kwani anadhani ni Tanzania tu limetokea hili tatizo la mitandao.
 
Hivi hizi fb, twitter and insta, si private entities au ni public bodies ? siku mmiliki wao akisema anaifunga kwa sababu tu ya kuchoka kupokea fedha, tutakimbilia wapi kama serikali? kwa nini serikali yetu nayo isianzishe kitu kama huko Egypt ambayo FB imepigwa marufuku au kama huko China wenye wechat au Russia wenye telegram?
Wao wanawaza Tozo
 
Msigwa nae aache kutaka sifa hili ni tatizo la dunia nzima sasa yeye ni nani hadi awasiliane na wahusika kwani anadhani ni Tanzania tu limetokea hili tatizo la mitandao.
Ndio kazi yake mkuu. Ni msemaji...kazi ni kusema.
 
Nilikuwa namwona jamaa anajielewa
 
Msemaji mkuu wa Serikali Bw. Gerson Msigwa ametoa wito kwa wananchi wote kuwa watulivu wakati serikali inawasiliana na makampuni ya WhatsApp, Facebook na Instagram kuhusu changamoto ya kukosekana kwa huduma ya mawasiliano ya mitandao hiyo.

Huduma za mitandao hiyo zilikwama kwa saa kadhaa tarehe 04 Oktoba 2021.

Taarifa hiyo ya wito wa serikali iliyotolewa usiku wa tarehe 4 Oktoba 2021 haikuwezekana kusambaa haraka kama ilivyo kawaida kwa kuwa mitandao hiyo ya kijamii haikuwa hewani.

Hata hivyo, baada ya juhudi mbalimbali za wataalamu huduma hizo zilirejea baadae usiku wa kuamkia tarehe 05 Oktoba 2021.

Kwa hatua hiyo serikali imeonesha kujali wananchi wake na kuthamini umuhimu wa mawasiliano. Pongezi kwa serikali.
View attachment 1964256

Huduma ilivyorejeshwa, msemaji mkuu wa serikali alitumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kutaarifu kuhusu kurudi kwa huduma hiyo.
View attachment 1964500
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€Έ
 
DPC mbona anachemka sana? Hiyo Outage ilikuwa Globally and not Tanzania Only sasa yeye awasiliane na Facebook then Insta then Whatsapp wakati mmiliki ni mmoja? Kwanini asiseme anawasiliana na Facebook Inc? Ingekuwa hizo social media hazipatikani TZ peke yake statement yake ingekuwa na maana.
 
Jana malipo ya LUKU yamezingua hawakutoa taarifa ,ila Mambo ya nje ambayo yapo juu ya uwezo wao wapo makini
 
Back
Top Bottom