Gerson Msigwa: Serikali inawasiliana na watoa huduma wa mitandao ya WhatsApp, Facebook na Instagram kuhusu kukosekana kwa huduma

Gerson Msigwa: Serikali inawasiliana na watoa huduma wa mitandao ya WhatsApp, Facebook na Instagram kuhusu kukosekana kwa huduma

Wakati wa uchaguzi 2020 October serikali iliwasiliana nao kufunga na kufungua mitandao?
 
Sasa ni rasmi serikali ya Tonzonia inawaona wananchi washamba na wajinga.
Imagine tatizo la kimtandao ambalo limeikumba dunia mzima ila hapa Tonzonia wanataka waingize siasa
 
Msemaji mkuu wa Serikali Bw. Gerson Msigwa ametoa wito kwa wananchi wote kuwa watulivu wakati serikali inawasiliana na makampuni ya WhatsApp, Facebook na Instagram kuhusu changamoto ya kukosekana kwa huduma ya mawasiliano ya mitandao hiyo.

Huduma za mitandao hiyo zilikwama kwa saa kadhaa tarehe 04 Oktoba 2021.

Taarifa hiyo ya wito wa serikali iliyotolewa usiku wa tarehe 4 Oktoba 2021 haikuwezekana kusambaa haraka kama ilivyo kawaida kwa kuwa mitandao hiyo ya kijamii haikuwa hewani.

Hata hivyo, baada ya juhudi mbalimbali za wataalamu huduma hizo zilirejea baadae usiku wa kuamkia tarehe 05 Oktoba 2021.

Kwa hatua hiyo serikali imeonesha kujali wananchi wake na kuthamini umuhimu wa mawasiliano. Pongezi kwa serikali.
View attachment 1964256

Huduma ilivyorejeshwa, msemaji mkuu wa serikali alitumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kutaarifu kuhusu kurudi kwa huduma hiyo.
View attachment 1964500
Kuna watu ni wajinga Sana, Machadema ni mapuuzi balaa yalizani kupotea kwa hiyo mitandao ni kwa sababu ya kuwekwa ndani Mbowe na wapuuzi wengine.

Jana nimesikiliza BBC kumbe lilikuwa tatizo la Dunia nzima na wahusika wameomba radhi kwamba kulitokea shida wakati wanafanya upgrade ya mitambo.
 
Kuna watu ni wajinga Sana, Machadema ni mapuuzi balaa yalizani kupotea kwa hiyo mitandao ni kwa sababu ya kuwekwa ndani Mbowe na wapuuzi wengine.

Jana nimesikiliza BBC kumbe lilikuwa tatizo la Dunia nzima na wahusika wameomba radhi kwamba kulitokea shida wakati wanafanya upgrade ya mitambo.
Mpuuzi upuuzwe
 
Msigwa bwana hebu achana na hayo ya mitandao, tumeshawapigia wamerudisha. Tusaidie hili la hujuma dhidi ya Rais wetu mpendwa kuwa ameondoa tozo na bei ya mafuta imeongezeka.
 
Yeye amuulize Zuckerbarg na Zuckebarg atamuuliza mbona huko kwenu mnakatakata umeme sijui atamjibu nini.
 
Msemaji mkuu wa Serikali Bw. Gerson Msigwa ametoa wito kwa wananchi wote kuwa watulivu wakati serikali inawasiliana na makampuni ya WhatsApp, Facebook na Instagram kuhusu changamoto ya kukosekana kwa huduma ya mawasiliano ya mitandao hiyo.

Huduma za mitandao hiyo zilikwama kwa saa kadhaa tarehe 04 Oktoba 2021.

Taarifa hiyo ya wito wa serikali iliyotolewa usiku wa tarehe 4 Oktoba 2021 haikuwezekana kusambaa haraka kama ilivyo kawaida kwa kuwa mitandao hiyo ya kijamii haikuwa hewani.

Hata hivyo, baada ya juhudi mbalimbali za wataalamu huduma hizo zilirejea baadae usiku wa kuamkia tarehe 05 Oktoba 2021.

Kwa hatua hiyo serikali imeonesha kujali wananchi wake na kuthamini umuhimu wa mawasiliano. Pongezi kwa serikali.

View attachment 1964256

Huduma ilivyorejeshwa, msemaji mkuu wa serikali alitumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kutaarifu kuhusu kurudi kwa huduma hiyo.

View attachment 1964500
Mbona kipindi kile wao wamefungia twitter Tanzania na kuslow down ikiwemo seeving mitandao hasa Whatsapp hawakuwasiliana (uchuro) ili waifungue

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Next time Tanesco wanapokata umeme bila taarifa tunaomba utujuze
 
AMf6ME.jpg
 
Jamaa muongo huyu!!!!

Msemaji mkuu wa Serikali Bw. Gerson Msigwa ametoa wito kwa wananchi wote kuwa watulivu wakati serikali inawasiliana na makampuni ya WhatsApp, Facebook na Instagram kuhusu changamoto ya kukosekana kwa huduma ya mawasiliano ya mitandao hiyo.

Huduma za mitandao hiyo zilikwama kwa saa kadhaa tarehe 04 Oktoba 2021.

Taarifa hiyo ya wito wa serikali iliyotolewa usiku wa tarehe 4 Oktoba 2021 haikuwezekana kusambaa haraka kama ilivyo kawaida kwa kuwa mitandao hiyo ya kijamii haikuwa hewani.

Hata hivyo, baada ya juhudi mbalimbali za wataalamu huduma hizo zilirejea baadae usiku wa kuamkia tarehe 05 Oktoba 2021.

Kwa hatua hiyo serikali imeonesha kujali wananchi wake na kuthamini umuhimu wa mawasiliano. Pongezi kwa serikali.

View attachment 1964256

Huduma ilivyorejeshwa, msemaji mkuu wa serikali alitumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kutaarifu kuhusu kurudi kwa huduma hiyo.

View attachment 1964500
 
Back
Top Bottom