Gerson Msigwa: Serikali inawasiliana na watoa huduma wa mitandao ya WhatsApp, Facebook na Instagram kuhusu kukosekana kwa huduma

Alafu unawaulizaje na wakati huna mkataba nao kama siyo upumbafu?
 
Akili hiyo wanayo basi?. Wao wanacho jua ni kubambikiana maugaudi
 
Msigwa angepunguza camera ili atengeneze strategy ya serikali kuongea na wananchi hasa kwenye issues za messaging na kurelate closely na watu wa kawaida
 
Nasikia mdogo wangu MALCOM LUMUMBA ndie alipewa kazi ya kuwasiliana directly na Maki Zhakabharg.

Hongera mdogo wangu kwa kuongea na Youngest Dollar Billionaire!!

Halafu ningekuwa jirani na Gerson wakati anaongea hayo mambo, wallah ningemtia makofi!!
 
Vingine awe anakaa kimya, anajiabisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…