Gerson Msigwa: Serikali inawasiliana na watoa huduma wa mitandao ya WhatsApp, Facebook na Instagram kuhusu kukosekana kwa huduma

Aanze na mitandao ya simu ya Tanzania ambayo speed ya internet ni changamoto,pia gharama za mb na muda wake wa matumizi haviendani mfano unanunua mb za wiki unatumia siku moja ama kwa masaa kwakifupi in wizi mtupu (day light robbery)
 
Nilitegea serikali itoe tenda kwa wajasiria maliwetu wa mambo ya mtandao watengeneze mfumo wetu wa kimawasiliano kiasi kwamba hizo nyingine zikifeli tusipate shida. Tujitegemee jamani!
 
Ni muda sasa msemaji wa serikali atueleze kwanini website za porn hazipatikani hewani hapa Tanzania?
 
Aanze na mitandao ya simu ya Tanzania ambayo speed ya internet ni changamoto,pia gharama za mb na muda wake wa matumizi haviendani mfano unanunua mb za wiki unatumia siku moja ama kwa masaa kwakifupi in wizi mtupu (day light robbery)
Kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…