King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
ukituma wewe fedha kupitia kwenye simu yako kwenda kwenye simu nyingine, ile tozo tuliyokuwa tunaipigia kelele imefutwa
Msigwa naye ni Empty set ,kwani kelele zilikuwa kwenye kutuma tu? Kelele zilikuwa kote kutuma na kutoa ,hakuna anayetaka tozo ,kama vipi zirudisheni tu maana kwenye kutoa ndiyo kubwa sana na ukiona mtu anaenda kutoa maana yake ndiyo mwenye uhitaji ,anayetuma means ana mzigo kwahiyo hata ukimkata haina shida.