Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Aisee, kama yupo binadamu anayetoa povu la utetezi kwenye hilo la DPW basi ni Gerson!
Unajiuliza, kwa nini anatumia nguvu namna ile? Ya nini jambo linaloonyesha hana japo theluthi ya uelewa kwalo analazimisha kulitetea hali inayopelekea mwisho wa siku anaonekana mburula tu mbele ya welevu?!
Huenda anatetea ugali wake, sawa-lakini, ya nini basi asiwe anaambatana na mwanasheria japo mmoja wa Serikali ili pamoja na yote awe anamsaidia kudadavua baadhi ya mambo yahusuyo sheria?
Gerson, punguza kujipendekeza basi, unajianika!
Unajiuliza, kwa nini anatumia nguvu namna ile? Ya nini jambo linaloonyesha hana japo theluthi ya uelewa kwalo analazimisha kulitetea hali inayopelekea mwisho wa siku anaonekana mburula tu mbele ya welevu?!
Huenda anatetea ugali wake, sawa-lakini, ya nini basi asiwe anaambatana na mwanasheria japo mmoja wa Serikali ili pamoja na yote awe anamsaidia kudadavua baadhi ya mambo yahusuyo sheria?
Gerson, punguza kujipendekeza basi, unajianika!