Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Magufuli alimuokota wapi huyu mtu...!!?Aisee, kama yupo binadamu anayetoa povu la utetezi kwenye hilo la DPW basi ni Gerson!
Unajiuliza, kwa nini anatumia nguvu namna ile? Ya nini jambo linaloonyesha hana japo theluthi ya uelewa kwalo analazimisha kulitetea hali inayopelekea mwisho wa siku anaonekana mburula tu mbele ya welevu?!
Huenda anatetea ugali wake, lakini, ya nini basi asiwe anaambatana na mwanasheria japo mmoja wa Serikali ili pamoja na yote awe anamsaidia kudadavua baadhi ya mambo yahusuyo sheria?
Gerson, punguza kujipendekeza basi, unajianika!
hahaha Msemaji anapenda kufafanua ila ufafanuzi haumpendi na umemkataa kabisa, chezea sheria watu wanaona mbona lugha iliyotumika ni kingereza cha kawaida ila wanasheria wanaona ni lugha ya kisheria. hapo ndio lugha gongana inaanza.Aisee, kama yupo binadamu anayetoa povu la utetezi kwenye hilo la DPW basi ni Gerson!
Unajiuliza, kwa nini anatumia nguvu namna ile? Ya nini jambo linaloonyesha hana japo theluthi ya uelewa kwalo analazimisha kulitetea hali inayopelekea mwisho wa siku anaonekana mburula tu mbele ya welevu?!
Huenda anatetea ugali wake, lakini, ya nini basi asiwe anaambatana na mwanasheria japo mmoja wa Serikali ili pamoja na yote awe anamsaidia kudadavua baadhi ya mambo yahusuyo sheria?
Gerson, punguza kujipendekeza basi, unajianika!
Tayari umeshasema mkuu.., ni ugali wake ndio unaomhangaisha, kuwa mnafiki nikazi ngumu sana.Aisee, kama yupo binadamu anayetoa povu la utetezi kwenye hilo la DPW basi ni Gerson!
Unajiuliza, kwa nini anatumia nguvu namna ile? Ya nini jambo linaloonyesha hana japo theluthi ya uelewa kwalo analazimisha kulitetea hali inayopelekea mwisho wa siku anaonekana mburula tu mbele ya welevu?!
Huenda anatetea ugali wake, lakini, ya nini basi asiwe anaambatana na mwanasheria japo mmoja wa Serikali ili pamoja na yote awe anamsaidia kudadavua baadhi ya mambo yahusuyo sheria?
Gerson, punguza kujipendekeza basi, unajianika!
Huyu ndio msemaji kilaza kuliko wasemaji wote wa nchi zingineAisee, kama yupo binadamu anayetoa povu la utetezi kwenye hilo la DPW basi ni Gerson!
Unajiuliza, kwa nini anatumia nguvu namna ile? Ya nini jambo linaloonyesha hana japo theluthi ya uelewa kwalo analazimisha kulitetea hali inayopelekea mwisho wa siku anaonekana mburula tu mbele ya welevu?!
Huenda anatetea ugali wake, lakini, ya nini basi asiwe anaambatana na mwanasheria japo mmoja wa Serikali ili pamoja na yote awe anamsaidia kudadavua baadhi ya mambo yahusuyo sheria?
Gerson, punguza kujipendekeza basi, unajianika!
Mbona watanzania wameelewa sasa?!!!!hahaha Msemaji anapenda kufafanua ila ufafanuzi haumpendi na umemkataa kabisa, chezea sheria watu wanaona mbona lugha iliyotumika ni kingereza cha kawaida ila wanasheria wanaona ni lugha ya kisheria. hapo ndio lugha gongana inaanza.
ndio maana kuna mtu aliweka mada isomekayo kuwa" tatizo watz hawajui kingereza, mkataba hauna shida" unabaki unacheka, nikajua hajui kuwa iliyotumika ni sheria, na si kingereza.
najua akiwa alone, atakuwa anacheka sana maana ni kazi sana, anafanya kazi ngumu sana yeye mwenyewe ukimwangalia vizuri usoni na anachokisema havioani. daha kwa dpw imeleta mengiTayari umeshasema mkuu.., ni ugali wake ndio unaomhangaisha, kuwa mnafiki nikazi ngumu sana.
Naona hoja zimekwisha na sasa watu binafsi wanaanza kushambuliw
nakubaliana na wewe, hata mimi nimeelewa, nimeelewa nini? it is subjectiveMbona watanzania wameelewa sasa?!!!!
Kabisa!Chawa wa maza
Bado, hiyo affiliated entities za DP World ni zipi hizo zilizotajwa kwenye makubaliano? Isije kuwa Hata team Pable Escobar nao ni affiliate!Naona hoja zimekwisha na sasa watu binafsi wanaanza kushambuliwa!