Mtoa Taarifa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2024
- 213
- 671
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema matukio yanayoripotiwa Polisi kuhusu utekaji nchini mengi yanabainika kuwa ni ya uongo.
"Kuna matukio yanatangazwa kwenye mitandao na vyombo vya Habari mtu katekwa, nataka nikwambie katika matukio yote yaliyoripotiwa polisi kwa mfano, zaidi ya asilimia 80 au 90 mpaka sasa, imethibitishwa kwamba hawakutekwa. [..] Sio kila mtu ambaye haonekani ametekwa." -
"Kuna matukio yanatangazwa kwenye mitandao na vyombo vya Habari mtu katekwa, nataka nikwambie katika matukio yote yaliyoripotiwa polisi kwa mfano, zaidi ya asilimia 80 au 90 mpaka sasa, imethibitishwa kwamba hawakutekwa. [..] Sio kila mtu ambaye haonekani ametekwa." -