Gerson Msigwa: Zaidi ya 80% ya taarifa za utekaji hazina ukweli

Gerson Msigwa: Zaidi ya 80% ya taarifa za utekaji hazina ukweli

Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema matukio yanayoripotiwa Polisi kuhusu utekaji nchini mengi yanabainika kuwa ni ya uongo.

"Kuna matukio yanatangazwa kwenye mitandao na vyombo vya Habari mtu katekwa, nataka nikwambie katika matukio yote yaliyoripotiwa polisi kwa mfano, zaidi ya asilimia 80 au 90 mpaka sasa, imethibitishwa kwamba hawakutekwa. [..] Sio kila mtu ambaye haonekani ametekwa." -



Source: Swahili Times
Alitakiwa kusema tangu mwaka ........ mpaka mwaka........... kesi za upoteaji zilizoripotiwa polisi ni.......... Na kati ya idadi hiyo,, watu
......... walikutwa kwa mahawara zao, Watu............ hawajulikani walipo na watu .........walithibitika kufa. Tofauti na hapo inaitwa ni porojo tu anasema.
 
Kuna watu wengine ni kama walipata vyeo kwa ndumba. Huyu Gerson angekaa tu kimya au angeweza kusema hayo mambo yako mikononi mwa jeshi la polisi na vyombo vinavyohusika. Hiyo 10% pia haihalalishi haya matukio.
 
Watu wanajua yanayofanyika
Screenshot_2024-12-03-17-22-50-290_com.android.chrome.jpg
 
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema matukio yanayoripotiwa Polisi kuhusu utekaji nchini mengi yanabainika kuwa ni ya uongo.

"Kuna matukio yanatangazwa kwenye mitandao na vyombo vya Habari mtu katekwa, nataka nikwambie katika matukio yote yaliyoripotiwa polisi kwa mfano, zaidi ya asilimia 80 au 90 mpaka sasa, imethibitishwa kwamba hawakutekwa. [..] Sio kila mtu ambaye haonekani ametekwa." -



Source: Swahili Times
Kwahiyo huwa wanajiteka na kujiumiza? kama abdul nondo alijiteka sawa
 
Ningekuwa raisi huyu asbhi tu nishamtumbua ila kwakuwa pipa na mfuniko ndio maana anapeta.
 
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema matukio yanayoripotiwa Polisi kuhusu utekaji nchini mengi yanabainika kuwa ni ya uongo.

"Kuna matukio yanatangazwa kwenye mitandao na vyombo vya Habari mtu katekwa, nataka nikwambie katika matukio yote yaliyoripotiwa polisi kwa mfano, zaidi ya asilimia 80 au 90 mpaka sasa, imethibitishwa kwamba hawakutekwa. [..] Sio kila mtu ambaye haonekani ametekwa." -



Source: Swahili Times
Mteuzi wako Kesha sema ni vi drama drama tuu. Hamna shida familia zenu ziko salama.
 
Ndio atuambie sasa wanatekwa na nani??
Na watekaji pingu wanazitoa wapi?
 
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema matukio yanayoripotiwa Polisi kuhusu utekaji nchini mengi yanabainika kuwa ni ya uongo.

"Kuna matukio yanatangazwa kwenye mitandao na vyombo vya Habari mtu katekwa, nataka nikwambie katika matukio yote yaliyoripotiwa polisi kwa mfano, zaidi ya asilimia 80 au 90 mpaka sasa, imethibitishwa kwamba hawakutekwa. [..] Sio kila mtu ambaye haonekani ametekwa." -



Source: Swahili Times
Angeendelea kidogo kuongea lazima angesema hata wanaokufa nao hakuna ukweli wowote.Wanakuwa wamefumba macho tu kwa uchovu na njaa.
 
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema matukio yanayoripotiwa Polisi kuhusu utekaji nchini mengi yanabainika kuwa ni ya uongo.

"Kuna matukio yanatangazwa kwenye mitandao na vyombo vya Habari mtu katekwa, nataka nikwambie katika matukio yote yaliyoripotiwa polisi kwa mfano, zaidi ya asilimia 80 au 90 mpaka sasa, imethibitishwa kwamba hawakutekwa. [..] Sio kila mtu ambaye haonekani ametekwa." -



Source: Swahili Times
Amefanya utafiti, na matokeo yake yamechapishwa wapi?
 
Propaganda 😷 siku akitekwa yule mtoto wake ndipo atajua/ mtu hawezi kujiteka Kama diwani wa kawe.
 
Bahati mbaya ukishakuwa Mteuliwa Serikalini mnalishwa viapo kutetea madudu yote ya Serikali

Ndiyo maana wanaojielewa hawataki kufanya hizo kazi hasa kama wewe ni mtu wa Imani
Martin Luther King, Jr. said, "In the end, we will remember not the words of our enemies, but the silence of our friends"
 
Kijana pendwa wa Hayati. The galoot seems to know exactly what real happened to our comrade.
 
Back
Top Bottom