Mtoa Taarifa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2024
- 213
- 671
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema matukio yanayoripotiwa Polisi kuhusu utekaji nchini mengi yanabainika kuwa ni ya uongo.
"Kuna matukio yanatangazwa kwenye mitandao na vyombo vya Habari mtu katekwa, nataka nikwambie katika matukio yote yaliyoripotiwa polisi kwa mfano, zaidi ya asilimia 80 au 90 mpaka sasa, imethibitishwa kwamba hawakutekwa. [..] Sio kila mtu ambaye haonekani ametekwa." -
Gerson Msigwa, Msemaji Mkuu wa Serikali
kwa hiyo 10% ni ya kweli. Basi hiyo asilimia kumi ielezwe ni kina nani wanafanya utekajiMsemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema matukio yanayoripotiwa Polisi kuhusu utekaji nchini mengi yanabainika kuwa ni ya uongo.
"Kuna matukio yanatangazwa kwenye mitandao na vyombo vya Habari mtu katekwa, nataka nikwambie katika matukio yote yaliyoripotiwa polisi kwa mfano, zaidi ya asilimia 80 au 90 mpaka sasa, imethibitishwa kwamba hawakutekwa. [..] Sio kila mtu ambaye haonekani ametekwa." -
Gerson Msigwa, Msemaji Mkuu wa Serikali
anaonges porojo tu, amtafute Emmanuel Joseph Kisaju kupata ukweli wa kuteka na kuuaMsemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema matukio yanayoripotiwa Polisi kuhusu utekaji nchini mengi yanabainika kuwa ni ya uongo.
"Kuna matukio yanatangazwa kwenye mitandao na vyombo vya Habari mtu katekwa, nataka nikwambie katika matukio yote yaliyoripotiwa polisi kwa mfano, zaidi ya asilimia 80 au 90 mpaka sasa, imethibitishwa kwamba hawakutekwa. [..] Sio kila mtu ambaye haonekani ametekwa." -
Source: Swahili Times
Asilimia 80 au 90?Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema matukio yanayoripotiwa Polisi kuhusu utekaji nchini mengi yanabainika kuwa ni ya uongo.
"Kuna matukio yanatangazwa kwenye mitandao na vyombo vya Habari mtu katekwa, nataka nikwambie katika matukio yote yaliyoripotiwa polisi kwa mfano, zaidi ya asilimia 80 au 90 mpaka sasa, imethibitishwa kwamba hawakutekwa. [..] Sio kila mtu ambaye haonekani ametekwa." -
Source: Swahili Times
Enhe hiyo 10% ya waliotekwa Serikali imechukua hatua gani kukomesha?Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema matukio yanayoripotiwa Polisi kuhusu utekaji nchini mengi yanabainika kuwa ni ya uongo.
"Kuna matukio yanatangazwa kwenye mitandao na vyombo vya Habari mtu katekwa, nataka nikwambie katika matukio yote yaliyoripotiwa polisi kwa mfano, zaidi ya asilimia 80 au 90 mpaka sasa, imethibitishwa kwamba hawakutekwa. [..] Sio kila mtu ambaye haonekani ametekwa." -
Source: Swahili Times
Mmmhh!Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema matukio yanayoripotiwa Polisi kuhusu utekaji nchini mengi yanabainika kuwa ni ya uongo.
"Kuna matukio yanatangazwa kwenye mitandao na vyombo vya Habari mtu katekwa, nataka nikwambie katika matukio yote yaliyoripotiwa polisi kwa mfano, zaidi ya asilimia 80 au 90 mpaka sasa, imethibitishwa kwamba hawakutekwa. [..] Sio kila mtu ambaye haonekani ametekwa." -
Source: Swahili Times
Kwa sababu hana uhakika ila yupo sahihi kuwa si kila anayesemwa katekwa katekwa. Hata hivyo 10% inatosha kuwafanya watendaji wa serikali wawajibike. Hata kwa tukio la yule mzee wetu tu kutekwa kwenye basi mchana kweupe na kuuwawa kisha kutupwa.Kwa nini anasema 80% AU 90%?
Kwa data ipi as evidenceMsemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema matukio yanayoripotiwa Polisi kuhusu utekaji nchini mengi yanabainika kuwa ni ya uongo.
"Kuna matukio yanatangazwa kwenye mitandao na vyombo vya Habari mtu katekwa, nataka nikwambie katika matukio yote yaliyoripotiwa polisi kwa mfano, zaidi ya asilimia 80 au 90 mpaka sasa, imethibitishwa kwamba hawakutekwa. [..] Sio kila mtu ambaye haonekani ametekwa." -
Source: Swahili Times
Dah!Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema matukio yanayoripotiwa Polisi kuhusu utekaji nchini mengi yanabainika kuwa ni ya uongo.
"Kuna matukio yanatangazwa kwenye mitandao na vyombo vya Habari mtu katekwa, nataka nikwambie katika matukio yote yaliyoripotiwa polisi kwa mfano, zaidi ya asilimia 80 au 90 mpaka sasa, imethibitishwa kwamba hawakutekwa. [..] Sio kila mtu ambaye haonekani ametekwa." -
Source: Swahili Times
Kweli machozi yawabubujiko kama mamba akukula huku anaota machozi!Ule uchunguzi wa haraka wa Ali Kibao hakutia neno?
Cc Tlaatlaah, Lucas Mwashambwa hadi hapo mnasimama naye machozi yakiwabubujika?
Nasikia hii inaitwa kujitoa ufahamu, kujizima data au kujilipua. Zamani tuliita kujifanya hamnazo. Ila duuuh I'm.Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema matukio yanayoripotiwa Polisi kuhusu utekaji nchini mengi yanabainika kuwa ni ya uongo.
"Kuna matukio yanatangazwa kwenye mitandao na vyombo vya Habari mtu katekwa, nataka nikwambie katika matukio yote yaliyoripotiwa polisi kwa mfano, zaidi ya asilimia 80 au 90 mpaka sasa, imethibitishwa kwamba hawakutekwa. [..] Sio kila mtu ambaye haonekani ametekwa." -
Source: Swahili Times