Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kitu hapo mm namjua huyo ni muimbiwa mapambio tu jamii za kikweteMiongoni mwa mama wa shoka taifa hili kumpata[emoji123]
Mwenyezi Mungu ambariki ,ampe afya na uhai mrefu bibi yetu Getrude Mongella aaamin aaaamin aaaamin[emoji120]
#Wanawake Wanaweza
SIEMPRE JMT
Hata mimi nahisi ni NI HANGAYA MAANA ANAONGEA PUMBA TUPUMbona hamna uhusuano na utangulizi, au wewe ndio mama hengaya
EeeenHeeee!Legacy kubwa ya mtu kama kina Julius Nyerere, Nelson Mandela au Ernesto Che Guevara huwa ndivyo zilivyo kutokana na kuhusika na mambo mbalimbali makubwa yenye mguso nje hata ya mipaka ya nchi zao za asili.
Bila shaka hakikuwa kitabu bali kijarida ndo maana kimefichwa kulinda hadhi ya mwl baada ya kuwa Rais wa nchi. Nia ilikuwa njema tu. Unapongelea kitabu siyo unaongelea pamphlets za akina Nyangwine au Mkandawile. Kitabu Ni kitu kingine na ina sifa zake.Komredi Manyerere Jackton ameshawahi kuzungumzia uandishi wa kitabu hicho cha baba wa taifa hayati Mwalimu Nyerere akiwa huko MAKERERE.....akataja ndani yake alielezea KUKANDAMIZWA KWA WANAWAKE KATIKA JAMII YA KIZANAKI.......
SIEMPRE JMT
Kwa hiyo unakubaliana naye kwamba wanaume ni jinsia dhaifu kwa kuwa wameumbwa kwa tope na kwamba Mungu alipomuumba mwanamke alikuwa anarekebisha makosa aliyoyafanya kwenye uumbaji wa mwanaume?Miongoni mwa mama wa shoka taifa hili kumpata💪
Mwenyezi Mungu ambariki ,ampe afya na uhai mrefu bibi yetu Getrude Mongella aaamin aaaamin aaaamin🙏
#Wanawake Wanaweza
SIEMPRE JMT
Naungana na weweRubbish!!mi nilidhan unaelezea kitabu!kumbe ngonjera!!!
Yaani **** watu wajinga na wapumbavu huyu mama alikuwa nabahati tu miaka hiyo na hana maajabu yeyote kazi yake siku hizi kuwalisha mabinti ujinga mwisho wa siku hata yeye ndoa yake ilimshinda! Kuhusu nyerere kubwa alilofanya ni kuunganisha watanzania pasipo naubaguzi ila kwenye maeneo mengine nyerere alifeli sana! Alijitwika mizigo isiyo na maana na kusahau kulijenga taifa kimiundombinu ma kielimu kwa kifupi kipindi kile watanzania wengi waliishia kumuona nyerere kama mkombozi wakati yeye alishindwa kuwaambia ukweli wananchi kuwa ujumaa tu hautoshi kumukomboa mwananchi!Miongoni mwa mama wa shoka taifa hili kumpata💪
Mwenyezi Mungu ambariki ,ampe afya na uhai mrefu bibi yetu Getrude Mongella aaamin aaaamin aaaamin🙏
#Wanawake Wanaweza
SIEMPRE JMT
Nyerere zama zake zilishaisha na Nyerere huyo mnayemsoma kwenye makaratsi kipindi kile aliongoza nchi iliyokuwa na watu wenye elimu ndogo sio kama leo! Na hatuwezi kutumia falsafa za Nyerere mpka leo wakati mazingirana hali za jamii zinabadilika! Mda wake ulifungwa kila mtu apambane na hali yake! Viongozi wapambane na achangamoto zetu kwa ujasiri bila woga!Naungana na wewe
Zaidi ya hakuna la maana alofanya zaidi ya kutisha watuNyerere zama zake zilishaisha na Nyerere huyo mnayemsoma kwenye makaratsi kipindi kile aliongoza nchi iliyokuwa na watu wenye elimu ndogo sio kama leo! Na hatuwezi kutumia falsafa za Nyerere mpka leo wakati mazingirana hali za jamii zinabadilika! Mda wake ulifungwa kila mtu apambane na hali yake! Viongozi wapambane n achangamoto zetu kwa ujasiri bila woga!