Gesi Asilia Iliyoshindiliwa (CNG) Ndiyo Mwarobaini wa Bei ya Mafuta Tanzania

Dunia nzima sijawai ona gari ya gas ila naona gari ya umeme na
Mafundi wa bongo wanaobadilisha gar ya mafuta kitumia mfumo wa gas weng ni matapeli na wanaharibu na kupunguza uwezo wa gari

Bora nijipange kununua Hybrid mafuta nanusa tu 1 litre natembea 25km
 
Kiukweli gesi bado haijatufaidisha kabisa, gesi ya kupikia tuu Kila siku inazidi kupanda kana kwamba tunaitoa South Africa
 
Unadhani waarabu wanapenda mafuta yao yadode?
Huyo mmarekani nae lao moja.
Sema Nini serikali itupe kozi vijana ya kujifunza kufunga hiyo gesi.
ADA KUBWA
 
Naomba mamlaka husika za juu hili swala la ufungaji wa gesi asilia kwenye vyombo vya moto ufatiliwe, kuna mbung'i linapigwa kimya kimya bila ya wengi kufahamu, haiwezakani vifaa vya kufungia viwe ghali sana na hata kupatikana kwake ni mtiti.
 
Naomba mamlaka husika za juu hili swala la ufungaji wa gesi asilia kwenye vyombo vya moto ufatiliwe,kuna mbung'i linapigwa kimya kimya bila ya wengi kufahamu, haiwezakani vifaa vya kufungia viwe ghali sana na hata kupatikana kwake ni mtiti.
Ahsante kwa ushauri wako boss, hili litafanyiwa kazi.
 

Songosongo Kilwa Mkoani Pwani? Are you serious?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…