Gesi mnayopiga kelele kuuzwa Kenya haitatumika kwenye Viwanda vya Tanzania?

Gesi mnayopiga kelele kuuzwa Kenya haitatumika kwenye Viwanda vya Tanzania?

Watu hawana jema, kibaya zaidi wanapiga kelele bila hata kujua makubaliano na mkataba unasemaje.

Ukiwa na tabia ya unyimi sana unawezajikuta unakufa njaa sababu tuu hutaki kuuza mali usiyoitumia ili mwenye uhitaji aitumie akupe pesa nawe upate chakula.
Hili la unyimi kufa njaa limenigusa, ndugu yangu ashapoteza maisha kwa sababu ya uchoyo hata kwa nafsi yake!
 
Wakenya ni 'makanjanja' full stop
Kama makanjanja wanaweza kuwekeza viwanda na biashara mbalimbali 530 nchini mwetu Vs sisi kuwekeza biashara 30 nchini kwao basi na mimi bora niwe kanjanja jombaaa....
 
Hiyo gesi ni nyingi mno, ndio maana inatakiwa iuzwe ilete fedha za kigeni, zilete maendeleo nchini kwetu, hivyo ndivyo nchi zote zenye gesi duniani zanafanya, Urusi wanauza gesi hadi ulaya na wana bomba la gesi kuelekea nchi nyingi tu.
[emoji1666][emoji1666][emoji1666]Tuna matrilioni kwa matrilioni ya mita za ujazo za gesi na so far hata asilimia 20 tuu ya matumizi yetu ya ndani hatujafikia.
 
Gesi yenyewe ipo wapi ww, porojo za ajabuajabu tu humu, ww umesha wahi kusikia gesi ikitumika wapi, ni ipi hiyo ya kutosha mpaka kuuza kwa jirani wakati huku Kwetu haitutoshi, nilisikiaga kisiwa cha mahali ilipo gesi kina karibia ku potea, pia ilitakiwa mpaka tufikie kuuza gesi nje Basi Tz ingekuwa na unafuu wa nishati gas ili kuokoa mazingira, lakini ndiyo kwanza tunanunua gas 50k+, kwa mtungi wa 14+kg.

Sasa hapo ndipo nina choka kabisa, nchi yenye nishati yeyote kwa kawaida inatakiwa kuwa nchi tajiri Sana na wananchi wafaidike kwa nihati hiyo na siyo et bomba litengenezwe kupeleka nishati nchi jirani bali nishati husika I be processed nchini na iuzwe Kama bidhaa, nilitegemea Sasa hv kusikia Tz Kuna kiwanda kikubwa cha Taifa kilicho ajiri maelfu ya wa Tz kuchuja gas husika kuwa na thamani zaidi, but cc tunaweza kuipeleka Kenya.
Mkuu gesi asilia tunayo nyingi mnoo, Trilions of cubic meters but iko ardhini na lazima ichimbwe. Tayari tuna visima Songosongo, Kilwa, Lindi na pia huko Mtwara. Pia bomba limeshajengwa kuleta gesi Dar na tayari inatumika kwenye mashine za Tanesco kufua umeme, na pia kwenye baadhi ya viwanda. Hata Dangote ameshaanza kutumia gesi badala ya makaa ya mawe. Kuhusu gesi ya kwenye mitungi hapo ni kimbembe maana hiyo gesi lazima kuanzishwa kiwanda cha kusindika hiyo gesi asilia na kuiweka kwenye mitungi. Hicho kiwanda ndiyo ilikuwa kijengwe Mtwara but ikashindikana ndiyo maana gesi ya mitungi bado iko juu sana.
 
Gesi yenyewe ipo wapi ww, porojo za ajabuajabu tu humu, ww umesha wahi kusikia gesi ikitumika wapi, ni ipi hiyo ya kutosha mpaka kuuza kwa jirani wakati huku Kwetu haitutoshi, nilisikiaga kisiwa cha mahali ilipo gesi kina karibia ku potea, pia ilitakiwa mpaka tufikie kuuza gesi nje Basi Tz ingekuwa na unafuu wa nishati gas ili kuokoa mazingira, lakini ndiyo kwanza tunanunua gas 50k+, kwa mtungi wa 14+kg.

Sasa hapo ndipo nina choka kabisa, nchi yenye nishati yeyote kwa kawaida inatakiwa kuwa nchi tajiri Sana na wananchi wafaidike kwa nihati hiyo na siyo et bomba litengenezwe kupeleka nishati nchi jirani bali nishati husika I be processed nchini na iuzwe Kama bidhaa, nilitegemea Sasa hv kusikia Tz Kuna kiwanda kikubwa cha Taifa kilicho ajiri maelfu ya wa Tz kuchuja gas husika kuwa na thamani zaidi, but cc tunaweza kuipeleka Kenya.
Mkuu wewe naye unachanganya madawa!!hiyo tunayotumia majumbani ni LPG, sio hiyo inayopatikana mtwara!ni kweli gesi hiyo inayozalishwa kwa sasa hata Tz, tu haitoshi, hilo bomba la gesi kutoka mtwara hadi dar, gesi inayopita humo hata 25% ya uwezo wa bomba haufiki!!
 
Mkuu wewe naye unachanganya madawa!!hiyo tunayotumia majumbani ni LPG, sio hiyo inayopatikana mtwara!ni kweli gesi hiyo inayozalishwa kwa sasa hata Tz, tu haitoshi, hilo bomba la gesi kutoka mtwara hadi dar, gesi inayopita humo hata 25% ya uwezo wa bomba haufiki!!
Hapana mkuu, Gesi inayo zalishwa mtwara n gesi halisi na pia inaweza pia kutumika vizuri kabisa majumbani endapo tu patajengwa kiwanda Cha kuichuja,na ndiyo maana inaweza pia kutumika Kama nishati ya umeme,gesi huchujwa kutokana na matumizi husika
 
Wasukuma pekee ndio hawamuungi mkono Mama
Sio wote ni wale wenye roho mbaya na uongozi waliotaka ubakie kwao kwa kujua sukuma zone itabadilika kutoka kwenye umasikini kwa kutegemea mtu mmoja wana sahau nyumba haijengwi na fundi mmoja akiugua au kufa nyumba haijengwi wasukuma tuwekeze kwenye elimu na uzalendo na kwetu, chato kuwa mkoa mhhhhhhhh YATIMA BHANA
FB_IMG_1610389877515.jpg
 
Mkuu gesi asilia tunayo nyingi mnoo, Trilions of cubic meters but iko ardhini na lazima ichimbwe. Tayari tuna visima Songosongo, Kilwa, Lindi na pia huko Mtwara. Pia bomba limeshajengwa kuleta gesi Dar na tayari inatumika kwenye mashine za Tanesco kufua umeme, na pia kwenye baadhi ya viwanda. Hata Dangote ameshaanza kutumia gesi badala ya makaa ya mawe. Kuhusu gesi ya kwenye mitungi hapo ni kimbembe maana hiyo gesi lazima kuanzishwa kiwanda cha kusindika hiyo gesi asilia na kuiweka kwenye mitungi. Hicho kiwanda ndiyo ilikuwa kijengwe Mtwara but ikashindikana ndiyo maana gesi ya mitungi bado iko juu sana.
Sawa kabisa mkuu, nafurahi kuwa na watu waelewa kama ww, umefafanua vizuri pia hata mm umenipa somo, point yangu kubwa hapa ni kwamba, inapo safirishwa kwenda kenya na wenzetu wakasoma gape kuwa sisi Tz hatuna kiwanda Cha kuisindika wakajenga wao huoni tayari tutarudi kuuziwa sisi Kama bidhaa kutoka Kenya?
Pili je niajira ngapi zitatengenezwa kwa wakenya kusindika gas?
Lakini pia kwanini malighafi yetu isigeuzwe kuwa bidhaa hapa nchini na ipewe thamani kuliko kusafirishwa Kama Mali ghafi, huoni mkuu hii inarudi kuwa Ile hadithi ya kupeleka mchanga wa dhahabu nje?
Mwisho kila kitu kina mwisho mkuu, hata Kama gas ipo nyingi kiasi gani lazima itafikia mahali ita Isha tu, Kati ya Norway au Denmark nadhani sina hakika mafuta yameisha ardhini, lakini wenzetu wapo mbali tayari kimaendeleo.
Lakini gharama za kujenga hilo bomba vipi ingewekezwa kujenga kiwanda kikubwa cha kusindika gas yetu ili kuiongezea thamani na kusaidia hali ngumu ya uchumi hapa Tz, mfano hata Bei ya gas ikashuka ili tunufaike sisi zaidi?
Lakini najiuliza zaidi kama gas hii hii ilileta vurugu ilipo kuwa ikisafirishwa kutoka Mtwara hadi Dar vp itakapo sikika inavuka mipaka? Nikwambie tu mkuu kuwa watu wanaumia sana mioyo yao na hawana pa kusemea kuhusu Raslimali za nchi kutapanywa.
 
Hapana mkuu, Gesi inayo zalishwa mtwara n gesi halisi na pia inaweza pia kutumika vizuri kabisa majumbani endapo tu patajengwa kiwanda Cha kuichuja,na ndiyo maana inaweza pia kutumika Kama nishati ya umeme,gesi huchujwa kutokana na matumizi husika
Sawa hilo nalijua ila kwa sasa inayotumika kwenye mitungi hii tunayotumia ni lpg, ila kuna baadhi ya nyumba chache sana hasa mikocheni, wanaitumia majumbani!!wamevutiwa kwa kutumia mabomba!!kuiweka kwenye mtungi inawezekana ila wanasema inatakiwa utaalam mkubwa, hivyo inaweza kuwa na gharama zaidi ya hiyo Lpg, kwa mtungi wa ujazo huo huo.
 
Gesi yenyewe ipo wapi ww, porojo za ajabuajabu tu humu, ww umesha wahi kusikia gesi ikitumika wapi, ni ipi hiyo ya kutosha mpaka kuuza kwa jirani wakati huku Kwetu haitutoshi, nilisikiaga kisiwa cha mahali ilipo gesi kina karibia ku potea, pia ilitakiwa mpaka tufikie kuuza gesi nje Basi Tz ingekuwa na unafuu wa nishati gas ili kuokoa mazingira, lakini ndiyo kwanza tunanunua gas 50k+, kwa mtungi wa 14+kg.

Sasa hapo ndipo nina choka kabisa, nchi yenye nishati yeyote kwa kawaida inatakiwa kuwa nchi tajiri Sana na wananchi wafaidike kwa nihati hiyo na siyo et bomba litengenezwe kupeleka nishati nchi jirani bali nishati husika I be processed nchini na iuzwe Kama bidhaa, nilitegemea Sasa hv kusikia Tz Kuna kiwanda kikubwa cha Taifa kilicho ajiri maelfu ya wa Tz kuchuja gas husika kuwa na thamani zaidi, but cc tunaweza kuipeleka Kenya.
Una shilingi ngapi ukaanzishe hicho kiwanda.au unatapika tu michembe utadhani kujenga hicho kiwanda ni kama kununua maembe.Inaonekana ata gas yenyewe hujui ikoje unapopoma tu.Hebu kajifunze kwanza ndo urudi uandike kitu cha maana.
 
Kwani hii gesi haitumiki au haitatumika kwenye viwanda vya Tanzania? Kama inatumika au itatumika kwenye viwanda vya Tanzania tatizo lipo wapi? Kwani kuna ubaya gani kama una chakula cha kutosha nyumbani kwako ukaamua kumuuzia jirani yako ili kupata pesa ya ziada kufanya mambo yako mengine?

Kama viwanda vya ndani vitakuwa vinatumia hii gesi au vitatumia hii gesi basi mama yupo vizuri sana. Kama taifa lazima tupambane kuuza bidhaa zetu nje ili kupata fedha za kigeni na hiki ndio mama anafanya

Kuna hoja watu wanaileta kuwa bidhaa za kenya zita-dominate soko la ndani kwa sababu vitakuwa vinazalishwa kwa gharama ndogo hivyo vitauzwa kwa bei ya chini. Hii hoja haina mashiko kama na sisi viwanda vyetu vitatumia gesi kwa sababu vitaweza pia kuzalisha bidhaa kwa gharama ya chini na kupelekea kuuza bidhaa zetu kwa bei ya chini pia.

Mwisho kabisa nawaomba watanzania tumuunge mkono mama. Nasikia mama ni mwanauchumi kitaaluma hivyo anajua anachokifanya, tumpe support atupeleke kwenye nchi ya asali na maziwa. Rais aliyesomea uchumi ndio tunamtaka kwa sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuwaza mtu wa nje wakati wako wananjaa ni kupungukiwa akili
 
Nilitegemea zaidi unijibu maswali haya Kama unauhakika gesi ina tutosha,

1)Bei ya gas imeshuka kwa kiasi gani tangu gesi imeanza kutumika TZ?na je kila mwananchi anatumia gas ilikulinda mazingira yetu?nikitegemea kusikia mtungi wa gas n sh 30,000 ili hata wanao ishi vijijini waweze kuona umuhimu wa kutumia gas badala ya mkaa au kuni,then hapo ndipo tuone imetutosha kabisa na tunataka kuuza tupate pesa,nilitegemea tuzalishe umeme wa gas wa kututosha kabisa Tz na umeme huo tuwauzie Kenya Kama bidhaa kwa reasonable price na si Kama malighafi,

2)Je, endapo Kama gas inatumika Kama nishati ya umeme, vipi kwasasa Tz kukatikakatika kwa umeme imebakia historia?

3)Je , niajira ngapi zilizo tengenezwa nchini kutokana na uzalishwaji wa gas?

4)je, n ujazo gani wa gasi ambao tunao Kama akiba ndani ya kisima kule mtwara kiasi kwamba tumejiridhisha kwamba itatutosha kwa miaka mingapi mbeleni? ama nikwamba tunataka kuifyonza yotee iishe, nilitegemea majibu ya waziwazi kabisa kila mtanzania ajue nini tunacho na kwa kiasi gani na kitatutosha mpaka lini,
Nenda kwanza kajifunze aina za gas na gas inayozungumziwa na jinsi matumizi yake yalivyo ndo urudi.Maana unapopoma tu bila ata kujua kinachojadiliwa ni kitu gani.
 
Nenda kwanza kajifunze aina za gas na gas inayozungumziwa na jinsi matumizi yake yalivyo ndo urudi.Maana unapopoma tu bila ata kujua kinachojadiliwa ni kitu gani.
Ww hovyo kabisa ww, ndiyo wale niliyesikia wanyama wanaenda kuzaliana Kenya then wanarudu Tz,kwa kukusaidia ni kwamba"Gasi inayo zalishwa Tanzania ni gas Kama zingine zozote duniani,kinacho fanyika kutofautisha aina ya gas n uchujwaji na uboreshwaji tu,Kama Tanzania ingeliamua kujenga kiwanda Cha kuchuja gas ipatikane ya kutumia majumbani ingeweza kuliko kujenga bomba la gas
 
Una shilingi ngapi ukaanzishe hicho kiwanda.au unatapika tu michembe utadhani kujenga hicho kiwanda ni kama kununua maembe.Inaonekana ata gas yenyewe hujui ikoje unapopoma tu.Hebu kajifunze kwanza ndo urudi uandike kitu cha maana.
Sawa mnyama anaye enda kuzalia kenye
 
Back
Top Bottom