konda msafi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 1,696
- 8,763
- Thread starter
- #21
Kabisa. Hii haihitaji kuwa genius kuijua.Watu hawana jema, kibaya zaidi wanapiga kelele bila hata kujua makubaliano na mkataba unasemaje
Ukiwa na tabia ya unyimi sana unawezajikuta unakufa njaa sababu tuu hutaki kuuza mali usiyoitumia ili mwenye uhitaji aitumie akupe pesa nawe upate chakula